Nawashauri Watanzania tuwekeze katika kujenga shule za michezo kila mkoa.
Kila tunapofanya mashindano yale ya shule za msingi tunawachukua wale best students katika kila mchezo na kuwahamishia katika shule hizi za mikoa za michezo. Hapo wawekewe facilities zote, na walimu.
Kila mwaka shule hizi za michezo tutakazojenga kila mkoa ziwe zinafanya mashindano yao ya kitaifa kushindana wao kwa wao na kuwa na washindi wa kitaifa.
Hawa washindi wa kitaifa ndiyo tuwapeleke katika mandalizi ya mashindano ya kitaifa.
Kila tunapofanya mashindano yale ya shule za msingi tunawachukua wale best students katika kila mchezo na kuwahamishia katika shule hizi za mikoa za michezo. Hapo wawekewe facilities zote, na walimu.
Kila mwaka shule hizi za michezo tutakazojenga kila mkoa ziwe zinafanya mashindano yao ya kitaifa kushindana wao kwa wao na kuwa na washindi wa kitaifa.
Hawa washindi wa kitaifa ndiyo tuwapeleke katika mandalizi ya mashindano ya kitaifa.