Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliozoea vya kuua hawawezi vya kuchinjaaaView attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?
Kama tungekuwa na tume inayoaminika kuwa inatenda haki na inafanya kazi zake kwa uaminifu kingeachwa kilivyo. Kwa tume hii na labda nyingine itakayoundwa chini ya mbawa za chama kikongwe, nashauri kifutwe ili vitumike vifungu hivyo viwili ambavyo naamini vikifuatwa kama inavyopaswa udanganyifu unaolenga kuiba kura utapungua.View attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?
Tumeinataka wapiga kura fake watoke Mwanza wakapige Iringa🤣🤣🤣Kama tungekuwa na tume inayoaminika kuwa inatenda haki na inafanya kazi zake kwa uaminifu kingeachwa ilivyo. Kwa tume hii na labda nyingine itakayoundwa chini ya mbawa za chama kikongwe, nashauri kifutwe ili vitumike vifungu hivyo viwili ambavyo naamini vikifuatwa kama inavyopaswa udanganyifu unaolenga kuiba kura utapungua.
Kwa uchaguzi digital au electronic kifungu hiki hakina madhara sana ila kwa mfumo wa kawaida inaweza leta double counting na rigging ingawajeView attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?
uzuri au ubaya wake, faida na hasara zake zitajidhihirisha baada ya kutekelezwa kwanzaView attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?
Kinaweza kuwa ni kizuri Kwa maana kina accommodate inconveniences za wapiga kura, kulazimika kupigia kura eneo Fulani tu. Hatari yake kinacreate lopeholes za deception ya kura. Otherwise hakina shida,View attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?
These guys are very tricky..View attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?
Wakuhoji na kujadili hiko kifungu wapo bize na MakondaView attachment 2811796
Nimeona hiko kifungu cha 47(3) kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kufanya maamuzi ya nani apige wapi kura siku ya uchaguzi wa Rais....
Watanzania mnakionaje hiki kifungu? Kinasherehesha haki au ndiyo tunaingizwa mkenge kama wa DP World?