Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Mawazo ya hivi yapo hapaTanzania tu! Hata mchezo wa Simba na Coast wa hivi karibuni, waliotoka sare ya 2-2, nyie msiojua mchezo na sheria zake, refarii alipopuliza filimbi ya mwisho, mkadai Simba imebebwa!tumebebwa nilishangaa sana kile kitendo
Hawa wasikusumbue inawezekana wali beti kwa kuiua Taifa Stars acha waugulie maumivu!Kaka lile ni goli halali, Azam TV wamerudia mara nyingi Msuva hakuwa offside, jamaa aliruka akaukosa mpira ndo Msuva akasogea kidogo mbele na kufunga.
Pole sana!Huko Morocco mtaenda kutia aibua tu
Ama mpira walio ucheza kwa Congo wangetuua😆😆😆wale jamaa mpira walioucheza dk za mwisho wangeanza nao wangetupiga
Na wasiwasii na shuleulizosomaaaaaaaWakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Tukio pekee ambalo linaweza kufanyika baada ya muda wa nyongeza kuisha ni pigo la penalty. Refa yupo sahihi kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa kwa kuwa muda ulikuwa umekwishaWakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa?
Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni.
All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania.
Soma Pia: Full Time Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
Kivipi mkuu? Refa anatakiwa kuwa just and fair kama yule wa jana. Ina maana wewe ushazoea kudhukumiwa na marefa wako wa mchongo akina Victor Mwandiko na Isaro Chacha?Ukweli usemwe refa alikuwa upande wetuuu