mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Hahaha siyo kujilemba buana, unakuwa smartyaan nijirembe na ww ujirembe?kha
brain is the beautiful part of the body.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha siyo kujilemba buana, unakuwa smartyaan nijirembe na ww ujirembe?kha
Hahaha siyo kujilemba buana, unakuwa smart
brain is the beautiful part of the body.
Duuh....wale wavaa rosary vipi?kwangu NO!hutanipa msismko aic
Duuh....wale wavaa rosary vipi?
Ukimkuta nayo unahairisha?
brain is the beautiful part of the body.
mimi sijui nipoje!napenda mwanaume ambaye hata mafuta hajipaki/haendekezi! unakutana na mwanaume dukan la urembo busy anatafuta losheni arrrrrrrrrrrghhhhhh mie nakosa mzuka jaman! raha ya mwanaume awe na ile ngoz fulan amazing ya kiume halisia! akikugusa na kidevu kweli unahis nipo na MWANAUME! huwa nakuwa na mzuka sio wa nchi hii! wanzid kupungua tu jaman!
Nipo hapa mkuu nina kidevu kama ganda la fenesi.
Ama kweli kila shetani na mbuyu wake na mimi napata wa kuendana na mimi.
hahahaahha ukweli mm huwa nadataaaaaaaa
Teh! Teh! Teh! Teh! Teh!
Acha nije PM tuyajenge.
[emoji106]Nafikiri ni vyema mwanaume awe nadhifu avae vizuri kwa wastani na sio kupendeza sana na kuonekana muonekano wa kike,
KUJIKUNIAHabari ndugu zangu,
Naamini mko salama na bado mnaendelea kupigana na maisha ya sasa na hata kwa baadaye.
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kuhusu majadiliano kwa pamoja kila mwenye wazo tofauti na mwenzake anaweza kuchangia hapa katika huu mjadala/ uzi.
Katika jamii yetu nyingi hasa hususani barani afrika na Asia tumekuwa tukiona wanaume wakifuga kucha kidole kimoja ama viwili na pia wengi wao hupaka rangi ama inna,
Sasa hii imekuwa ikiashiria nini kwa wanaume kufuga kucha, na nijuavyo kuwa wanawake ndio hufuga kucha ikiwa pamoja na urembo mwingine kwa sababu hata vitabu vitakatifu mbali mbali huwa vimeeleza kuhusu utamaduni wa kujipamba/ kujiremba ni mwanamke tu anaruhusiwa, ikiwa pamoja na hayo kwa jamii nyingi ya sasa tumekuwa tukiona wanaume kuvaa desturi ya wanawake kama kusuka nywele, kuvaa nguo za kubana, kutoboa masikio pamoja na pua.
Je...?? kwa mtazamo wako ni sahihi mwanaume aliye kamilika kufanya yote hayo ikiwemo kufuga kucha na kupaka rangi.
Lkn si urembo wa kufuga kucha mwanaumekitabu gani takatifu kinasema kupendeza au kujiremba ni mwanamke peke yake??
wewe hufugi hizo kuchaSimpendi mwanaume anaefuga mikucha.......uchafu tuuuu
Sifugi[emoji15] [emoji15] [emoji15]wewe hufugi hizo kucha