Tujiandae na harufu za uvundo kutokana na nguo kutokukauka

Nimerudi kutoka kwenye mahangaiko viatu vyote Vimeloa aisee. Hizi mvua kwa Dar hazifai.

Barabarani maji kama yote, ukitembea mpaka kinyaa😑
ndo uhustler huo, kaza

huku pahovyo zaidi barabara zote zinakua mifereji😂
 
Kama nguo ni kauka nikuvae hapa hukwepi uvundo.
 
Nenda drycleaners yoyote iliyopo karibu yako, ongea nao nadhani hawatakuchaji pesa kubwa unaomba tu akuwekee nguo kwenye dryer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…