Tujadili kwa uwazi kisheria kuhusu kujiuzulu kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM bara Abdulrahman Kinana. Sheria, Katiba na Kanuni zihusike

Tujadili kwa uwazi kisheria kuhusu kujiuzulu kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM bara Abdulrahman Kinana. Sheria, Katiba na Kanuni zihusike

Ibara ya 19(b) ya Katiba ya CCM ya 1977, Toleo la 2022 inatoa fursa ya Kiongozi KUJIUZULU.

UTARATIBU

Makamu Mwenyekiti CCM anapojiuzulu hutakiwa kukabidhi barua ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa chama Taifa. Kisha, Mwenyekiti anatakiwa Kikatiba (CCM) kuipeleka kwenye Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Hiki ndicho chombo chenye mamlaka ya KURIDHIA au KUKATAA kuridhia kujiuzulu kwa huyo kiongozi.

Kama chombo hiki kitaridhia, rais au Halmashauri Kuu itatakiwa kuitisha Mkutano Mkuu wa chama Taifa kwa ajili ya uchaguzi huku ikipeleka jina la Kada aliyeteuliwa ili apigiwe kura awe Makamu Mwenyekiti mpya wa chama.

Siku ya Mkutano Mkuu (ambao huwa wazi), Mwenyekiti wa Chama Taifa atasoma hadharani barua ya KUJIUZULU huko, tena mbele ya Vyombo vya Habari aliyoipokea toka kwa Makamu wake. Mfano wa hili ilifanyika tarehe 1 April 2022, ambapo Mwenyekiti wa CCM (SSH) alisoma barua ya kung'atuka toka kwa mzee Philip Mangula.

Kwakuwa Mwenyekiti wa CCM sio MAMLAKA ya Uteuzi ya Makamu wake, kuridhia kwake (rais) hakuna nguvu ya kisheria au Katiba ya Chama. Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ndiyo yenye mamlaka hayo. Hivyo, kama Halmashauri Kuu haijaridhia mzee Kinana KUJIUZULU, basi Katiba ya CCM bado inamtambua mzee Kinana kama Makamu Mwenyekiti (Bara).

Jambo ambalo binafsi nalisubiri ni kuona kama Mwenyekiti wa CCM Taifa ataisoma barua hiyo anayosema amepokea ya mzee Kinana mbele ya Mkutano Mkuu.

Ukitaka kuelewa haya niliyoyasema, nenda pitia Katiba ya CCM Ibara 19(b) & (e), sambamba na Kanuni za Uchaguzi CCM 116(d) toleo 2017.

Pia, Ibara za 105 & 106 za Kanuni za Uchaguzi za CCM, sambamba na Katiba CCM ibara 100(5)(a) & 114(1), toleo 2020.

Malizia na Ibara ya 102(12)(a) ya Katiba CCM, pamoja na Kanuni za Uchaguzi za CCM, Ibara ya 106.

Kama kuna lolote la ziada, nitafurahi kujifunza..

Je, mzee Kinana AMEJIUZULU au AMEFUKUZWA, nimeshawafungua macho kwenye hili.
karibuni Tujadili.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kumekucha 😱
 
Ibara ya 19(b) ya Katiba ya CCM ya 1977, Toleo la 2022 inatoa fursa ya Kiongozi KUJIUZULU.

UTARATIBU

Makamu Mwenyekiti CCM anapojiuzulu hutakiwa kukabidhi barua ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa chama Taifa. Kisha, Mwenyekiti anatakiwa Kikatiba (CCM) kuipeleka kwenye Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Hiki ndicho chombo chenye mamlaka ya KURIDHIA au KUKATAA kuridhia kujiuzulu kwa huyo kiongozi.

Kama chombo hiki kitaridhia, rais au Halmashauri Kuu itatakiwa kuitisha Mkutano Mkuu wa chama Taifa kwa ajili ya uchaguzi huku ikipeleka jina la Kada aliyeteuliwa ili apigiwe kura awe Makamu Mwenyekiti mpya wa chama.

Siku ya Mkutano Mkuu (ambao huwa wazi), Mwenyekiti wa Chama Taifa atasoma hadharani barua ya KUJIUZULU huko, tena mbele ya Vyombo vya Habari aliyoipokea toka kwa Makamu wake. Mfano wa hili ilifanyika tarehe 1 April 2022, ambapo Mwenyekiti wa CCM (SSH) alisoma barua ya kung'atuka toka kwa mzee Philip Mangula.

Kwakuwa Mwenyekiti wa CCM sio MAMLAKA ya Uteuzi ya Makamu wake, kuridhia kwake (rais) hakuna nguvu ya kisheria au Katiba ya Chama. Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ndiyo yenye mamlaka hayo. Hivyo, kama Halmashauri Kuu haijaridhia mzee Kinana KUJIUZULU, basi Katiba ya CCM bado inamtambua mzee Kinana kama Makamu Mwenyekiti (Bara).

