Tujiandae kumpokea Mbwana Samatta muda wowote kuanzia sasa!!

Hata Messi hafungi kila mechi. Badala ya kumtakia heri arudi kwenye kiwango chake wewe unatabiria kushindwa na kurudi Afrika.. Aisee hii sijui inatokana na nini...!


Messi has an impact kwenye timu yake ila Samatta hana. Messi si LAZIMA afunge, yeye anapika mabao kwa wenzake wafunge....usikurupuke kuandika, maliza kunya kwanza na ujichambe vizuri kisha fikiri kabla ya kuandika muharo wako huo.
 
Wewe mpumbavu sana tena wa mwisho hapa JF.. Embu soma thread hapo kisha uje, acha kudakia usichokijua, wapi kasema kuhusu assist?
 
Messi has an impact kwenye timu yake ila Samatta hana. Messi si LAZIMA afunge, yeye anapika mabao kwa wenzake wafunge....usikurupuke kuandika, maliza kunya kwanza na ujichambe vizuri kisha fikiri kabla ya kuandika muharo wako huo.
Mtoa mada hajasema hayo usemayo wewe ila kwa kuwa umezoea kushikwa unaweza kumsaidia.. Mjinga mmoja wewe
 
kashaaza kuaga kumbe rejea hii kauli kumbe msimu huu ndio alikua striker wa chelsea
 
ndani ya team yao kuna mgomo wa chini chini ndio maana team inafanya vibaya kila match.
mfumo anaochezesha Coach Sio rafiki kwa team kupata matokeo mzuri
 
Sidhani kama Wamisri walianzisha uzi kama huu Mo Salah alipovurunda chelsea. Kwanini Watanzania tunaombeana njaa sana?!
 
Samatta angekuwa anacheza namba kumi au winger angefika mbali Ulaya
 
Kwa hiyo umefurahi au ?
 
Naangalia Fox sports hapa wanaonyesha live mechi ya Genk vs Gent...samata yupo benchi na timu yake imeshapigwa moja nw dakika ya 20
 
Hata Salah alipokuwa Chelsea alikuwa hafungi magoli. Samatta akiondoka kwenye hiyo timu anaweza akawa bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…