Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Katika pitapita zangu Tanzania, Sijaona Mtanzania Pebari.Watu mdomoni wanasema wao wajamaa
Wakati kwenye maisha yao wanaishi kibepari
Ova
Basi tuwaite wabinafsiKatika pitapita zangu Tanzania, Sijaona Mtanzania Pebari.
Ubepari una sifa nyingine inaitwa Ubinafsi...
Tanzania unaenda kwenye Duka la Muhaya unakuta kuna Muha anauza...
Huo ndio uhalisia kwenye record zetu jomba..hatuna alternative data zozote zilizosema otherwise..hakuna hata kesi ya mahakama ya kupinga..matokeo..basi hiyo ndio data tunayo. Hatuwez argue kwa kutumia akili tu zetu then ikawa aunthetic data au information
Unaposhindwa kusema ukweli mwanzo kabisa , basi jua kila kitakachoendelea hakitakuwa sahihiHuo ndio uhalisia kwenye record zetu jomba..hatuna alternative data zozote zilizosema otherwise..hakuna hata kesi ya mahakama ya kupinga..matokeo..basi hiyo ndio data tunayo. Hatuwez argue kwa kutumia akili tu zetu then ikawa aunthetic data au information
Unajua Tindo ua nakushangaa sana kwa kushupaz a shingo kwa vitu ambavyo ata akilini haviingii..! Tu wakweli hivi Lissu na Lowasa nani alikuwa na ushawishi? Hivi ulitegemea kweli Lissu apate kura Milion 9 toka wapi?Kesi ya kupinga kwa mahakama gani?
Unachouliza ni tofauti na nikuchokujibuSoko Huria maana yake waache matajiri wafanye chochote...
Market and Economy regulation ni lazima na ni muhimu
Ngoja nikuulize, sijajua itachukua muda gani kujibu
1. Cryptocurrency
Blockchain inaondoa central administration ya kila kitu ambapo inakotumika, it is free and legit technology na hii ndio imetumika kutengeneza Bitcoin, etherium n.k Kwa nini bank kuu zinazikataza ikiwemo benki kuu ya Marekani moja ya Taifa kubwa na Kibepari na linalohamasish free market?
Katika Katiba ya CHAUMA wanasema hawakubaliani na aina yoyote ya soko huria
Hapo kura halali ni za Mbowe tu ila Dr Slaa na Lowassa walipata zaidi ya hiyo.Unajua Tindo ua nakushangaa sana kwa kushupaz a shingo kwa vitu ambavyo ata akilini haviingii..! Tu wakweli hivi Lissu na Lowasa nani alikuwa na ushawishi? Hivi ulitegemea kweli Lissu apate kura Milion 9 toka wapi?
Nikukumbushe tu kuwa
2005 Mbowe akigombea Urais alipata kura laki 5
2010 Dr Slaa alipata kura Milion 2 na laki kama 4 hivi
2015 Lowasa anapata kura Milion 6 sote tunajua kuwa Lowasa yeye kama yeye alikuwa na base ya watu ambao walitoka CCM wengine amabao walimkubali tu na Ukumbuke kulikuwa na ile Ukawa ambayo kwa kias kikubwa pia ilichangia, Sasa bandugu Chadema kama Chadema chini ya Lissu kura Milion 9 ingezitoa wapi? Maana kila uchaguzi nyie ni watu wakulalalmika tu.
Unajua Tindo ua nakushangaa sana kwa kushupaz a shingo kwa vitu ambavyo ata akilini haviingii..! Tu wakweli hivi Lissu na Lowasa nani alikuwa na ushawishi? Hivi ulitegemea kweli Lissu apate kura Milion 9 toka wapi?
Nikukumbushe tu kuwa
2005 Mbowe akigombea Urais alipata kura laki 5
2010 Dr Slaa alipata kura Milion 2 na laki kama 4 hivi
2015 Lowasa anapata kura Milion 6 sote tunajua kuwa Lowasa yeye kama yeye alikuwa na base ya watu ambao walitoka CCM wengine amabao walimkubali tu na Ukumbuke kulikuwa na ile Ukawa ambayo kwa kias kikubwa pia ilichangia, Sasa bandugu Chadema kama Chadema chini ya Lissu kura Milion 9 ingezitoa wapi? Maana kila uchaguzi nyie ni watu wakulalalmika tu.
