Nchi hii ina njia nyingi za kuwafanya hawa watu 6 au 7 wakaendelea vizuri na maisha, tatizo tunaishi maisha ya Kufikirika... Hivi kwanini njia zinazofanyika ya uwekezaji kwenye madini zikafanywa kwenye UWEKEZAJI MKUBWA WA KILIMO kama ZIMBAMBWE ili watu wenye hela wafanye kilimo na wengine wanufaike kwa ajira???
Hii mikoa ya Morogoro, Mbeya, Tanga, Songwe, Iringa, Rukwa na mengine yenye ardhi na mazingira bora ya KILIMO si waje watu ambao watafanya kilimo cha uhakika na wenyeji wawe wafanyakazi ili kuwe na mzunguko na uzalishaji wa ajira???...