kong77
Member
- Mar 14, 2019
- 84
- 134
Mzee kama hujapata dawa nikulekeze Kwa bibi wa kichaga Kilimanjaro week Moja unakula kila kituNipe suluhisho la kutibu vidonda vya tumbo maana soon naweza die
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee kama hujapata dawa nikulekeze Kwa bibi wa kichaga Kilimanjaro week Moja unakula kila kituNipe suluhisho la kutibu vidonda vya tumbo maana soon naweza die
Sipo bongo kwa sasaMzee kama hujapata dawa nikulekeze Kwa bibi wa kichaga Kilimanjaro week Moja unakula kila kitu
Naomba nielekeze mkuuMzee kama hujapata dawa nikulekeze Kwa bibi wa kichaga Kilimanjaro week Moja unakula kila kitu
Ntakupa namb zake umcheki kama utakua dar anaweza akakutumia dawaNaomba nielekeze mkuu
Tafuta namna, [emoji23]Sipo bongo kwa sasa
Leejay49Imenisumbuw sana hiyo ila sahiv kalibu Nina mwaka halija nguruma me Kuna mtu aliniambia niweke ule mkojo wa asbuh bac nikafanya hivyo kwa mda WA week na nilikua sikai sehem yenye kelele na simu nilipunguza kuongea nayo na earphones nilikata mbali nazo
Nipo moshi kibosho now, nilitaka nimface directlyNtakupa namb zake umcheki kama utakua dar anaweza akakutumia dawa
kunywa k-vantNatatizo la kujaa kwa nyongo,nifanyeje asee
Nione mimi nikutatulie tatizo lako! 😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Mfumo wa uzazi wa ke je?
Una hiyo elimu pia?
Ilinisumbua sana hii!Kuna ndugu yangu anaumwa pressure ya macho (Glaucoma)
acha ujinga hospitali kuna magonjwa mengi yameshindikanaAcha utapeli. Tiba zinapatikana hospital tu. Ambako Kila dawa Ina kipimo chake
Nunua apple cider vinegar au American Garden,zinauzwa kwenye super market.Nunua ndimu ya unga zinafungashwa na kuuzwa kuanzia kipimo cha robo.Katika robo lita ya vinegar ongeza gm 175 za ndimu kisha maji robo lita Mchanganyo huo utachanganya kwa pamoja na utakupa tonic nzuri sana kwa tatizo hilo.Utatumia vijiko vitatu asubuhi na jioni.Tonic hiyo pia inaweza kukutibu maradhi mengi ambayo siyo kusudio lako hapa hivyo sitayaorodhesha.Hakikisha unatumia baada ya kula na haitumiki kwa wenye vidonda vya tumbo.mi ninasumbuliwa na magonjwa ya koo na mafua,kwangu mimi mafua hayajawai kauka mwezi pia kooni kuna kitu kinatembea kama chajivuta hivi.
Kwa kuanza,fuata ushauri katika post # 74Tonsils. Nimetumia dawa zote za hospital na za kienyeji sijawai pona. Sili vitu vya baridi karibu miaka 7 sasa. Niliambiwa nifanyiwe upasuaji.
Nimekata tamaa kupona ili gonjwa.
Sawa mkuu, shukrani nitatumia.Kwa kuanza,fuata ushauri katika post # 74
Naona wanapeana miongozo!
Nasumbuliwa na kifua yaani mapafu nilishawahi kuugua T.B hapo awali nikapona lakini imeathiri mapafu ambapo inapelekea kujaa maji, msaada wenu jamani, Hospital napata kutoa maji na kutumia vidonge vya kukojoa mara kwa maraNunua apple cider vinegar au American Garden,zinauzwa kwenye super market.Nunua ndimu ya unga zinafungashwa na kuuzwa kuanzia kipimo cha robo.Katika robo lita ya vinegar ongeza gm 175 za ndimu kisha maji robo lita Mchanganyo huo utachanganya kwa pamoja na utakupa tonic nzuri sana kwa tatizo hilo.Utatumia vijiko vitatu asubuhi na jioni.Tonic hiyo pia inaweza kukutibu maradhi mengi ambayo siyo kusudio lako hapa hivyo sitayaorodhesha.Hakikisha unatumia baada ya kula na haitumiki kwa wenye vidonda vya tumbo.