Na ikumbukwe wengi wanacheza na 1/3Ikifika zamu ya kutujadili sisi migambo tunaofanya kazi Posta(jijini) na kuishi Mbagala(Mkoani) nitatia neno. Na mshahara wetu ni laki mbili na nusu hadi laki 3.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Tusitoane akili, kama kuna kiwango ambacho unakifahamu wewe sema hamna aliyekuzuia. Boundary uliyonayo usihisi ndo inahodhi kila kitu.Acha chenga wewe mgambo alipwe laki 2 mpk 3 kwa uwezo upi au na serikali ipi
Kama maisha yamesimama vileKama JAMAA anavyodhani alipoingia pale,kila kitu kikabaki vilevile,yaani majukumu hayaongezeki kwa mwajiriwa,hivyo no annual increment.
Kuna vitu hujaweka wazi hapa kama hii habari yako ni ya kweliNilisoma sheria ajira zikawa ngumu ilinibidi nijichanganye na postgraduate ya ualimu, then niliajiriwa as mwalimu 2015 , cha kwanza nilipanga karibu na kituo cha kazi tena single room nikajiapiza sitaoa na kipato hicho, no TV, gas ndogo , nilikuwa napika , then nikawa nimeunda kikundi cha kuchangiana kila mwezi laki mbili, nilikuwa wa mwisho nilipata million moja, then nikakopa million moja na nusu bank, nikanunua kiwanja na kuanza ujenzi wa chumba sebule hapo nilijenga mwaka , nilihamia humo kama ndege , then mwaka wa tatu nilianza kununua ngombe dume nawatumia watu home wanafuga, mwaka wa tano nilikuwa na madume kama watano nilipowauza nilifungua duka na kisha nikakopa milioni 1010000 then nilianza kununua mitamba na kuwapa watu kule home, Leo hii umri wangu 35 Naoa mwaka huu, Nina mashamba kwetu makubwa as mkulima mkubwa, nimejenga nyumba standard tu mjini, namiliki canter na Nina mifugo mjini ,Nina duka kubwa tu ,nasomesha watoto wangu 1 na wajomba 2 ila salary yangu ni 249000,_so pambana tu mzee utafika huo mtaji ni mkubwa
Wangeruhusu hata hiyo 1/3 wengine wangeikopea
Moshi sio jijiNa sisi tuliopo Dodoma na miji mingine kama Moshi mbona hamtusememi?
Asee.....pruuuuu mpaka makaSisi wa Dodoma tusubiri uzi wetu.
Ila Dodoma wanaume wasio na kipato cha kueleweka sijui wanaishije maana mji mgumu huu.
Sisi wanawake ni mtelezo tu.
Mungu awasimamie wanaume zetu mlioko Dodoma. Tuko pamoja, hatuwaachi.
Nilikuwa dodoma kwa shughuli flan dodoma ya sasa siyo kama ya zamani kila kitu bei tuNa sisi tuliopo Dodoma na miji mingine kama Moshi mbona hamtusememi?
Mgambo ni Semi skilled job kwa hiyo huo mshahara unawatosha Sana.Hebu chunguza huyo wa 540,000/=,anakaa darasani kwa muda gani?,halafu jilinganishe na wewe sasa.Ikifika zamu ya kutujadili sisi migambo tunaofanya kazi Posta(jijini) na kuishi Mbagala(Mkoani) nitatia neno. Na mshahara wetu ni laki mbili na nusu hadi laki 3.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu. Ngoja migambo turuke na kukanyagana tu hamna namna, sembuse shule tuliikataa wenyewe.Mgambo ni Semi skilled job kwa hiyo huo mshahara unawatosha Sana.Hebu chunguza huyo wa 540,000/=,anakaa darasani kwa muda gani?,halafu jilinganishe na wewe sasa.
Utelezi....Asee.....pruuuuu mpaka maka
Kuna mwamba hapo@Pohamba kacoment Good morning nadhani umepata picha mkuu.Kuna vitu hujaweka wazi hapa kama hii habari yako ni ya kweli
1. Hela ya kununua canter
2. Hela ya kujenga nyumba standard
Zimetoka wapi maana kwa maelezo yako una ng'ombe 6 na duka moja. Kuna kitu unatuficha hapa.
Wa chako ni chakoUtelezi....
Uko sawa kabisa 100%Mgambo ni Semi skilled job kwa hiyo huo mshahara unawatosha Sana.Hebu chunguza huyo wa 540,000/=,anakaa darasani kwa muda gani?,halafu jilinganishe na wewe sasa.
Huu naona ni wa Platinum 4G au Malaika....maana ni balaaWa chako ni chako
Asee utanipeleka hukoHuu naona ni wa Platinum 4G au Malaika....maana ni balaa
Nipo kukusaidia...karibu sana mkuuAsee utanipeleka huko
Nilikuwa dodoma kwa shughuli flan dodoma ya sasa siyo kama ya zamani kila kitu bei tu
Bei ya kipochi ikoje huko jijini kwa sasa kwa vipochi vya kati?Nipo kukusaidia...karibu sana mkuu
Yah sana nlichukua chumba pale kwa mwez mmoja bei imeshba tofaut na zamanHata gharama ya vyumba sasa hivi ni kubwa