Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Tanganyika ni jina zuri sana tuWAKO SAHIHI.
sema jina lenu watanganyika limekaa ovyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].hamlipendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika ni jina zuri sana tuWAKO SAHIHI.
sema jina lenu watanganyika limekaa ovyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787].hamlipendi
Ila wahuni sio watu, huyo dingi na uanaharakati wake wote lkn alikua Ni Chakula ya wahuni, wahuni wamepiga sana Ile 'express yourself' yake.Christopher Mtikila ndio mpinzani pekee aliyewahi kutokea nchini Tanganyika.
Tanganyika na Zanzibar ziliungana kupatikana Tanzania.
Sisi ni Watanganyika halisi.
RIP Mtikila.
Tanganyika Taifa languHii ni kero namba moja ya muungano ya muda wote!! Kwa bahati mbaya haijaorozeshwa wala hakuna mpango wa kuiorodhesha miongoni mwa kero za muungano.
Juzi juzi tumefanya sherehe ya kumbukizi la miaka 60 ya uhuru wa "Tanzania", au wakiona aibu wanasema kumbukizi la uhuru wa "Tanzania bara"!! Lakini ukiwauliza Tanzania au Tanzania bara ilikuwa inatawaliwa na mkoloni gani?
hawana jibu!!!! watakuambia huo ni uchochezi.
Tumeamua kuificha historia yetu kwa kuifunika kwa kioo!!! Tumeifunika lakini inaonekana wazi.
Binafsi naukubali muungano, lakini hii kero ishughulikiwe.
Najivunia Utanganyika wangu kama wanavyojivunia Uzanzibari wao kabla ya wote kujivunia Utanzania wetu!!
Mimi binafsi siukubali Muungano, sikubali 21% ya ajira kwenda kwa watu 2.5% ya population ya nchi nzima.... mimi sio zezetaBinafsi naukubali muungano, lakini hii kero ishughulikiwe.
Tatizo letu tunaachia wanasiasia watujengee mitazamo yetu, na wanasiasa wenyewe ambao pia wao wenyewe hawajitambui wanapelekeshwa na ari na viburi vya ushindani, muungano wa nchi na nchi ni muungano wa kisiasa kwa hio haupaswi hata kidogo kuua asili za watu na majivuno ya asili zao.
Kwa nini muungano huu unakimbilia sana kuua asili za watu na majivuno ya asili zao?
kama binadamu inabidi tukae tujitathmini kwa makini sana,Na tujujengee uwezo wa kujiamulia mambo yanayoingia akilini na sio kupelekeshwa na siasa tulizorithishwa na wakoloni.