Tujadili kwa pamoja kuhusu wanaume kufuga kucha kuna maanisha nini...??

Duuh....wale wavaa rosary vipi?

Ukimkuta nayo unahairisha?

brain is the beautiful part of the body.


kwakwekli labda na malezi!kukua kwangu kote sijawah kutana na mtu kavaa hizo mambo!HAPANA
 

Nipo hapa mkuu nina kidevu kama ganda la fenesi.

Ama kweli kila shetani na mbuyu wake na mimi napata wa kuendana na mimi.
 
Nafikiri ni vyema mwanaume awe nadhifu avae vizuri kwa wastani na sio kupendeza sana na kuonekana muonekano wa kike,
 
Mwanaume kufuga kucha ni uchafu na wengi wenye huo ujinga wa kufuga kucha ni mabishoo huwezi kuta wanaume tunaojielewa tumefuga kucha au kuwa wachafu wachafu.

-Ndumilakuwili-
 
KUJIKUNIA

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Simpendi mwanaume anaefuga mikucha.......uchafu tuuuu
 
Hivi Nyie Mnaofuga makucha zile Nyuchi mnachezeaje na hiyo Mikucha au na Nyie ni Mashosti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…