Tujadili tamko hili la Waziri wa Mifugo kuhusu usajili wa wafuga kuku

Tujadili tamko hili la Waziri wa Mifugo kuhusu usajili wa wafuga kuku

Je, utaratibu ukoje?

Je, wafugaji wa wanyama wengine vipi?

Kusajili ni vizuri ila uwekwe utaratibu kwa mifugo yote wafugaji wasajiliwe kuwe na database na sio wafuga kuku wa nyama na mayai. Kuna mifugo mingi nchiniView attachment 1663632
Hapo kinachotafutwa ni kodi.. hayo mambo ya elimu sijui kutambulika ni mbwembwe tu.
 
Back
Top Bottom