Ujamaa sio uvivu...Shida ya ujaamaa ni kuwa ,una direct link na umasikini, ni moja ya system inayozalisha watu wavivu kirahisi sana, maana kuna watu wanaweza wakaamua wasifanye kazi kwa kuwa kuna working class
Ubepari ni mzuri kwa maana ya kuchapa kazi na kuamini juhudi ndio the only tool for survival , shida kubwa ipo kwenye kuhama kutoka ujaamaa kwenda ubepari hapa ndo pana balaa na pagumu.
Kama kuna system ya ku blend ujamaa na ubepari tupate kitu kingine nadhani ingetufaa kama taifa
Kumbe unatafuta madaraka jombaHangaikeni sanaa ila ccm ni ya wale wale....wanarithishana wenyewe, nyie wengine mtaashia kuvaa kofia na tshrt tu
Sijasema ujamaa ni uvivu , nimesema ni system amabayo ni rahisi sana kuzalisha wavivu, nilikuwa nimeweka bakaa hapo kwa wachina kwa muktadha wa desturi za jamii inaweza kuchangia pia uvivuUjamaa sio uvivu...
Uvivu ni tabia na unachangiwa na utamaduni
Msingi wa waendeleo yote ni Kazi.
Ukisema Ujamaa ni uvivu basi Wachina ni wavivu kuliko wote wayahudi ni wavivu, wajerumani ni wavivu.
Asante..umetupa mchanganuo mzuri na wa ukweli kabisa. .binafsi nimekuwa nikifikiri ubepari Ni kama ubinafsi tu wa kutaka kujilimbikizia mwenyewe na familia yako ili mneemeke wenyewe..bila kujali mwenzako anakula na anaishije...bepari kiasilia hathamini asiye nacho..na mara nyingi kumkaribia huwezi..utamwonea wapi..Ujamaa ndio njia pekee itakayomkomboa Mwafrika...
asilimia 90 ya Watanzania hawawezi kuishi upebari...
Marekani kuna vyama viwili vinavyopokezana madaraka Democratic na Republicans.
Democtratic(American Socialist) ni Kama CCM kwa mbali na Rebulicans ni Kama Chadema.
Hivi vilikuwa chama kimoja ila kulikuwa na mambo machache ambayo waasisi wake hawakukubaliana
1. Kodi
2. Huduma za Jamii
3. Namna Serikali itajenga miundombinu
4. Mipaka ya Free Market
Kwenye Kodi Republicans wanaamini kuwa matajiri hawatakini kulipa kodi kubwa na badala yake mzigo wa kodi upewe middle class na lower class, sababu ni kuwa tajiri ana weka equity kubwa kwenye uchumi hivyo ana take risk kubwa kuliko makundi mengine, na pia kama utawapunguzia kodi watajiri watazalisha kwa wingi.
Democratic wao wanaamini Sio sawa tajiri alipe kodi ndogo na middle-class wawe na mzigo wa kodi, jamii itakuwa na matabaka yasiozuilika
Kwenye huduma za jamii Republicans wao wanaamini kuwa Huduma za jamii kama afya na bima hazipaswi kugharamiwa na Serikali badala yake kila mmoja ajigharamie, kwa serikali kugharamia huduma za Afya ni kuifilisi serikali na kumuondolea mtu machaguo katika afya yake
Democratics wanaamini serikali inapaswa kugharamikia huduma za jami ili ziwe nafuu kwa watu wote
Kuhusu soko Huria.
Repulicans wao hawakubaliani na government regulations kwenye free market wanataka biashara ziwe free as they can be, ndio maana wanaamini serikali kuwa katika mikataba kama ya Carbon emission inachangia kufifisha biashara na hata Trump aliwahi kujitoa.
Binadamu ni mjamaa kiasili ila mazingira ndio yanamofanya ajifunze tabia za kipebari, Waafrika tutafanikiwa kama tutaweza kuendeleza ujamaa na kujitegemea.
Hizo tabia unazosema jomba Ni tofauti kabisa na sera za ujamaa na Kujitegemea...hizo kiukweli Ni tabia mbovu na binafsi tu, inawezekana hata uongozi wa juu unakuwa hauna taarifa..Sheria zipo nzuri Sana zinazolinda watu na Mali zao na ndio maana unaona watu wapp na amani Sana na wanajifanyia kazi zao kwa amani kabisa. ..mahakama zipo na zinatenda haki sanaShida ya sera za kijamaa kwa Tanzania ni tabia ya viongozi kuwa na mamlaka ya kujitwalia mali za watu binafsi walizotafuta kwa jasho na miaka mingi....
Unapomnyang'anya mtafutaji unamvunja moyo wa kutafuta zaidi. Pia kunakuwa hakuna uhakika wa mazingira ya biashara kutanuka na kuwa kubwa sababu sheria hata kama zipo haziheshimiwi maana serikali ndio inakuwa na last say badala ta mahakama na mamlaka husika.
So nadhani tunaweza kuboresha huu ujamaa wetu kama tutaweza kurekebisha baadhi ya sheria ambazo zitaweza kulinda raia na mali zao.
Jomba Kwan huu ujamaa uliopo Ni wa namna gani...hizo translation nyingine unazojua wewe Ni za watu weupe mzee..nadhani...tusikariri mambo..tofauti ya ujamaa wa ACT na CCM ipo wapi hasa...mi nadhan ACT ame c&p ccm.. kwa sababu tofauti ikisemwa ipo Ni ya namna ya operation tu..CCM mmeanzisha lini ujamaa wa kisasa? Ndiyo ujamaa gani huo? Mnataka kudandia sera ya social democrats ya ACT?
Wazembe wakubwa!!!
Sasa kama warusi wavivu jomba...imekuwaje kuweza kufikia level ya dunia ya kwanza wakati wakiwa wajamaaSijasema ujamaa ni uvivu , nimesema ni system amabayo ni rahisi sana kuzalisha wavivu, nilikuwa nimeweka bakaa hapo kwa wachina kwa muktadha wa desturi za jamii inaweza kuchangia pia uvivu
Lakini the fact kwa nini warusi ni walevi kupindukia inatokana na athari za Ujamaa
Ujamaa kuna working class , na kuna class inaweza ku take advantage of the working class
Sure..!! Nimekuelewa SanaMkuu umetoa somo la kutosha hapo kwa mfano huo; hata kama umeurahisisha sana.
Ninakubaliana kabisa na maneno ya mwanzo uliyoweka kwenye mstari wako wa mwisho.
Mwisho: hebu cheki hii ya hao hao wamarekani uliowachambua hapa>
Janga la COVID-19 - Trump anasema "Go Big" yaani wananchi wapewe pesa kiasi kikubwa zaidi ya zile $400 walizopewa kwenye awamu yake. Na Trump, ni CAPITALIST as CAPITALISTS come!
Halafu akaingia Biden, Democrat (pengine liberal); yeye akagawa kwa wananchi wake na watoto $1400.
Na mwanzo watu hao hao walipewa $1,200, ili kusaidia kuendesha maisha yao wakati wa corona.
Marekani ndio mfano wa juu kabisa, inapozungumziwa capitalism!
Lengo langu la kuyaandika haya hapa, ni hii kasumba tunayo okoteza bila hata kujua maana ya mifumo hii ya kiuchumi.
Ukimkuta mTanzania anayejinadi yeye anafurahia zaidi Ubepari, utadhani ni yeye aliyeuvumbua; kumbe maskini wa mtu hajui kitu.
Sure..!! Nimekuelewa sanaMkuu umetoa somo la kutosha hapo kwa mfano huo; hata kama umeurahisisha sana.
Ninakubaliana kabisa na maneno ya mwanzo uliyoweka kwenye mstari wako wa mwisho.
Mwisho: hebu cheki hii ya hao hao wamarekani uliowachambua hapa>
Janga la COVID-19 - Trump anasema "Go Big" yaani wananchi wapewe pesa kiasi kikubwa zaidi ya zile $400 walizopewa kwenye awamu yake. Na Trump, ni CAPITALIST as CAPITALISTS come!
Halafu akaingia Biden, Democrat (pengine liberal); yeye akagawa kwa wananchi wake na watoto $1400.
Na mwanzo watu hao hao walipewa $1,200, ili kusaidia kuendesha maisha yao wakati wa corona.
Marekani ndio mfano wa juu kabisa, inapozungumziwa capitalism!
Lengo langu la kuyaandika haya hapa, ni hii kasumba tunayo okoteza bila hata kujua maana ya mifumo hii ya kiuchumi.
Ukimkuta mTanzania anayejinadi yeye anafurahia zaidi Ubepari, utadhani ni yeye aliyeuvumbua; kumbe maskini wa mtu hajui kitu.