Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Wanaenda kiherufi
1. Cupcake 1.5
2.Donat 1.6
3.Eclair 2.0
4.Froyo 2.2
5.Gingerbread 2.3
6.Honeycomb 3.0
7.Ice cream sandwich 4.0
8.Jelly bean 4.1 - 4.3.1
9.Kit Kat 4.4 - 4.4.4
10.Lollipop 5.0 - 5.1.1
11.Marshmalow 6.0 - 6.0.1
13.Nougat 7.0 - 7.1
14.Oreo 8.0 - 8.1
15.Pie 9.0
16.Android 10(Najua utauliza mbona Q wameruka?
 
Watu wajinga kama wewe ndio wanadanganywa kua apple ina security kubwa. Ni wajinga kama wewe wanaweza kushawishiwa kununua apple kwa hoja mfu kama hiyo.

Yule mwanamuziki wa marekani ambae iphone yake ilikua hacked na picha zake kusambaa umemsahau? Au kipindi hicho apple haikua na security?
Hata mimi nashangaa watu wanavyosema ios ina security na ni kama kigezo cha kununua simu! Wakati kuna hacking zimekuwa zikitokea mara kadha. ios ni nzuri tatizo wanaipandisha thamani kuzidi uwezo kwa hiyo security linakuwa ni jambo la kufikirika zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni priorities to you cannot eat your cake and still have it, uchague security ama kuweka kila takataka unayotaka.
Hata wao android ukitaka kudownload app kutka source nyingine nje ya playstore wanakupa onyo mpaka ukubari risk, apple hakupi hiyo option ya kukubari risk it is all about security maana huwezi jua huko unakoenda kudownload hiyo app what if ni trojan?
Another thing, yani unatoa ela zaidi ya laki 7 unanunua simu halafu ushindwe toa 15,000 nunua app? kweli? and by the way almost app zote ambazo watu wengi ndio wanatumia kwennye simu ni free whatsapp, facebook, instagram, skype, twitter, na nygiine nyingi ambazo asilimia kubwa ya watumiaji hata wa android wanazotumia kwenye simu ni free unless kwa zile app ambazo kwa watanzania ni wahache wanazitumia mfano kama productive apps kama potoshop mobile, flstudio mobile, ndizo utakuta zinauzwa napo ni ela isiyozidi dollar 15-20.
Hiyo siyo tatizo unaweza download kwa kutumia app nyingine sa shida iko wapi? Na ni kwanini ushangae kuwa iphone huwezi download nyimbo wakati unajua policy yao kubwa ni kuzuia piracy ya kazi za watu? Vitu watu mnavyo argue about iphone ni vitu vya ajabu sana. Hakuna mtu aliyeko serious na busy atakayekuwa bothered navyo. Unless ni watu watoto watoto wako busy na ku customize themes, ila kwa mtu ambaye yuk busy businessman, mfanyakazi hawezi miss anything k kwa kutumia iphone maana inafanya mambo yote ya msingi. Unataka nyimbo utnunua itunes, au weka another app udownload.
Hoja ya security ni hoja ya hovyo simu zote smart phone ziko vulnerable na security flaws kibao.

Usipende kudanganya na hoja nyepesi kama hiyo.

Eti security.
 
Hoja ya security ni hoja ya hovyo simu zote smart phone ziko vulnerable na security flaws kibao.

Usipende kudanganya na hoja nyepesi kama hiyo.

Eti security.
Hakuna kitu ambacho kiko secured 100% hakuna, lakini tukicompare hizo platforms mbili android na iOS, iOS iko more secure kuliko android kama ukiamua kubisha ni vile tu umeamua kubisha
 
Lakini ilikuwa easy kuwa compromised kupitia rooting kitu ambacho jailbreaking kwa iphone imeanza kuwa ngumu zamani sana.
Halafu apple hjaanza kuwa behind leo uwa hana tendency ya kukurupukia mambo mfano mpaka leo hajatoa laptops zenye display touch
Hii nayo unaona ni sifa eti mbona apple hajatoa taptop za touch? Ujinga ni mzigo.

Waumini wa apple hawana tofauti na waumini wa Gwajima. Wao hata Gwajima afanyeujinga watamsifia tu na baadae akija kubadilisha huo ujinga bado watamsifia tu. Ndio maana wanaitwa Isheep, wa hata apple atengeneze mavi ayaite Imavi watayasifia.

Hivi baadae apple akitoa laptop zenye touch pia utawasifia? Na atatoa soon awapige makondoo wake bei mfurahi na kumsifia tena.
 
Hii nayo unaona ni sifa eti mbona apple hajatoa taptop za touch? Ujinga ni mzigo.

Waumini wa apple hawana tofauti na waumini wa Gwajima. Wao hata Gwajima afanyeujinga watamsifia tu na baadae akija kubadilisha huo ujinga bado watamsifia tu. Ndio maana wanaitwa Isheep, wa hata apple atengeneze mavi ayaite Imavi watayasifia.

Hivi baadae apple akitoa laptop zenye touch pia utawasifia? Na atatoa soon awapige makondoo wake bei mfurahi na kumsifia tena.
Kwa taarifa yako si kwmba natumia iPhone, nilishaaha kutumia iphone natumia samsung, na wala there is no where niliposema ni sifa, ila nimemjibu kuwa apple kubaki nyuma hawajaanza leo nidyo maana mpaka leo hawajatoa hata laptop yenye display touch... ukiuliza kwanini unadhani wanashindwa?
Ila apple ana kanuni ya kutotoa kitu mpaka kiwe na matumizi maalum, ndiyo maana kwenye laptop ye kaishia tu kuweka touch panel wa ajili ya madj na artists ambayo ime prove kuwa essential najua huwezi hata kuelewa ninacheleza.
 
Zamani hizi hizi zilikua na majina kama gingerbread, kitkat, nougat, Oreo n.k, lin naona saivi zinaitwa kwa nambari..

sent from Samsung Galaxy A30
 
Na kitu chengine ambacho watu hawakiongelei sana ni kwamba kifaa cha Apple ambacho hakipokei updates kinakuwa ni kopo tu kama Nokia ya tochi ama feature phone. Store hupati app yoyote ya maana.

Leo hii kuna watu bado wanatumia galaxy s2 na s3, ila iphone 4 na 4s hazina maana yoyote.

Hivyo kwenye ios utapata updates nyingi ila zikiisha tu mdogo mdogo na apps zinapotea.
Nina samsung s7 edge android version ni 7(Nougat) swali ni kuwa inapokea version nyingine zaidi ya hapo chief?
 
Nina samsung s7 edge android version ni 7(Nougat) swali ni kuwa inapokea version nyingine zaidi ya hapo chief?
Ndio inapokea, ila angalia model kwanza international version ndio hupata Auto updates ukiwa tanzania, model nyengine hadi ufanye manual updates
 
Binafsi sina tatizo na limitations za iOS..wengi wanaolalamika kuhusu hizo limitation ukichunguza malalamiko yao si ya msingi kwa mtazamo wangu na hawana ufahamu mzuri wa matumizi ya vifaa vyao.

Hoja yangu ya msingi ni kwa nini updates kila siku lkn security bado hovyoo...na pia updates zao zinaacha device nyingi sana nyuma zionekane zimepitwa na wakati.
Unataka "developer" wafanye kazi gani mkuu kama waki-develop unakunja roho?
 
Simu ina shida. Ila ww unaitumia kwa 30% watu wanaotumia kwa atleast 70% ungejua. Unweza kuta hata game huwa huchezi, hushei files kwa bluetooth na Wifi direct, hufanyi multi tasking, sasa hizo bugs utaziona saa ngapi, ukiwa superbuser ndio utajua matatizo ya simu yako, ila kama upi wutsup na kupiga simu na picha huwez ona hayo yote
Alafu unakuta sababu pekee ya ku-update wanayokwambia ni 'Fix bug' au 'Make your device run smooth' wakati simu yangu haina shida hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Au mnasemaje mods wa JF
 
iphone is a bit complicated kutokana wao wenyewe walivyo amua

U can't root the phone ( Very very Important)

U can't own by downloading the Music files and own on build in phone music player (sasa sjui wamewaka ya nin) Unless ununue.. kuna nyimbo nyingine hazipatikani Audiomak na other similar apps only google and still huwezi kua nao kwenye mobile itabaki humo humo ndo utaskia go offline

Sharing files to other devices it's a bit complicated especilly bluetooth especially Andoid

Access to Other OS is a bit complicated and sometimes complicated especially Windows.

Tulio zoea Pro Apps like Mobile games hacking patching and stuffs like that is a bit complicated and possible impossible

Yapo mengi hayo ni machache
Una root phone ili iweje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huo ulikuwa mfano tu.

security anayoweka android inabase katika usalama ya data za mtumiaji zaidi kama apple alivyofanikiwa kwenye icloud.

kama steve ilikuwa moto yake hiyo,basi hawa warithi wamegeuka,maana kama nilivyokwambia apple kwa sasa yeye ndiye yuko nyuma kwenye kila kitu.anafanya kuboresha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa Apple amefanikiwa kutengeneza "Ecosystem" yake ambayo Google hawawezi na hawataweza kutengeneza na kufanikiwa.

Kuanzia hardware hadi software, apple ameshamaliza kote huko na sasa anaboresha tu.

Pia apple sio kwamba yupo nyuma, haoni haja ya kukimbilia tech ambayo haihitajiki kwa wakati huo.

Samsung alileta 5G toka version ya mwaka jana ili hali installation ya 5G haijafanyika hata kwenye miji mikubwa.

Kwanini ukimbilie kujaza mivitu ambayo watu hawahitaji.?

Sidhani kama apple wapo nyuma as you say it. Ila hakujazii gimmicks kama Samsung au baadhi ya simu za android wanavyofanya.

Kwenye camera iphone hana mpinzani sasa.

Kwenye battery life, iphone yupo juu among flagships.

A13 bionic chips is more efficient kuliko chip zilizopo sokoni sasa.

Kwenye display iphone ndio ina lag.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom