Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hujui Hata yy pia ni mshirika Mzuri Wa LGBT, Ni mlamba ndimi Mzuri Mnoo... kwa hiyo serikali imewatambua rasmi LGBT?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui Hata yy pia ni mshirika Mzuri Wa LGBT, Ni mlamba ndimi Mzuri Mnoo... kwa hiyo serikali imewatambua rasmi LGBT?
Yani mkuu hujui makundi maalumu?Jamani kuna hii wizara mpya aliyopewa Dorothy Gwajima, inaitwa wizara ya wanawake, jinsia na MAKUNDI MAALU MU.
Je, hayo makundi maalumu yanayowekwa pamoja na wanawake na jinsia ni yapi hayo?
Isije ikawa ni mashoga na wasagaji na waliobadilisha jinsia! Ni vizuri ikawekwa wazi mapema.
Huko Ulaya na Marekani MASHOGA WASAGAJI ndo huitwa makundi maalumu!!
... kwa hiyo serikali imewatambua rasmi LGBT?
Shauri yako....... [emoji1544]Hujui Hata yy pia ni mshirika Mzuri Wa LGBT, Ni mlamba ndimi Mzuri Mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kutajgawaziwa wazi ila ilo litatumika kuombea mikopo kuwa tumewawekea mpaka wizara yao... kwa hiyo serikali imewatambua rasmi LGBT?
Japo mlinitukana, mlinicheka, mlinisema, mlinichongea nipewe life ban, lakini niliwaambia ONE DAY TANZANIA itatutambua LGBTQ+ [emoji304]na nikawaambia My Community [emoji304] wavumilie one day wata vaa Pride yao wakiwa kwenye ardhi ya Tanzania, am so excited [emoji3060][emoji3060][emoji3060]
[emoji2524][emoji304][emoji1241][emoji2524][emoji304][emoji1241]
Wanaume vp1. WANAWAKE
2. WAZEE
3. WALEMAVU
4. WATOTO
... duh!Japo mlinitukana, mlinicheka, mlinisema, mlinichongea nipewe life ban, lakini niliwaambia ONE DAY TANZANIA itatutambua LGBTQ+ [emoji304]na nikawaambia My Community [emoji304] wavumilie one day wata vaa Pride yao wakiwa kwenye ardhi ya Tanzania, am so excited [emoji3060][emoji3060][emoji3060]
[emoji2524][emoji304][emoji1241][emoji2524][emoji304][emoji1241]
... hatari sana Mkuu. Sijawahi kuwaza Tanzania inautambua ushoga rasmi japo wananchi hatuambiwi ukweli. Kumbe ndioa maana yanazidi kuongezeka kula uchao maana hapa ni "pepo" mwanana!Kwani hujui mkuu kuwa tunatambua uwepo wao ndio maana kuna miradi ya vilainishi?
Mleta mada fuata muongozo...1. WANAWAKE
2. WAZEE
3. WALEMAVU
4. WATOTO
Hata mashoga ni kundi naalumBila shaka makundi maalumu ni kama Walemavu na kuendelea.
Hapa kichwa nachekecha kujua jinsia yenyewe ni watu gani wanazungumziwa maana hapo wamesema ni wizara ya Wanawake, jinsia na Makundi maalumu.
Sasa wametajwa wanawake tena na neno jinsia sasa hiyo jinsia stand for what?
Masingo maza pia wanaingia.Jamani kuna hii wizara mpya aliyopewa Dorothy Gwajima, inaitwa wizara ya wanawake, jinsia na MAKUNDI MAALU MU.
Je, hayo makundi maalumu yanayowekwa pamoja na wanawake na jinsia ni yapi hayo?
Isije ikawa ni mashoga na wasagaji na waliobadilisha jinsia! Ni vizuri ikawekwa wazi mapema.
Huko Ulaya na Marekani MASHOGA WASAGAJI ndo huitwa makundi maalumu!!
Kitambo sana wanatambulika kikatiba chini ya ibara ya 13 (5) ni namna tu yakuitafsiri iyo Ibara... kwa hiyo serikali imewatambua rasmi LGBT?