Tujadili: Uwepo wa Ujamaa wa kisasa ama Ubepari

Tujadili: Uwepo wa Ujamaa wa kisasa ama Ubepari

Ukiona mtu anakumbatia ujamaa tactically fahamu ni mtu aliyeshindwa kutumia mawazo yake vizuri. Hakuna mtu mjamaa anayeweza kuepuka umaskini maybe viongozi wa wajamaa. Ujamaa ni umaskini, elimu na uelewa duni, kutokuwa muwajibikaji, unafiki na mtu akiamini atakufa tu.
Mimi napenda Ujamaa na Nina hakika Financially, Academically and Socially niko vizuri kuliko watu wengi mnaojiita Wapebari, wakati mnalalamikia MB kupanda..
 
Samahani! Ujamaa ndio mfumo huu wa kuombana chumvi, viberiti na panga majumbani? Ndio mfumo wa kuchapiana watoto kwa viboko?
Hapana, Ujamaa maana yake Huduma za msingi za jamii kama Afya, Shule, Umeme, Barabara zinasimamiwa na Serikali.

Kama wewe ni mpebari jitoe kwenye suala Bima kwa wote, Ukiona mtu hawezi kumudu dawa ya shilling laki 2 ya Tanzania huyo hajafikia level ya ujamaa.

Kuhusu kuomba chumvi, viberiti, hii tabia na inatokana na wakati, Nakaa na Wazungu ni mara kadhaa wamekuja kuniomba vitu vidogo kama hivi.
 
Ukiona mtu anakumbatia ujamaa tactically fahamu ni mtu aliyeshindwa kutumia mawazo yake vizuri. Hakuna mtu mjamaa anayeweza kuepuka umaskini maybe viongozi wa wajamaa. Ujamaa ni umaskini, elimu na uelewa duni, kutokuwa muwajibikaji, unafiki na mtu akiamini atakufa tu.
China kwa sasa ndio Taifa lilokaribu kuwa na practical Nuclear Fusion Reactor, na ni wajamaa
 
Nadhani hakuna kitu ambacho kinafit mahali kote na muda wote. Kila taifa,ni lazima
Li-craft aina ya utawala unaofaa kulingana na muda na mazingira. Iwe ni mfumo wa kidemokrasi au mfumo wa kiuchumi, ni lazima uchongwe meticulously ili kutosha kulingana na mazingira na wakati husika. Ukivaa suruali na ikakutosha leo sio lazima ikutoshe miaka 10 ijayo, suruali ikinitosha mimi sio lazima ikutoshe na wewe. Na hili ndio tatizo linalofanya wengi tupingane na mambo (ideologies) ya kuletewa jumla jumla toka magharibi. Nadhani nimejieleza vizuri;
Ila sasa, balaa tunalokutana nalo ni pale tunapojaribu kuchonga mifumo yetu wenyewe ya kiutawala na kiuchumi, basi tunaanza kulalamikiwa kwamba hatufuati demokrasi, as if demokrasi ni sare ya shule na yenye size moja, hakuna kutumia vazi la aina nyingine kulingana na mazingira yako, na hapo ndio wanaanza kuleta vikwazo vya kiuchumi nk; Samia must stand strong.
 
Nadhani hakuna kitu ambacho kinafit mahali kote na muda wote. Kila taifa,ni lazima
Li-craft aina ya utawala unaofaa kulingana na muda na mazingira. Iwe ni mfumo wa kidemokrasi au mfumo wa kiuchumi, ni lazima uchongwe meticulously ili kutosha kulingana na mazingira na wakati husika. Ukivaa suruali na ikakutosha leo sio lazima ikutoshe miaka 10 ijayo, suruali ikinitosha mimi sio lazima ikutoshe na wewe. Na hili ndio tatizo linalofanya wengi tupingane na mambo (ideologies) ya kuletewa jumla jumla toka magharibi. Nadhani nimejieleza vizuri;
Ila sasa, balaa tunalokutana nalo ni pale tunapojaribu kuchonga mifumo yetu wenyewe ya kiutawala na kiuchumi, basi tunaanza kulalamikiwa kwamba hatufuati demokrasi, as if demokrasi ni sare ya shule na yenye size moja, hakuna kutumia vazi la aina nyingine kulingana na mazingira yako, na hapo ndio wanaanza kuleta vikwazo vya kiuchumi nk; Samia must stand strong.
Well Said.

