Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Hata Messi hafungi kila mechi. Badala ya kumtakia heri arudi kwenye kiwango chake wewe unatabiria kushindwa na kurudi Afrika.. Aisee hii sijui inatokana na nini...!
Messi has an impact kwenye timu yake ila Samatta hana. Messi si LAZIMA afunge, yeye anapika mabao kwa wenzake wafunge....usikurupuke kuandika, maliza kunya kwanza na ujichambe vizuri kisha fikiri kabla ya kuandika muharo wako huo.