Tujadili kwa pamoja kuhusu wanaume kufuga kucha kuna maanisha nini...??

Tujadili kwa pamoja kuhusu wanaume kufuga kucha kuna maanisha nini...??

sipendi mwanaume anaefuga kucha,anaevaa cheni,anaevaa pete ambayo sio ya NDOA,nashukur MUNGU sijhawah kuwa nao kimahusiano! nawahis sio SALAMA KWANGU
Hapo kwenye cheni bana pagumu maana vijana wengi tunapenda kuvaa vitu vya Silver vile pale shingoni na wengine Gold hasa hasa mbele huko wanavaa sana Magold pale shingoni sasa kama ww huzitaki hizo naona tunaokosa sifa tutakuwa wengi
 
Hapo kwenye cheni bana pagumu maana vijana wengi tunapenda kuvaa vitu vya Silver vile pale shingoni na wengine Gold hasa hasa mbele huko wanavaa sana Magold pale shingoni sasa kama ww huzitaki hizo naona tunaokosa sifa tutakuwa wengi


upo sahihi... ndo maana napenda watu fulan hv sio vijana!...lol!
 
Wengi wanafuga tu bila kuwa na sababu ila ukikutana na mwanamme anaejua kuutumia huo ukucha vizuri Mwanamke utakojoa dagaa ukitekenywa vizuri kiss_me
 
Back
Top Bottom