DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Neno Jinn kwa lugha ya kingereza ni Djinn au Jinn na sio devils au Demons..eti Lucifer muafrikaš
kuna utata kwenye neno 'jini'
ukisoma bibilia za kiingereza zinatumia maneno 'demons' na 'devils'
hilo neno 'jini' limetolewa kwenye lugha ya kiarabu, kutokana na neno 'jinn'/'djinn'
kwahiyo nakubaliana na wewe, ila kwa sharti kwamba hilo neno lina utata
Hizo ni illusion + Hallucinations (kwa watumiaji wa vichangamshi)Habari wakuu.
Leo nimeona nilete kwenu hii hoja kwa mfumo wa swali. Kama nililivyoliweka hapo kwenye heading kuhusu taswira au umbo lionekanalo kwa macho pale inavyowezekana, hawa viumbe ambao tunaaminishwa kupitia imani zetu kwamba wameumbwa kwa moto na upepo wanabeba taswira gani?
Upepo sote tunaufehemu kwamba hauna umbo linaloonekana bali tunauona ukileta matokeo ambayo ni kutikisa ama kuhamisha vitu vinavyoonekana pale unapovipitia. Pia moto tunauona kwa macho ingawa tunasema hauna umbo maalumu wala haushikiki bali nao unapimwa kwa matokeo unayoyaacha kwa mguso ama kuvipitia.
Viumbe ninavyoviongelea, havijawahi kuwa dhahiri kwenye macho yetu kwenye ukawaida wa maisha yetu. Lakini tumekuwa katika kuamini na kujenga taswira ya namna muonekano wa viumbo hivyo vinavyotawala ulimwengu usioonekana. Ingawa kwenye kujenga taswira hizo tumeshuhudia itikadi za nyeupe ni utukufu na nyeusi ni uovu na laana ikipewa kipaumbele.
Kabla sijaendelea, napenda kuuliza jukwaa. KUNA AWAYE YEYOTE AMESHAWAHI KUONA MALAIKA AMA MAJINI? Je unaweza kushare nasi nini ulichoona? (Mimi nimewahi kuona majini na viumbe wengine) lakini kwa kuwa naandika uzi huu napenda kupata ushuhuda wa kutoka kwa wasomaji wengine. Kwenye uzi huu mbeleni nitachangia nini nilichokiona.
Tuendelee sasa.
Ufunuo wa Yohana 4: 6 anaelezea uwepo wa Wenye UHAI wanne. je ni kina nani hao na kama kuna ufafanuzi wa umbo lao ukoje?
Je, tunawezaje kumtofautisha Malaika kutoka kwa Kerubi? Tunamtambuaje Kerubi akiwa amesimama na Serafi? Je jini tunalitofautishaje na mapepo? Shetani na majini wana tofauti gani? Kama jini na mapepo na mashetani wanaweza kukaa ndani ya mtu, je malaika na jamii zao wanaweza pia kukaa ndani ya mtu?
Je viumbe hao wapo au ni illusions zetu wanadamu? Narejea taswira zilizochorwa na akina Michellangelo, Da Vinci, Raphael na wengine enzi za rennainsance?
Karibuni tukate maneno
Mkuu MsaniiMkuu
Ingawa naona wengi wa wachangiaji wamejitahidi kuelezea uelewa wao na hakika wameishia kutaja nasaba ama aina za hao viumbe wasioonekana ingawa tunajulishwa kwamba wapo.
Hebu tujiulize kidogo ama tutafakari kwa nukta chache. Watu wengi tumeshuhudia baadhi ya matukio yanayoitwa kupandisha majini. Kuna jina wanalitumia kwa mtu ambaye anasadikika kuwa ana majini, anaitwa KITI. Na tumeona ama kusikia kuhusu matukio haya na kwa walioshuhudia kwa macho (nikiwemo mimi) wanaweza kuthibitisha kuwa hali fulani isiyo ya kawaida inamkumba mtu ambaye hajawahi kuwa na historia ya tatizo la akili wala ufahamu, na mtu huyo anazungumza maneno ambayo watu wengi husema ni jini ama majini yaliyomkalia mtu huyo ndiyo yanazungumza. Imetukia wakati mwingine jini ndani ya mtu linawasiliana nawe mwenye ufahamu kamili na kukuelezea matukio hususan mabaya uliyoyafanya wakati uliopita... kama vile uzinzi, wizi na kadhalika...