Jambo ambalo binafsi nalisubiri ni kuona kama Mwenyekiti wa CCM Taifa ataisoma barua hiyo anayosema amepokea ya mzee Kinana mbele ya Mkutano Mkuu.

Ukitaka kuelewa haya niliyoyasema, nenda pitia Katiba ya CCM Ibara 19(b) & (e), sambamba na Kanuni za Uchaguzi CCM 116(d) toleo 2017.

Pia, Ibara za 105 & 106 za Kanuni za Uchaguzi za CCM, sambamba na Katiba CCM ibara 100(5)(a) & 114(1), toleo 2020.

Malizia na Ibara ya 102(12)(a) ya Katiba CCM, pamoja na Kanuni za Uchaguzi za CCM, Ibara ya 106.

Kama kuna lolote la ziada, nitafurahi kujifunza..

Je, mzee Kinana AMEJIUZULU au AMEFUKUZWA, nimeshawafungua macho kwenye hili.
karibuni Tujadili.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Amefukuzwa amejiuzulu watajuana wenyewe. Muhimu hawa 'gang of four' ukimuongeza marehemu membe wameachia ngazi kwenye utawala.
 
Ibara ya 19(b) ya Katiba ya CCM ya 1977, Toleo la 2022 inatoa fursa ya Kiongozi KUJIUZULU.

UTARATIBU

Makamu Mwenyekiti CCM anapojiuzulu hutakiwa kukabidhi barua ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa chama Taifa. Kisha, Mwenyekiti anatakiwa Kikatiba (CCM) kuipeleka kwenye Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Hiki ndicho chombo chenye mamlaka ya KURIDHIA au KUKATAA kuridhia kujiuzulu kwa huyo kiongozi.

Kama chombo hiki kitaridhia, rais au Halmashauri Kuu itatakiwa kuitisha Mkutano Mkuu wa chama Taifa kwa ajili ya uchaguzi huku ikipeleka jina la Kada aliyeteuliwa ili apigiwe kura awe Makamu Mwenyekiti mpya wa chama.

Siku ya Mkutano Mkuu (ambao huwa wazi), Mwenyekiti wa Chama Taifa atasoma hadharani barua ya KUJIUZULU huko, tena mbele ya Vyombo vya Habari aliyoipokea toka kwa Makamu wake. Mfano wa hili ilifanyika tarehe 1 April 2022, ambapo Mwenyekiti wa CCM (SSH) alisoma barua ya kung'atuka toka kwa mzee Philip Mangula.

Kwakuwa Mwenyekiti wa CCM sio MAMLAKA ya Uteuzi ya Makamu wake, kuridhia kwake (rais) hakuna nguvu ya kisheria au Katiba ya Chama. Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ndiyo yenye mamlaka hayo. Hivyo, kama Halmashauri Kuu haijaridhia mzee Kinana KUJIUZULU, basi Katiba ya CCM bado inamtambua mzee Kinana kama Makamu Mwenyekiti (Bara).

Jambo ambalo binafsi nalisubiri ni kuona kama Mwenyekiti wa CCM Taifa ataisoma barua hiyo anayosema amepokea ya mzee Kinana mbele ya Mkutano Mkuu.

Ukitaka kuelewa haya niliyoyasema, nenda pitia Katiba ya CCM Ibara 19(b) & (e), sambamba na Kanuni za Uchaguzi CCM 116(d) toleo 2017.

Pia, Ibara za 105 & 106 za Kanuni za Uchaguzi za CCM, sambamba na Katiba CCM ibara 100(5)(a) & 114(1), toleo 2020.

Malizia na Ibara ya 102(12)(a) ya Katiba CCM, pamoja na Kanuni za Uchaguzi za CCM, Ibara ya 106.

Kama kuna lolote la ziada, nitafurahi kujifunza..

Je, mzee Kinana AMEJIUZULU au AMEFUKUZWA, nimeshawafungua macho kwenye hili.
karibuni Tujadili.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Hivi tangu lini CCM imekuwa na utamaduni wa kutii Sheria au Katiba katika nchi hii?
 
Haliji Ilagi - Dawa ya moto ni moto.
Mtu tatu ndani ya track moja.
1722357244759.png
 
Kama Katiba ya nchi wanaivunja mchana kweupee.

Hiyo ya Chama ni kijitabu tu mbele yao.

Ukishashika nafadi ya (za) juu basi una immune dhidi ya katiba
Kwahiyo watanzania tuendelee kuchekelea uvunjwaji wa katiba tofauti na roho ya nchi inavyotaka? Hii itaendelea mpaka lini kuwa "Katiba imevunjwa, katiba imevunjwa?" Na hakuna hatua inayochukuliwa na vyombo vilivyopewa mamlaka ya kusimamia watendaji wa serikali?
 
