Tujadili mshahara wa TGS D kwa watumishi wanaoishi kwenye majiji

Msiwaa
Sisi wa Dodoma tusubiri uzi wetu.

Ila Dodoma wanaume wasio na kipato cha kueleweka sijui wanaishije maana mji mgumu huu.
Sisi wanawake ni mtelezo tu.
Mungu awasimamie wanaume zetu mlioko Dodoma. Tuko pamoja, hatuwaachi.
Msiwaache mtawaongezea msongo wa mawazo wanapambana sana
 
Wengi humu tunakunja laki 7, baada ya makato tuna laki 5 tu. Hao wa 2mill ni wateuliwa wachache sana
Hapo hapo kwa laki 5 hiyo, bado hujakopa ili ujenge nyumba ya kuishi au unununue kagari used ili na wewe utembee ukiwa umekaa kama wengine!

Bado Bodi ya Mikopo haijachukua 15% yao ya Basic Salary! Bado hujalipa ada, kutoa michango ya harusi! Kuwatumia wazazi kahela ka matumizi, nk!!
 
Siyo kweli kwamba sisi tunaoishi huku Kongwa ni hohehahe kama unavyotaka Jamii ituelewe hivyo. Huku Kongwa tuna ving'amuzi vingi tu ambavyo tunalipia bila wasiwasi. Pia tunaweza kula nyama kama wenzetu sehemu nyingine, kumbukeni Kongwa Beef ipo tu jirani. Hatutegemei sana kazi za kuajiriwa bali wengi wetu ni wakulima sehemu za Kibaigwa na wengine wana biashara zao nzuri tu.
 
Maisha magumu sana
 
Ndugu zako walikuwa waaminifu
 
Kwa wakati huu inawezekana sababu mtu anaajiriwa kwa bahati na Mungu kumpenda baada ya kukaa mtaani takribani miaka 5 hadi 7. Kwanini asiwe na mtoto anaesoma?
Walikua wanasomaje kabla ya kupata hiyo ajira au walikua kayumba then kapata kibarua anataka awapeleke Tusiime
 
Kwani si kuna elimu bure?


Kwanin unataka kupeleka mtoto tusiime wakati kipato tia maji tia maji
 
Real talk
 
Mnajichomeka kwny majukumu ya hiyari halafu mnalalamika Maisha magumu

Katoto ka miaka 2 unaenda kuzamisha 2m kufundishwa kunywa uji na vingereza vya uongo na kweli ambavyo hata wewe ukijipa masaa 2 usiku daily unaweza
Si ndo hapo
 
Watoto siku hizi wanasoma wakiwa na miaka miwili chekechea.
Hata zamani walikua wanasoma chekechea,


Shida ni kwamba watu wanafata mkumbo,mshahara kiduchu unataka kuishi maisha ya juu its either leverage your income kama ID yako au live below your earnings ukishindwa kaa kwa kutulia
 
Nafukuza takataka hiyo nyumbn kwangu atakuja kuuza nyumba na mali zenu zingine,pumbavu eti mtoto usimfokee ndio maana sinaga mda wa kuchekacheka na watoto mwisho watakuwa kama huyo
 
Good morning
 
Walikua wanasomaje kabla ya kupata hiyo ajira au walikua kayumba then kapata kibarua anataka awapeleke Tusiime
Nilimaanisha kuwa kijana amemaliza chuo anakaa mtaani kabla ya ajira kwa miaka kadhaa baadae ndio anataka ajira akiwa tayari ametengeneza mazingira ya kuwa na familia.
Si wote ila baadhi yao hivyo usimshangae anaeanza kazi akiwa na mke na mtoto
 
Yaan we unaanza kazi tu unaanza kuwa na majukumu makubwa, familia watoto wanasoma etc.
Kama JAMAA anavyodhani alipoingia pale,kila kitu kikabaki vilevile,yaani majukumu hayaongezeki kwa mwajiriwa,hivyo no annual increment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…