Watu wengi hawaelewi kuwa Democracy na Maendeleo ni mutually Exculise
 
Jomba Kwan huu ujamaa uliopo Ni wa namna gani...hizo translation nyingine unazojua wewe Ni za watu weupe mzee..nadhani...tusikariri mambo..tofauti ya ujamaa wa ACT na CCM ipo wapi hasa...mi nadhan ACT ame c&p ccm.. kwa sababu tofauti ikisemwa ipo Ni ya namna ya operation tu..
Ujamaa wa CCM ni kama ule wa Nyerere, hawajawahi ukana. Hauko sawa na ujamaa wa ACT.
 
Ni rahihi CCM na ACT kuanzisha Serikali ya Umoja wa Kitaifa kuliko Chadema na Chama chochote Tanzania.

CCM imetokana na Ujamaa wa Kushoto kabisa (Leftist), katika mabadiliko ya Dunia CCM kama Vyama vingi vya Siasa Ulaya na Mataifa yake viliamua kuunganisha Sera za Kijamaa na Kibepari.

Kulingana na Wakati Sera moja inakuwa na faida kuliko Sera nyingine, mfano Wakati wa Kikwete Sera nyingi za Kiuchumi zilikuwa Center to Right, ila Wakati wa Magufuli CCM imekuwa Leftist sana kuliko Centric.

Chini ya CCM ya Mangula, Bashiru na Lubinga CCM imekuwa Leftists Kabisa,

Narudi kwenye ACT, Kisera ACT ni CCM na tena ni Marxist, wamerekebisha ukali wa msimamo baada ya Maalim Seif (Liberal) kwenda kule.

Tofauti kubwa ya ACT na CCM ni namna wanataka Muundo wa muungano uwe

Mama Samia ni Centrist
Mkuu we unaelewa ila ujamaa wa ACT ni tofauti kabisa. ACT ni social democrats. Hawa ndiyo mchanganyiko na kwenye mtindo wa hawa sekta binafsi hupewa kipaumbele.

Ukitaka kujua kuwa CCM bado wana ujamaa wa Nyerere angalia matendo ya Mwendazake.
 
Hapana, Ujamaa maana yake Huduma za msingi za jamii kama Afya, Shule, Umeme, Barabara zinasimamiwa na Serikali.

Kama wewe ni mpebari jitoe kwenye suala Bima kwa wote, Ukiona mtu hawezi kumudu dawa ya shilling laki 2 ya Tanzania huyo hajafikia level ya ujamaa.

Kuhusu kuomba chumvi, viberiti, hii tabia na inatokana na wakati, Nakaa na Wazungu ni mara kadhaa wamekuja kuniomba vitu vidogo kama hivi.
Kwa Tanzania ya sasa inafuata ujamaa, uliberali au ubepari?
 
Mkuu we unaelewa ila ujamaa wa ACT ni tofauti kabisa. ACT ni social democrats. Hawa ndiyo mchanganyiko na kwenye mtindo wa hawa sekta binafsi hupewa kipaumbele.

Ukitaka kujua kuwa CCM bado wana ujamaa wa Nyerere angalia matendo ya Mwendazake.
Hili ni swala la wakati uliopo jamii inataka nini, Magufuli na Bashiru ni Wanyerere

Wakati wa Kikwete CCM ilikuwa kiuchumi ni Wajamaa ambao uchumi unakuwa unamilikiwa na Sekta binafsi kama Israel
 
Mkuu we unaelewa ila ujamaa wa ACT ni tofauti kabisa. ACT ni social democrats. Hawa ndiyo mchanganyiko na kwenye mtindo wa hawa sekta binafsi hupewa kipaumbele.

Ukitaka kujua kuwa CCM bado wana ujamaa wa Nyerere angalia matendo ya Mwendazake.
CCM na ACT ni wajamaa hili liko wazi, na CCM na ACT ndio watakuja kuwa wanaunda Serikali.
ACT wanasema kabisa msingi wao ni azimio la Arusha.
 
Back
Top Bottom