Tujadili mshahara wa TGS D kwa watumishi wanaoishi kwenye majiji

Kama JAMAA anavyodhani alipoingia pale,kila kitu kikabaki vilevile,yaani majukumu hayaongezeki kwa mwajiriwa,hivyo no annual increment.
Kama maisha yamesimama vile
 
Kuna vitu hujaweka wazi hapa kama hii habari yako ni ya kweli
1. Hela ya kununua canter
2. Hela ya kujenga nyumba standard
Zimetoka wapi maana kwa maelezo yako una ng'ombe 6 na duka moja. Kuna kitu unatuficha hapa.
 
Sisi wa Dodoma tusubiri uzi wetu.

Ila Dodoma wanaume wasio na kipato cha kueleweka sijui wanaishije maana mji mgumu huu.
Sisi wanawake ni mtelezo tu.

Mungu awasimamie wanaume zetu mlioko Dodoma. Tuko pamoja, hatuwaachi.
Asee.....pruuuuu mpaka maka
 
Ikifika zamu ya kutujadili sisi migambo tunaofanya kazi Posta(jijini) na kuishi Mbagala(Mkoani) nitatia neno. Na mshahara wetu ni laki mbili na nusu hadi laki 3.

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Mgambo ni Semi skilled job kwa hiyo huo mshahara unawatosha Sana.Hebu chunguza huyo wa 540,000/=,anakaa darasani kwa muda gani?,halafu jilinganishe na wewe sasa.
 
Kuna vitu hujaweka wazi hapa kama hii habari yako ni ya kweli
1. Hela ya kununua canter
2. Hela ya kujenga nyumba standard
Zimetoka wapi maana kwa maelezo yako una ng'ombe 6 na duka moja. Kuna kitu unatuficha hapa.
Kuna mwamba hapo@Pohamba kacoment Good morning nadhani umepata picha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…