Tujadili Demokrasia ndani ya CHADEMA. Je inashawishi ama kukatisha tamaa?

Tujadili Demokrasia ndani ya CHADEMA. Je inashawishi ama kukatisha tamaa?

Sijui unamaanisha nini unaposema wanaopiga kura sio wananchi wa kawaida.
Kumbuka Kura Zinapigwa na Wajumbe wa Mkutani mkuu ambao ni 1300 Na sio Kila mwanaxhama wa Chadema
Hizo tambo za kuwanyoosha CHADEMA katika box la kura ni tambo za hovyo tu, kama mnaweza kuwanyoosha kwa nini sasa mnaengua wagombea wao??
Kwa nini mawakala wao wa kusimamia kura hawapewi haki sawa na wa CCM? Kwa nini hamtaki walinde kura zao?
Kwa nini hamtaki watu huru tofauti na wa serikali wasimamie uchaguzi?
Kwa nini hamruhusu matoke yahojiwe maakamani?
 
Kumbuka Kura Zinapigwa na Wajumbe wa Mkutani mkuu ambao ni 1300 Na sio Kila mwanaxhama wa Chadema
Kama hao wanachama wa kawaida wanawachagua wajumbe wengi walio mrengo wa Mbowe badala ya Lissu halafu wanataka hao wajumbe wampigie Lissu kura badala ya Mbowe basi watakuwa wendawazimu.

Hata hivyo hakuna hata kura za maoni zinazoonyesha wanachama wengi wa CHADEMA wanapendelea nani awe Mwenyekiti wao kati ya Mbowe na Lissu.
 
Kama hao wanachama wa kawaida wanawachagua wajumbe wengi walio mrengo wa Mbowe badala ya Lissu halafu wanataka hao wajumbe wampigie Lissu kura badala ya Mbowe basi watakuwa wendawazimu.

Hata hivyo hakuna hata kura za maoni zinazoonyesha wanachama wengi wa CHADEMA wanapendelea nani awe Mwenyekiti wao kati ya Mbowe na Lissu.
Wameoshaonyesha Uliangalia Wenyeviti wa Mikoa na Wenyeviti wa Kanda ndo hao walioenda Kumlazimisha Mbowe agombee na Ndo hao pia Ni wajumbe wa Mkutano mkuu
 
Summary Ya Kila Kilichoongelewa Humu Kupitia Podcast..

Sikililiza Hapa Utapata Kitu sana sana Yoda Humu umetajwa sana.. na JokaKuu
Sikiliza Ni Muhimu sana hii SUMMARY
 
Back
Top Bottom