Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Hadi simu iibiwe isipoibiwa nitakaa nayo

Sent using Jamii Forums mobile app

Mzee tunafanana tabia! Mie nishagundua siwezi kukimbizana na teknolojia , hapa nina tumia iphone 6 kitambo mnoo, simu mpaka nafanana nayo rangi, kwakuwa imekosa toleo jipya la iOS ndio nafikiria kuipiga chini, nikichukua kifaa cha android inabidi simu ikate hata miaka mi5 kama haijaibiwa ama kufa nitaendelea kutumia mpaka nione nafanana nayo rangi, ila naona iphone wao wako vizuri katika kumwaga update ya toleo jipya la OS yao.

Dawa ni kuchukua kifaa latest halafu nasugua nacho lami mpaka kiombe pooo!
 
Mkiwekewa limitations kama za iOS ili kulinda usalama wenu mtalalamika, iOS kaweka hizo limitations bado mnaiponda sasa mnataka nini kwani?

Hiyo itakuwa kwenye development sidhani kama itatoka mwaka huu. Halafu kumbuka technology kwa sasa inaenda kasi sana ukichelewa chelewa utajikuta umebaki nyuma kama blackberry na nokia
Sawa.
 
Mzee tunafanana tabia! Mie nishagundua siwezi kukimbizana na teknolojia , hapa nina tumia iphone 6 kitambo mnoo, simu mpaka nafanana nayo rangi, kwakuwa imekosa toleo jipya la iOS ndio nafikiria kuipiga chini, nikichukua kifaa cha android inabidi simu ikate hata miaka mi5 kama haijaibiwa ama kufa nitaendelea kutumia mpaka nione nafanana nayo rangi, ila naona iphone wao wako vizuri katika kumwaga update ya toleo jipya la OS yao.

Dawa ni kuchukua kifaa latest halafu nasugua nacho lami mpaka kiombe pooo!
Shida ya aple ndio hiyo,simu anazoziacha kwenye apdate huwa zinaonekana si lolote tena.

Angalia iphone 5,5c,4,4s kwa sasa.ni nadra hata kukuta mtu yuko nayo.

Iphone 6 nazo mara baada ya kukosa update,mpaka 250k unapata.used ndio kabisaa.ila android hakuna mabadiriko sana kwenye android version updates,ndio maana ni kawaida kukuta mtu ana s2 leo anatumia fresh tu,ila mwenye iphone 4s anaifanya torch na ipod au simi ya msaada.
 
Uzuri wa Apple amefanikiwa kutengeneza "Ecosystem" yake ambayo Google hawawezi na hawataweza kutengeneza na kufanikiwa.

Kuanzia hardware hadi software, apple ameshamaliza kote huko na sasa anaboresha tu.

Pia apple sio kwamba yupo nyuma, haoni haja ya kukimbilia tech ambayo haihitajiki kwa wakati huo.

Samsung alileta 5G toka version ya mwaka jana ili hali installation ya 5G haijafanyika hata kwenye miji mikubwa.

Kwanini ukimbilie kujaza mivitu ambayo watu hawahitaji.?

Sidhani kama apple wapo nyuma as you say it. Ila hakujazii gimmicks kama Samsung au baadhi ya simu za android wanavyofanya.

Kwenye camera iphone hana mpinzani sasa.

Kwenye battery life, iphone yupo juu among flagships.

A13 bionic chips is more efficient kuliko chip zilizopo sokoni sasa.

Kwenye display iphone ndio ina lag.

Sent using Jamii Forums mobile app
iPhone 12 leak reveals 5G secret weapon against Samsung Galaxy Note 20 | Tom's Guide
 
Back
Top Bottom