Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Tujadiline kuhusu ujio wa toleo la Android 11

Exactly mkuu...leo hii simu kama s2 bado ina tumika na ina support nzur ya developers bado tofaut na na simu za hao mabwana...hili pia atasema halioni

Na kitu chengine ambacho watu hawakiongelei sana ni kwamba kifaa cha Apple ambacho hakipokei updates kinakuwa ni kopo tu kama Nokia ya tochi ama feature phone. Store hupati app yoyote ya maana.

Leo hii kuna watu bado wanatumia galaxy s2 na s3, ila iphone 4 na 4s hazina maana yoyote.

Hivyo kwenye ios utapata updates nyingi ila zikiisha tu mdogo mdogo na apps zinapotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unamaanisha ninaponunua simu niangalie ina uwezo wa kupata update kwa muda gani, Sio?
Ndio mkuu hili ni muhimu, mfano s7 imepata update yake ya mwisho mwezi uliopita April 2020. Ni simu ya 2016, hivyo kama uliinunua kipindi hiko mpaka leo imeshalipa kila kitu.
 
Mkuu samahani nje mada kidogo,Hivi kati ya iphone 6 plain 32GB na infinix s5 32GB ipi simu bomba hapo kuitumia mwaka huu nataka nivute moja wapo hapo msaada plz.
Hardware wise hio lphone 6 ni nzuri zaidi. Hio infinix ni kama A10s tu sio simu inayodeserve kutoa zaidi ya laki 3.

Sema angalia mwenyewe kati ya Android na ios ipi unaikubali.
 
Kuwa na update kila siku sio tatizo. Je issue ni kwamba Update zao ni significant??? Ni sahihi kuhama daraja/ version au kuwa within

Au mnasemaje mods wa JF
 
Suala la usalama sio priority ya kila mtu...ile freeedom tu ya Android ni deal kabisa...alaf hata security pia inazid kuongezeka kweny kila android version...leo hii kuna simu ukiwa mzembe hata frp huchomoi sio kama zaman.

Hao apple wanajificha kweny kichaka cha usalama ila kimsing smartphone sio salama kama unavyoamin wewe.

Huyo apple sindo alitoa update kuslow iphone zake kwa makusudi ili watu wapande juu na akapigwa fine nzur tu..

Ndio uone apple mwenyewe hapend kutoa support kwa old device zake ndiomana akaanza kufanya figisu..sasa bado utasema huko kwema?

Security ni kichaka tu apple kaamua kujificha..





Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia apo kwenye Freedom na Flexibility
 
Unauliza freedom ya Android? Huijui au

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtumiaji wa iphone anatumia Normal calls and texts, whatsap insta na facebook kidogo..akitoka apo ata piga picha mbili tatu na kutulia..akitaka wimbo aende itune kusikiliza nyimbo walizo mpangia

Mtu kama huyu unamuuliza freedom ya android hawezi kuelewa hata kidogo[emoji23]
 
Mkuu samahani nje mada kidogo,Hivi kati ya iphone 6 plain 32GB na infinix s5 32GB ipi simu bomba hapo kuitumia mwaka huu nataka nivute moja wapo hapo msaada plz.
nitakutoa hapo kote nikushauri kitu,chukua a10 au 10s

kama unataka simi inayotunza chaji basi inakamata hapo,simu yenye ahueni pia inakamata.

ningekushauri uchukue iphone lakini kwa sasa haina update,na pili itakiwa na betri ambalo limepungua nguvu sana.ila ni simu nzuri zaidi ya hiyo infinix.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A series zote kuanzia A10 zina portrait mode ambayo samsung wanaita live focus, kwenye iphone 6 sina hakika.

Samsung Galaxy[emoji93]
Nmekuelewa mkuu.lakin naonaga watu wanajadili humu kuhusu gcamera, je hii a10s inakubal kuinstall hiyo gcam?
 
Na kitu chengine ambacho watu hawakiongelei sana ni kwamba kifaa cha Apple ambacho hakipokei updates kinakuwa ni kopo tu kama Nokia ya tochi ama feature phone. Store hupati app yoyote ya maana.

Leo hii kuna watu bado wanatumia galaxy s2 na s3, ila iphone 4 na 4s hazina maana yoyote.

Hivyo kwenye ios utapata updates nyingi ila zikiisha tu mdogo mdogo na apps zinapotea.
Iphone 4 sidhani hata kama ina exist store yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nitakutoa hapo kote nikushauri kitu,chukua a10 au 10s

kama unataka simi inayotunza chaji basi inakamata hapo,simu yenye ahueni pia inakamata.

ningekushauri uchukue iphone lakini kwa sasa haina update,na pili itakiwa na betri ambalo limepungua nguvu sana.ila ni simu nzuri zaidi ya hiyo infinix.

Sent using Jamii Forums mobile app
nitakutoa hapo kote nikushauri kitu,chukua a10 au 10s

kama unataka simi inayotunza chaji basi inakamata hapo,simu yenye ahueni pia inakamata.

ningekushauri uchukue iphone lakini kwa sasa haina update,na pili itakiwa na betri ambalo limepungua nguvu sana.ila ni simu nzuri zaidi ya hiyo infinix.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kwa ushauri wako hapa kweli bora hiyo a10s tu.
 
Mtumiaji wa iphone anatumia Normal calls and texts, whatsap insta na facebook kidogo..akitoka apo ata piga picha mbili tatu na kutulia..akitaka wimbo aende itune kusikiliza nyimbo walizo mpangia

Mtu kama huyu unamuuliza freedom ya android hawezi kuelewa hata kidogo[emoji23]
Hebu tuambie wewe hiyo android unaitumiaje tofauti na huyo wa iphone?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtumiaji wa iphone anatumia Normal calls and texts, whatsap insta na facebook kidogo..akitoka apo ata piga picha mbili tatu na kutulia..akitaka wimbo aende itune kusikiliza nyimbo walizo mpangia

Mtu kama huyu unamuuliza freedom ya android hawezi kuelewa hata kidogo[emoji23]
Kuna apps nyingi za kudownload nymbo kwenye iphone. Nilichogundua watu wengi wanaozungumzia iphone hawajawahi itumia wanasikia maneno ya vijiweni. Watu wengi utasikia ooh iphone apps zake zote mpaka ununue
 
Nmekuelewa mkuu.lakin naonaga watu wanajadili humu kuhusu gcamera, je hii a10s inakubal kuinstall hiyo gcam?
Usinunue simu ya mediatek na kutegemea mods mbalimbali kama hio gcam mkuu.

Kwanini mkuu usitafute redmi note 8? Unaweza ipata around hio budget, hasa version ya 32gb 3gb ram inapatikana hio budget. Sema itahitaji ununue online ama agizishia toka kenya kama una mtu unamfahamu.
 
Kuna apps nyingi za kudownload nymbo kwenye iphone. Nilichogundua watu wengi wanaozungumzia iphone hawajawahi itumia wanasikia maneno ya vijiweni. Watu wengi utasikia ooh iphone apps zake zote mpaka ununue
Tukitaka movie ni app gani tunatumia,na tunaihamishaje mpaka ikae katika flash tuone kwenye tv.maana mimi hapa na a10,ni kazi ya 20min,naangalia extracted kwenye tv 1080p.

Pia natumia jet audio patched ikiwa na features zote,embu nielekeze namna ya kufanya nikiwa ios
 
Mkiwekewa limitations kama za iOS ili kulinda usalama wenu mtalalamika, iOS kaweka hizo limitations bado mnaiponda sasa mnataka nini kwani?

Hiyo itakuwa kwenye development sidhani kama itatoka mwaka huu. Halafu kumbuka technology kwa sasa inaenda kasi sana ukichelewa chelewa utajikuta umebaki nyuma kama blackberry na nokia
Bora hata Nokia hivi blackberry
Ilifia wapi

stidy
 
Usinunue simu ya mediatek na kutegemea mods mbalimbali kama hio gcam mkuu.

Kwanini mkuu usitafute redmi note 8? Unaweza ipata around hio budget, hasa version ya 32gb 3gb ram inapatikana hio budget. Sema itahitaji ununue online ama agizishia toka kenya kama una mtu unamfahamu.
Hiyo redme note 8 na a10s ipi ina specs nzuri mkuu.
 
Back
Top Bottom