DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
KabisaWe acha tu na nyuma yako kuna TGS A, B na C , afu ukute wanafamilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaWe acha tu na nyuma yako kuna TGS A, B na C , afu ukute wanafamilia.
Msiwaache mtawaongezea msongo wa mawazo wanapambana sanaSisi wa Dodoma tusubiri uzi wetu.
Ila Dodoma wanaume wasio na kipato cha kueleweka sijui wanaishije maana mji mgumu huu.
Sisi wanawake ni mtelezo tu.
Mungu awasimamie wanaume zetu mlioko Dodoma. Tuko pamoja, hatuwaachi.
Watoto siku hizi wanasoma wakiwa na miaka miwili chekechea.
Haswaaa....Na mlizi huyo huyo anaweza hata kumnyandulia mke wake, tena kwa kumpeleka hadi guest za Buza Kwa Mpalange! Maisha hayapo fair
Hapo hapo kwa laki 5 hiyo, bado hujakopa ili ujenge nyumba ya kuishi au unununue kagari used ili na wewe utembee ukiwa umekaa kama wengine!Wengi humu tunakunja laki 7, baada ya makato tuna laki 5 tu. Hao wa 2mill ni wateuliwa wachache sana
Siyo kweli kwamba sisi tunaoishi huku Kongwa ni hohehahe kama unavyotaka Jamii ituelewe hivyo. Huku Kongwa tuna ving'amuzi vingi tu ambavyo tunalipia bila wasiwasi. Pia tunaweza kula nyama kama wenzetu sehemu nyingine, kumbukeni Kongwa Beef ipo tu jirani. Hatutegemei sana kazi za kuajiriwa bali wengi wetu ni wakulima sehemu za Kibaigwa na wengine wana biashara zao nzuri tu.Haitoshi kabisa.
Ila mimi nimeshachukua maamuzi ya kuishi kama niko Kongwa ndani ndani kabisa, ili baada ya muda nikishakuwa vizuri hayo maisha ya jiji nitayaishi tuu, nafanya yafuatayo:
1. Sina mpango wa kulipia king'amuzi.
2. Napanga karibu na kazini.
3. Chakula ni kam tuko Kongwa(Harage na dagaa kwa wingi).
Ova.
Si kila mbunge anaishi Dodoma.Wanawake mnateleza nini au offer za wabunge?
Maisha magumu sanaHapo hapo kwa laki 5 hiyo, bado hujakopa ili ujenge nyumba ya kuishi au unununue kagari used ili na wewe utembee ukiwa umekaa kama wengine!
Bado Bodi ya Mikopo haijachukua 15% yao ya Basic Salary! Bado hujalipa ada, kutoa michango ya harusi! Kuwatumia wazazi kahela ka matumizi, nk!!
Nilisoma sheria ajira zikawa ngumu ilinibidi nijichanganye na postgraduate ya ualimu, then niliajiriwa as mwalimu 2015 , cha kwanza nilipanga karibu na kituo cha kazi tena single room nikajiapiza sitaoa na kipato hicho, no TV, gas ndogo , nilikuwa napika , then nikawa nimeunda kikundi cha kuchangiana kila mwezi laki mbili, nilikuwa wa mwisho nilipata million moja, then nikakopa million moja na nusu bank, nikanunua kiwanja na kuanza ujenzi wa chumba sebule hapo nilijenga mwaka , nilihamia humo kama ndege , then mwaka wa tatu nilianza kununua ngombe dume nawatumia watu home wanafuga, mwaka wa tano nilikuwa na madume kama watano nilipowauza nilifungua duka na kisha nikakopa milioni 1010000 then nilianza kununua mitamba na kuwapa watu kule home, Leo hii umri wangu 35 Naoa mwaka huu, Nina mashamba kwetu makubwa as mkulima mkubwa, nimejenga nyumba standard tu mjini, namiliki canter na Nina mifugo mjini ,Nina duka kubwa tu ,nasomesha watoto wangu 1 na wajomba 2 ila salary yangu ni 249000,_so pambana tu mzee utafika huo mtaji ni mkubwa
Walikua wanasomaje kabla ya kupata hiyo ajira au walikua kayumba then kapata kibarua anataka awapeleke TusiimeKwa wakati huu inawezekana sababu mtu anaajiriwa kwa bahati na Mungu kumpenda baada ya kukaa mtaani takribani miaka 5 hadi 7. Kwanini asiwe na mtoto anaesoma?
Kwani si kuna elimu bure?Unafahamu Wafanyakazi walio ajiriwa kuanzia mwaka 2014 mpaka leo bado hawajapandishwa madaraja/ vyeo vya kimuundo! na hivyo kuishi kwa mshahara ule ule wa TGS D sawa na hawa walio ajiriwa 2021?
Kwa hiyo unategemea mfanyakazi aliyeanza kazi mwaka 2014 mpaka mwaka huu wa 2021 bado awe tu hana familia au mtoto anayesoma?
By the way, kuna wahitimu wengine wanamaliza shule/vyuo wakiwa tayari wana familia kutokana na ukweli kwamba umri una waruhusu kuwa na hizo familia!
Real talkKwani wee ulitakaje labda?
Ajenge bangaloo au?
Au hujawaona waliostaafu (60s) hawana hata kiwanja achilia mbali hata icho chumbani kimoja alichonacho uyo mlinzi.
Tujifunze kuappreciate ata kwa vile vidogo walivyofanikiwa wenzetu.
Kwa maana hawajavipata kirahisi wamepambana Sana mpk kufika pale kwa levo yao.
Si ndo hapoMnajichomeka kwny majukumu ya hiyari halafu mnalalamika Maisha magumu
Katoto ka miaka 2 unaenda kuzamisha 2m kufundishwa kunywa uji na vingereza vya uongo na kweli ambavyo hata wewe ukijipa masaa 2 usiku daily unaweza
Hata zamani walikua wanasoma chekechea,Watoto siku hizi wanasoma wakiwa na miaka miwili chekechea.
Acha chenga wewe mgambo alipwe laki 2 mpk 3 kwa uwezo upi au na serikali ipiIkifika zamu ya kutujadili sisi migambo tunaofanya kazi Posta(jijini) na kuishi Mbagala(Mkoani) nitatia neno. Na mshahara wetu ni laki mbili na nusu hadi laki 3.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Nafukuza takataka hiyo nyumbn kwangu atakuja kuuza nyumba na mali zenu zingine,pumbavu eti mtoto usimfokee ndio maana sinaga mda wa kuchekacheka na watoto mwisho watakuwa kama huyoMleta mada atakuwa mtoto wa mama alizoea kupewa pocket money laki mbili kwa mwezi kula kulala bure nyumbani chumba self contained cha peke yake anatumia gari ya wazazi mzazi anajaza mafuta na kila kitu .Umeme maji nk mzazi sasa akipangiwa kazi na mshahara laki tano anataka aishi maisha yale yale apate nyumba self contained yenya kasebule ka peke yake ale buffet na pizza nk kama alivyokuwa akila kwa wazazi haipo hiyo.
Nina mtoto wa jirani alikataa kwenda mbinga kikazi ualimu shule ya msingi akawa anatukana wazazi wake kuwa wana vyeo vikubwa lakini hawampendi akasema kwanini nisipangiwe Dar es salaam? Akaulize kazi ya vyeo vyenu vikubwa ni nini kama hamnisaiidii mtoto wenu wakabaki wanatoa machozi tu sababu hata hiyo ajira kuipata ni Mungu aliyesaidia. Hawakujua hata watafanyaje baada ya kumaliza course ya ualimu.
Kuanza maisha inatakiwa kushuka ndio maana kunaitwa kuanza maisha ulizoea kukaa kwa watu sasa zamu yako kuanza na wewe maisha!! Panga sehemu zinaoendana na kipato na uishi maisha ya kawaida tu digrii yako is not a big deal hata vijijini sasa hivi ziko kibao watu wanazo hawana kazi.
Nilisoma sheria ajira zikawa ngumu ilinibidi nijichanganye na postgraduate ya ualimu, then niliajiriwa as mwalimu 2015 , cha kwanza nilipanga karibu na kituo cha kazi tena single room nikajiapiza sitaoa na kipato hicho, no TV, gas ndogo , nilikuwa napika , then nikawa nimeunda kikundi cha kuchangiana kila mwezi laki mbili, nilikuwa wa mwisho nilipata million moja, then nikakopa million moja na nusu bank, nikanunua kiwanja na kuanza ujenzi wa chumba sebule hapo nilijenga mwaka , nilihamia humo kama ndege , then mwaka wa tatu nilianza kununua ngombe dume nawatumia watu home wanafuga, mwaka wa tano nilikuwa na madume kama watano nilipowauza nilifungua duka na kisha nikakopa milioni 1010000 then nilianza kununua mitamba na kuwapa watu kule home, Leo hii umri wangu 35 Naoa mwaka huu, Nina mashamba kwetu makubwa as mkulima mkubwa, nimejenga nyumba standard tu mjini, namiliki canter na Nina mifugo mjini ,Nina duka kubwa tu ,nasomesha watoto wangu 1 na wajomba 2 ila salary yangu ni 249000,_so pambana tu mzee utafika huo mtaji ni mkubwa
Nilimaanisha kuwa kijana amemaliza chuo anakaa mtaani kabla ya ajira kwa miaka kadhaa baadae ndio anataka ajira akiwa tayari ametengeneza mazingira ya kuwa na familia.Walikua wanasomaje kabla ya kupata hiyo ajira au walikua kayumba then kapata kibarua anataka awapeleke Tusiime
Kama JAMAA anavyodhani alipoingia pale,kila kitu kikabaki vilevile,yaani majukumu hayaongezeki kwa mwajiriwa,hivyo no annual increment.Yaan we unaanza kazi tu unaanza kuwa na majukumu makubwa, familia watoto wanasoma etc.