DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kumbuka Kura Zinapigwa na Wajumbe wa Mkutani mkuu ambao ni 1300 Na sio Kila mwanaxhama wa ChademaSijui unamaanisha nini unaposema wanaopiga kura sio wananchi wa kawaida.
Hizo tambo za kuwanyoosha CHADEMA katika box la kura ni tambo za hovyo tu, kama mnaweza kuwanyoosha kwa nini sasa mnaengua wagombea wao??
Kwa nini mawakala wao wa kusimamia kura hawapewi haki sawa na wa CCM? Kwa nini hamtaki walinde kura zao?
Kwa nini hamtaki watu huru tofauti na wa serikali wasimamie uchaguzi?
Kwa nini hamruhusu matoke yahojiwe maakamani?
Kama hao wanachama wa kawaida wanawachagua wajumbe wengi walio mrengo wa Mbowe badala ya Lissu halafu wanataka hao wajumbe wampigie Lissu kura badala ya Mbowe basi watakuwa wendawazimu.Kumbuka Kura Zinapigwa na Wajumbe wa Mkutani mkuu ambao ni 1300 Na sio Kila mwanaxhama wa Chadema
Wameoshaonyesha Uliangalia Wenyeviti wa Mikoa na Wenyeviti wa Kanda ndo hao walioenda Kumlazimisha Mbowe agombee na Ndo hao pia Ni wajumbe wa Mkutano mkuuKama hao wanachama wa kawaida wanawachagua wajumbe wengi walio mrengo wa Mbowe badala ya Lissu halafu wanataka hao wajumbe wampigie Lissu kura badala ya Mbowe basi watakuwa wendawazimu.
Hata hivyo hakuna hata kura za maoni zinazoonyesha wanachama wengi wa CHADEMA wanapendelea nani awe Mwenyekiti wao kati ya Mbowe na Lissu.