Tujadiliane juu ya ugonjwa unaokusumbua na namna ulivyopambana kuukabili mpaka sasa

Pole sana!
Jifunze hekima itakusaidia katika maisha yako.Naamini kuna siku utakuja na shida ambayo huko hosp utakuwa umeshindwa kuitatua na nitakusaidia.Kuna wengi walikosa hekima kama wewe pia.
Yaani unisaidie kipi hasa. Mimi naamini sayansi tu. Wadanganye mabwege wasiojua nini maana ya kuwa duniani.
 
Yaani unisaidie kipi hasa. Mimi naamini sayansi tu. Wadanganye mabwege wasiojua nini maana ya kuwa duniani.
Mkuu mm pia naamini sayansi tatizo tafiti nyingi bado hazina suluhisho la kisayansi.mfano ukianza tumia sindano ya insulin kisayansi hakuna tiba.ila nakuapia kwenye dawa za asili unapona.
Mtu kama huyu hajasema njoo inbox kaamua kusaidia unakuja mvunja moyo haifai mkuu
 
GERD
 
Hayo mashona nguo unachemsha mizizi, matawi au majani?
 
Tupe ya nguvu za kiume wanaume wa dar chips zimetuharibu na vitambi
Ukosefu wa nguvu za kiume ni matokeo ya mambo mengi kwenye mfumo wa mwili.Tunapotibu tatizo hili lazima kujua chanzo hasa ili liweze kutibika vizuri.Mfano magonjwa kama presha,kisukari,tezi dume huathiri moja kwa moja mfumo wa nguvu za kiume.Kuna vitu kama lehemu kwenye damu,mzunguko hafifu wa damu pamoja na mishipa ya damu kusinyaa huleta changamoto ya nguvu za kiume.Magonjwa sugu ya zinaa pamoja na chango ikiwemo ngiri ni baadhi ya vitu vinavyoweza kusababisha ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume.Kwa hiyo ili uweze kujitibu vyema ni lazima kufahamu kwanza chanzo cha tatizo ndipo utapata suluhisho lenye ufanisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…