Hali hii tunaiitaje na nini kinatuthibitishia kuwa huyo mtu ana majini na hayo majini yapoje haswa?
Ni magonjwa ya akiliMkuu
Ingawa naona wengi wa wachangiaji wamejitahidi kuelezea uelewa wao na hakika wameishia kutaja nasaba ama aina za hao viumbe wasioonekana ingawa tunajulishwa kwamba wapo.
Hebu tujiulize kidogo ama tutafakari kwa nukta chache. Watu wengi tumeshuhudia baadhi ya matukio yanayoitwa kupandisha majini. Kuna jina wanalitumia kwa mtu ambaye anasadikika kuwa ana majini, anaitwa KITI. Na tumeona ama kusikia kuhusu matukio haya na kwa walioshuhudia kwa macho (nikiwemo mimi) wanaweza kuthibitisha kuwa hali fulani isiyo ya kawaida inamkumba mtu ambaye hajawahi kuwa na historia ya tatizo la akili wala ufahamu, na mtu huyo anazungumza maneno ambayo watu wengi husema ni jini ama majini yaliyomkalia mtu huyo ndiyo yanazungumza. Imetukia wakati mwingine jini ndani ya mtu linawasiliana nawe mwenye ufahamu kamili na kukuelezea matukio hususan mabaya uliyoyafanya wakati uliopita... kama vile uzinzi, wizi na kadhalika...
Hali hii tunaiitaje na nini kinatuthibitishia kuwa huyo mtu ana majini na hayo majini yapoje haswa?
Kwanini iwe kwenye ndoto!kuwapa ujumbe sanasana kwenye ndoto.
Mshana Jr Rabbon DR Mambo Jambo Pascal MayallaHabari wakuu.
Leo nimeona nilete kwenu hii hoja kwa mfumo wa swali. Kama nililivyoliweka hapo kwenye heading kuhusu taswira au umbo lionekanalo kwa macho pale inavyowezekana, hawa viumbe ambao tunaaminishwa kupitia imani zetu kwamba wameumbwa kwa moto na upepo wanabeba taswira gani?
Upepo sote tunaufehemu kwamba hauna umbo linaloonekana bali tunauona ukileta matokeo ambayo ni kutikisa ama kuhamisha vitu vinavyoonekana pale unapovipitia. Pia moto tunauona kwa macho ingawa tunasema hauna umbo maalumu wala haushikiki bali nao unapimwa kwa matokeo unayoyaacha kwa mguso ama kuvipitia.
Viumbe ninavyoviongelea, havijawahi kuwa dhahiri kwenye macho yetu kwenye ukawaida wa maisha yetu. Lakini tumekuwa katika kuamini na kujenga taswira ya namna muonekano wa viumbo hivyo vinavyotawala ulimwengu usioonekana. Ingawa kwenye kujenga taswira hizo tumeshuhudia itikadi za nyeupe ni utukufu na nyeusi ni uovu na laana ikipewa kipaumbele.
Kabla sijaendelea, napenda kuuliza jukwaa. KUNA AWAYE YEYOTE AMESHAWAHI KUONA MALAIKA AMA MAJINI? Je unaweza kushare nasi nini ulichoona? (Mimi nimewahi kuona majini na viumbe wengine) lakini kwa kuwa naandika uzi huu napenda kupata ushuhuda wa kutoka kwa wasomaji wengine. Kwenye uzi huu mbeleni nitachangia nini nilichokiona.
Tuendelee sasa.
Ufunuo wa Yohana 4: 6 anaelezea uwepo wa Wenye UHAI wanne. je ni kina nani hao na kama kuna ufafanuzi wa umbo lao ukoje?
Je, tunawezaje kumtofautisha Malaika kutoka kwa Kerubi? Tunamtambuaje Kerubi akiwa amesimama na Serafi? Je jini tunalitofautishaje na mapepo? Shetani na majini wana tofauti gani? Kama jini na mapepo na mashetani wanaweza kukaa ndani ya mtu, je malaika na jamii zao wanaweza pia kukaa ndani ya mtu?
Je viumbe hao wapo au ni illusions zetu wanadamu? Narejea taswira zilizochorwa na akina Michellangelo, Da Vinci, Raphael na wengine enzi za rennainsance?
Karibuni tukate maneno
Kwahiyo tuje pm, we ni mujanja mujanjašMimi ninachoamini MAJINI na MIZIMU nikiiomba kwa namna fulani na kwa ingredients fulani yananijibu na kunisaidia hasa mambo ya business.
