Tujadili viumbe walioumbwa kwa moto na upepo ambapo humo tunapata Malaika, majini, vibwengo, shetani wana maumbo au hadaa zetu tu?

Neno Jinn kwa lugha ya kingereza ni Djinn au Jinn na sio devils au Demons..
So utata ni mkubwa
 
Hizo ni illusion + Hallucinations (kwa watumiaji wa vichangamshi)

Ukweli ni kwamba hakuna jini wala pepo.

Aslimia 100% ya watu wote wanaohadithia habari za jini au pepo huwa si mashuhuda wa kwanza wa habari hizo,

Huwa wanakuwa wameambiwa,

Aliyemwambia naye kaambiwa na mwingine,

Aliye mwambia mwenzake akaenda kumwambia mwingine unakuta naye kaambiwa na mwingine.

Yaani utatengeneza chain ndefu mpaka inakuwa kama loop (mzunguko)

Hakuna awezaye kuthibitisha jini, shetani wala pepo kwasababu viumbe hivyo havipo.

Wengi wao ni udanganyifu tu na kutokuelewa phenomenona flani na kuipelekea kuwa jini /pepo.

Mtu anaweza kuona kisiki tu akaja kukuthimulia kuwa ni pepo.

That is a real definition of illusion.
 
Mkuu Msanii
Hilo huwa ni tatizo la Afya ya akili linaitwa dissociative disorders, na wengi huhisi kabisa kuwa kuna jini yupo kichwani..

na hizi conditions zinaweza kupelekea mtu akawa na altered perceptions of reality na mara nyingi unusual beliefs au experience Aliyowahi kuiona ndo ataielezea kama atakuwa ni mtu wa kuamini sana Uchawi bhasi atasema ameshikwa na mizimu...

Kama atakuwa ni wa kuamini Majini basi atasema yeye ni jini..
 
Ni magonjwa ya akili

Najua moja linaitwa schizophrenia, ila nahisi yatakuwa mengi

Ukisema hana historia ya kuumwa akili, unaweza kuthibitisha au ni mazoea?

Au unaweza kuta gonjwa lipo muda mrefu ila ndo limeanza kumomaa au kuna viashiria vinafanya litibuke.
 
Mshana Jr Rabbon DR Mambo Jambo Pascal Mayalla
 
Mimi ninachoamini MAJINI na MIZIMU nikiiomba kwa namna fulani na kwa ingredients fulani yananijibu na kunisaidia hasa mambo ya business.

Only that
Kwahiyo tuje pm, we ni mujanja mujanjašŸ˜„
 
Mitoto ya iliyozaliwa buku2 wanabisha hakuna majin ila sis tuliyowahi kushuudia haya mamb ngoja tukae kimya mpaka siku msala ukikuta ndo utajua majin hua yanafanya kazi na binadamu ndo maana wezutu white pple wanaamin uwepo wa hawa viumbe na kutafuta ways za kuwaslianano kwa nia ya kutawala dunia sis tupo tunabisha tu hata mizimu yetu hatuiyamin..........always black pple hata akisoma atabaki kua jinga flani eg kabudi
 
Ulikutana na majini wapi??
 
Automatically,malaika waasi, pepo , Ni celestial beings (yani supernatural beings) yani walmeumbwa moja kwa moja na Mungu isipokuwa Jinn (jini) Sio supernatural.( Hajaumbwa na Mungu).

Hivyo basi pepo Ni viumbe wenye roho kamili, (Very powerful) na hawana physical form kwamba pepo Ni huyu ama yule . . .

Na ili aonekane kwa macho ya kibinadamu itamlazimu aingie Human realms, kutoka kwenye ulimwengu wao japo kuwa kwao Ni risk Sana.
 
Wewe umejuaje haya!?

How can i trust you.?
 
Wewe umejuaje haya!?

How can i trust you.?
....Unavypata ugonjwa na kwenda hospital ilihali hujui Nini unaumwa, ila unagusa tu panapouma na baada ya kipimo ukiambiwa unaumwa kitu ambacho hukijui , utamwambia tabibu?
 
Matatizo ya akili yapo!

Na hao viumbe wapo!
 
Ulimwengu wa Roho ni kweli na dhahiri.
 
Hawajafunga ila wamebadilisha ratiba ya kula. Siku ina masaa 24 wao wameamua kutumia masaa ya kulala kula badala ya kawaida tuliyoizoea.

Kinachonikera ni pale jamii yao wanapokuwa wengi mahali fulani hutaka watu wengine nao wabadiri ratiba zao za kula pasipo sababu za msingi
 
Mkuu jini ameumbwa na nani?
 
Je yawezekana majini ni uzao wa wale Malaika wachache waasi waliozaa na binadamu wakazaliwa Wanefili Mwanzo 6:1-4, na gharika ya Nuhu ilipoua viumbe mbalimbali ikiwemo hawa Wanefili miili yao ikafa na roho zao si hawa majini?
Maana baba zao yaani malaika waasi wamefungwa shimoni hawana ruhusa kutoka huko kuja duniani hata hukumu itakapokuja, Yuda 1:6, 2 Petro 2:4.
Kama sivyo, zile roho za Wanefili walikufa kwenye gharika ziko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…