Sio mara Ya kwanza..
Ila tunachokisema Sio yeye Kujiuzulu bali sheria na Taratibu za Kujiuzulu zifuatwe..
Kamati ya Chama na mkutano mkuu Umekaa Lini kupitisha Maamuzi hayo?
Yeye ameshajiuzulu taratibu zitafuata baadae

Kawaida Sana 😂
 
Ndo hapo unaweza Kushangaa Kuwa Anapeleka Barua kwa Kiongozi wa CCM kwa kazi ya Umma
Tanzania ni Nchi ya kipekee kabisa...can you imagine waheshimiwa Msukuma na Kibajaji wanaweza kukaa na wenzao kama kamati kuu au Bunge na kufanya maamuzi ambayo kuanzia Wakuu wa vyombo wakiongozwa na Mkuu wa Majeshi hadi mkulima wa Kawaida kabisa uko tandahimba watayatii Bila kuhoji ata nukta!?
 
Sasa Mh Mwenyekiti Hakutakiwa Kuridhia Maana Yeye Hana mamlaka ya Kuridhia..
Ila mamlaka ya Kuridhia yapo chini ya Kamati kuu na CC
Kumbuka Kinana alishajiuzulu wakati wa Shujaa Magufuli

Mpendwa Wetu Mh Mwenyekiti Dr Samia alimuomba tu arejee kwa muda so hakuwa na mkataba wa kikatiba tena

Ahsante 😂
 
Ibara ya 19(b) ya Katiba ya CCM ya 1977, Toleo la 2022 inatoa fursa ya Kiongozi KUJIUZULU.

UTARATIBU

Makamu Mwenyekiti CCM anapojiuzulu hutakiwa kukabidhi barua ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa chama Taifa. Kisha, Mwenyekiti anatakiwa Kikatiba (CCM) kuipeleka kwenye Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Hiki ndicho chombo chenye mamlaka ya KURIDHIA au KUKATAA kuridhia kujiuzulu kwa huyo kiongozi.

Kama chombo hiki kitaridhia, rais au Halmashauri Kuu itatakiwa kuitisha Mkutano Mkuu wa chama Taifa kwa ajili ya uchaguzi huku ikipeleka jina la Kada aliyeteuliwa ili apigiwe kura awe Makamu Mwenyekiti mpya wa chama.

Siku ya Mkutano Mkuu (ambao huwa wazi), Mwenyekiti wa Chama Taifa atasoma hadharani barua ya KUJIUZULU huko, tena mbele ya Vyombo vya Habari aliyoipokea toka kwa Makamu wake. Mfano wa hili ilifanyika tarehe 1 April 2022, ambapo Mwenyekiti wa CCM (SSH) alisoma barua ya kung'atuka toka kwa mzee Philip Mangula.

Kwakuwa Mwenyekiti wa CCM sio MAMLAKA ya Uteuzi ya Makamu wake, kuridhia kwake (rais) hakuna nguvu ya kisheria au Katiba ya Chama. Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ndiyo yenye mamlaka hayo. Hivyo, kama Halmashauri Kuu haijaridhia mzee Kinana KUJIUZULU, basi Katiba ya CCM bado inamtambua mzee Kinana kama Makamu Mwenyekiti (Bara).

Jambo ambalo binafsi nalisubiri ni kuona kama Mwenyekiti wa CCM Taifa ataisoma barua hiyo anayosema amepokea ya mzee Kinana mbele ya Mkutano Mkuu.

Ukitaka kuelewa haya niliyoyasema, nenda pitia Katiba ya CCM Ibara 19(b) & (e), sambamba na Kanuni za Uchaguzi CCM 116(d) toleo 2017.

Pia, Ibara za 105 & 106 za Kanuni za Uchaguzi za CCM, sambamba na Katiba CCM ibara 100(5)(a) & 114(1), toleo 2020.

Malizia na Ibara ya 102(12)(a) ya Katiba CCM, pamoja na Kanuni za Uchaguzi za CCM, Ibara ya 106.

Kama kuna lolote la ziada, nitafurahi kujifunza..

Je, mzee Kinana AMEJIUZULU au AMEFUKUZWA, nimeshawafungua macho kwenye hili.
karibuni Tujadili.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Hi mkuu,
For the status of our nation, economically, politically, socially, I don't think we wananchi should be concerned about the happenings in ccm establishement,
Our only concern should be how to get rid of this cancer(ccm), they are destroying our country,
Samia/ccm have no regitimacy to rule, we know it, they know it, and they know without maghufurication of our electro system, they can't win on the ballot,
They should have been got ridden of yesteryears,
Ccm rulers are bunch of thieves, incompetent, thugs, they care only for there stomachs, family,
As far as am concerned, they can drop and die, the bad thing, if we don't kick, or bomb them out of state House, they will take this country into hell, shitholes,
 
Back
Top Bottom