Only that
Ulikutana na majini wapi??Mitoto ya iliyozaliwa buku2 wanabisha hakuna majin ila sis tuliyowahi kushuudia haya mamb ngoja tukae kimya mpaka siku msala ukikuta ndo utajua majin hua yanafanya kazi na binadamu ndo maana wezutu white pple wanaamin uwepo wa hawa viumbe na kutafuta ways za kuwaslianano kwa nia ya kutawala dunia sis tupo tunabisha tu hata mizimu yetu hatuiyamin..........always black pple hata akisoma atabaki kua jinga flani eg kabudi
Wewe umejuaje haya!?Automatically,malaika waasi, pepo , Ni celestial beings (yani supernatural beings) isipokuwa Jinn (jini) Sio supernatural.
Hivyo basi pepo Ni viumbe wenye roho kamili, (Very powerful) na hawana physical form kwamba pepo Ni huyu ama yule . . .
Na ili aonekane kwa macho ya kibinadamu itamlazimu aingie Human realms, kutoka kwenye ulimwengu wao japo kuwa kwao Ni risk Sana.
....Unavypata ugonjwa na kwenda hospital ilihali hujui Nini unaumwa, ila unagusa tu panapouma na baada ya kipimo ukiambiwa unaumwa kitu ambacho hukijui , utamwambia tabibu?Wewe umejuaje haya!?
How can i trust you.?
Matatizo ya akili yapo!Mkuu Msanii
Hilo huwa ni tatizo la Afya ya akili linaitwa dissociative disorders, na wengi huhisi kabisa kuwa kuna jini yupo kichwani..
na hizi conditions zinaweza kupelekea mtu akawa na altered perceptions of reality na mara nyingi unusual beliefs au experience Aliyowahi kuiona ndo ataielezea kama atakuwa ni mtu wa kuamini sana Uchawi bhasi atasema ameshikwa na mizimu...
Kama atakuwa ni wa kuamini Majini basi atasema yeye ni jini..
Ulimwengu wa Roho ni kweli na dhahiri.Majini ni ya kiislamu
Mapepo ni ya kikristo
Kuhusu aina za malaika, Kuna nadharia mbalimbali, ila ninachojua wanapangwa kulingana na ukaribu wao na kiti cha enzi....
Mapepo yanaweza kuvaa mtu, kuna ushahidi kwenye bibilia.
Hakuna mahali malaika amemvaa mtu kwahiyo tutahitimisha hawawezi.
Hivi viumbe ni hadithi kwasababu, utaviona endapo unaamini kwenye uwepo wao.
Utasikia sana wakristo wakisema wameona malaika, hutowasikia waislamu.
Wazungu watasema wamemuona bigfoot, watz watasema wameona kibwengo.
Nimekosa neno la kiswahili hili jambo linaitwa indoctrination.
Mkuu jini ameumbwa na nani?Automatically,malaika waasi, pepo , Ni celestial beings (yani supernatural beings) yani walmeumbwa moja kwa moja na Mungu isipokuwa Jinn (jini) Sio supernatural.( Hajaumbwa na Mungu).
Hivyo basi pepo Ni viumbe wenye roho kamili, (Very powerful) na hawana physical form kwamba pepo Ni huyu ama yule . . .
Na ili aonekane kwa macho ya kibinadamu itamlazimu aingie Human realms, kutoka kwenye ulimwengu wao japo kuwa kwao Ni risk Sana.
Je yawezekana majini ni uzao wa wale Malaika wachache waasi waliozaa na binadamu wakazaliwa Wanefili Mwanzo 6:1-4, na gharika ya Nuhu ilipoua viumbe mbalimbali ikiwemo hawa Wanefili miili yao ikafa na roho zao si hawa majini?Automatically,malaika waasi, pepo , Ni celestial beings (yani supernatural beings) yani walmeumbwa moja kwa moja na Mungu isipokuwa Jinn (jini) Sio supernatural.( Hajaumbwa na Mungu).
Hivyo basi pepo Ni viumbe wenye roho kamili, (Very powerful) na hawana physical form kwamba pepo Ni huyu ama yule . . .
Na ili aonekane kwa macho ya kibinadamu itamlazimu aingie Human realms, kutoka kwenye ulimwengu wao japo kuwa kwao Ni risk Sana.