Mwendo wa fyaaaaa fyaaaa mpaka kielewekeUtapply 10 perfumes rafiki unukie zaidi ya jini.
Ndicho ulichofanya leoMwendo wa fyaaaaa fyaaaa mpaka kieleweke
Hatari sana yaaniNa ukute hana ya kubadilisha daah!!
🤣🤣🤣🙌 Hapana, bahati nzuri nina nguo za kutosha ila shida ni viatuNdicho ulichofanya leo
Acha uvivu😂wazee wa kauka nikuvae mtasema mbona,
huku nilipo mvua tokea saa 9 nimelala zangu tu
Nimerudi kutoka kwenye mahangaiko viatu vyote Vimeloa aisee. Hizi mvua kwa Dar hazifai.wazee wa kauka nikuvae mtasema mbona,
huku nilipo mvua tokea saa 9 nimelala zangu tu
Tulia ugraduate upate maisha mazuri ee😂😂Sina kazi sijagradueti😂
au unataka unipe tajiri yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].mvua haiishi MkuuNna nguo zipo kambani since jumatanozitaacha hapo hadi zikauke ndio nianue, hata wiki mbili sawa tu.
acha unaa😂Tulia ugraduate upate maisha mazuri ee😂😂
Ndio ukweli huo😅acha unaa😂
Mi nimejiongeza nimeshona suruali na shati kwa kutumia khanga.Saivi ni muda wa kuvaa nguo nyepesi ambazo zinakauka haraka...
Kama mnakivaranda weka kamba hapo nguo zitakauka kwa upepo...
Nina surprise yako😉🤣🤣🤣🙌 Hapana, bahati nzuri nina nguo za kutosha ila shida ni viatu
Mambo? Hebu nionyeshe🤭😂Nina surprise yako😉
Nipe location nifike chaapMambo? Hebu nionyeshe🤭😂
Nipo hapa dukani😅Nipe location nifike chaap
😊 so, nafikishaje surprise yetu?Nipo hapa dukani😅
As always🤭.😊 so, nafikishaje surprise yetu?
Ok,ukichelewa unaikosa.As always🤭.