Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Mwendo wa fyaaaaa fyaaaa mpaka kielewekeUtapply 10 perfumes rafiki unukie zaidi ya jini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendo wa fyaaaaa fyaaaa mpaka kielewekeUtapply 10 perfumes rafiki unukie zaidi ya jini.
Ndicho ulichofanya leoMwendo wa fyaaaaa fyaaaa mpaka kieleweke
Hatari sana yaaniNa ukute hana ya kubadilisha daah!!
🤣🤣🤣🙌 Hapana, bahati nzuri nina nguo za kutosha ila shida ni viatuNdicho ulichofanya leo
Acha uvivu😂wazee wa kauka nikuvae mtasema mbona,
huku nilipo mvua tokea saa 9 nimelala zangu tu
Nimerudi kutoka kwenye mahangaiko viatu vyote Vimeloa aisee. Hizi mvua kwa Dar hazifai.wazee wa kauka nikuvae mtasema mbona,
huku nilipo mvua tokea saa 9 nimelala zangu tu
Tulia ugraduate upate maisha mazuri ee😂😂Sina kazi sijagradueti😂
au unataka unipe tajiri yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].mvua haiishi MkuuNna nguo zipo kambani since jumatanozitaacha hapo hadi zikauke ndio nianue, hata wiki mbili sawa tu.
acha unaa😂Tulia ugraduate upate maisha mazuri ee😂😂
Ndio ukweli huo😅acha unaa😂
Mi nimejiongeza nimeshona suruali na shati kwa kutumia khanga.Saivi ni muda wa kuvaa nguo nyepesi ambazo zinakauka haraka...
Kama mnakivaranda weka kamba hapo nguo zitakauka kwa upepo...
Nina surprise yako😉🤣🤣🤣🙌 Hapana, bahati nzuri nina nguo za kutosha ila shida ni viatu
Mambo? Hebu nionyeshe🤭😂Nina surprise yako😉
Nipe location nifike chaapMambo? Hebu nionyeshe🤭😂
Nipo hapa dukani😅Nipe location nifike chaap
😊 so, nafikishaje surprise yetu?Nipo hapa dukani😅
As always🤭.😊 so, nafikishaje surprise yetu?
Ok,ukichelewa unaikosa.As always🤭.