Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Uzuri wa Apple amefanikiwa kutengeneza "Ecosystem" yake ambayo Google hawawezi na hawataweza kutengeneza na kufanikiwa.

Kuanzia hardware hadi software, apple ameshamaliza kote huko na sasa anaboresha tu.

Pia apple sio kwamba yupo nyuma, haoni haja ya kukimbilia tech ambayo haihitajiki kwa wakati huo.

Samsung alileta 5G toka version ya mwaka jana ili hali installation ya 5G haijafanyika hata kwenye miji mikubwa.

Kwanini ukimbilie kujaza mivitu ambayo watu hawahitaji.?

Sidhani kama apple wapo nyuma as you say it. Ila hakujazii gimmicks kama Samsung au baadhi ya simu za android wanavyofanya.

Kwenye camera iphone hana mpinzani sasa.

Kwenye battery life, iphone yupo juu among flagships.

A13 bionic chips is more efficient kuliko chip zilizopo sokoni sasa.

Kwenye display iphone ndio ina lag.

Sent using Jamii Forums mobile app
Et Ecosystem yake

Kwaio ye anajua yuko mwenyewe dunia nzima au?

Sio kwamba Android hawawezi kwa kiasi kikubwa naweza nikasema ni Marketing strategy tu android wamewaza upande mwingine wa shilingi usije ukasema hawawezi kufanya ivyo fikiria

Interuction na vitu kama

Other Smarphones

Other Computers

n.k

Kwa Android ili halina tatizo ila kwa iOS imekua shida kwa wengi na sio haya tu mengine wadau wameyasema
 
Basi ishia hapo hapo

Tena kaa kwa kutulia

Unapo ambiwa flexibility na Freedom kwa iphone hamna ndo ujuwe ivyo unles kama na wewe unafanya niliyo yasema mwanzo normal calls and texts + Whatsap kidogo upige na picha ukapost fb.
Nimekuuliza swali, jibu swali.

Huo uhuru mnaotetea ni kwa ajili ya mambo ya kototo.

Vitu basic vinatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Et Ecosystem yake

Kwaio ye anajua yuko mwenyewe dunia nzima au?

Sio kwamba Android hawawezi kwa kiasi kikubwa naweza nikasema ni Marketing strategy tu android wamewaza upande mwingine wa shilingi usije ukasema hawawezi kufanya ivyo fikiria

Interuction na vitu kama

Other Smarphones

Other Computers

n.k

Kwa Android ili halina tatizo ila kwa iOS imekua shida kwa wengi na sio haya tu mengine wadau wameyasema
MacBook is the most powerful laptop.

Ipad is the most powerful tablet.

Iphone is the most powerful smartphone.

Kuwa ndani ya "ecosystem" ni uamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umeelewa nilichokiandika au umejibu tu?
Ninarudia ukitumia iOS ukiwa na mawazo ya android lazima uione mbaya that is the same kwa waliozoea kutumia iOS waiamia android na mawazo ya iOS wanaiona Android haifai. Ukihamia iOS hamia ukijua limitations zake ndiyo difference iliyopo na ndicho kinachoifanya iwe na hiyo fanbase yake. Vitu mnavyo argue kwa for the class ambayo iOS kailenga na for security reasons siyo vya msingi sijui kuhamisha nyimbo kwa blutooth, sijui kutodownload nyimbo mpaka itunes, ni vitu ambayo kwa walengwa wa iOS kama nyimbo watanunua itunes na kuhamisha nyimbo kwa blutooth ni mambo yaliyopitwa na wakati.
Personally natumia Samsung, kwa muda sasa lakini sijawahi hamisha nyimbo kwa blutooth hata siku moja.
And by the way ukiwa na simu ya android ukanunua simu ya iphone mpya unaweza kuhamisha kila kitu kasoro mziki kutoka android phone yako kuja iphone wakati wa setup.
Kuna vitu vichache tu ambavyo kwa apple naona ka lack behid ambavyo ni vya msingi kama screen mirrroring imemchukua sana muda kufanya hiyo kitu. Lakini malalamiko mengine siyo ya msingi.
Bluetooth kazi yake ni kutuma nyimbo tu? myb na wewe hukunielewa my point on bluetooth was pairing haijalishi mme pair kwa lengo gani lakini iyo pairing ya iOS na other devices ni ngumu

About kushare files like mp3 ilo ni ziada tu kuna vingi vya kushare kwa bluetooth na pia bluetooth inakazi nyingi sio kutuma nyimbo tu
 
Bluetooth kazi yake ni kutuma nyimbo tu? myb na wewe hukunielewa my point on bluetooth was pairing haijalishi mme pair kwa lengo gani lakini iyo pairing ya iOS na other devices ni ngumu

About kushare files like mp3 ilo ni ziada tu kuna vingi vya kushare kwa bluetooth na pia bluetooth inakazi nyingi sio kutuma nyimbo tu
nje ya kutuma files linapokuja swala la kupare devices kwa kutumia blutooth nitajie kazi nyingine ya blutooth, kama kuplay nyimbo kwa blutooth kwenye wireless speakers iphone inafanya kama kawaida, kuprint wireless kwa blutooth ina print. Naomba nje ya hapo niambie matumizi mengine ambayo unasema kupair for yanayohitaji blutooth
 
Hakuna kama;
Iphone 11 pro max

One Plus 8 pro

Samsung galaxy s20 ultra.

Hiyo takataka ulioitaja unaijua wewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
Sijataja mimi wataalamu ndio wamedadavua hivyo ingia kwenye link ukosoe kwa hoja zinazoeleweka nami sitasita kukusikiliza. Maana hata mimi nilishangaa sana nikaenda YouTube kuthitisha nikakuta wako sahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna huawei p40 pro. Kuna xiaomi m10 pro. Kuna oppo x2 pro. Hapo iphone kwenye suala kwenye suala la picha hatii mguu.
Watu wamekariri hawataki ukweli usemwe hasa fans wa apple kila kitu wanajua bidhaa ya apple inaongoza ukiwaelimisha kwa hoja zilizoshiba wanakuambia takataka!. Inabidi uwaache hivyo hivyo maana sio lazima kuelimika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bluetooth kazi yake ni kutuma nyimbo tu? myb na wewe hukunielewa my point on bluetooth was pairing haijalishi mme pair kwa lengo gani lakini iyo pairing ya iOS na other devices ni ngumu

About kushare files like mp3 ilo ni ziada tu kuna vingi vya kushare kwa bluetooth na pia bluetooth inakazi nyingi sio kutuma nyimbo tu
Bluetooth ina zaidi ya ujuavyo Mr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kitu chengine ambacho watu hawakiongelei sana ni kwamba kifaa cha Apple ambacho hakipokei updates kinakuwa ni kopo tu kama Nokia ya tochi ama feature phone. Store hupati app yoyote ya maana.

Leo hii kuna watu bado wanatumia galaxy s2 na s3, ila iphone 4 na 4s hazina maana yoyote.

Hivyo kwenye ios utapata updates nyingi ila zikiisha tu mdogo mdogo na apps zinapotea.
Hapa nakubali kaka, nina iPhone 4 naitumia kama symbian za nokia tuu. hovyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom