Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Wazee wa zamani walikuwa wakitoka safari ya siku nyingi walikuwa Hawa fikii nyumbani hapana wanafikia vilabuniii
Kisha Wana mtuma Mtoto apeleke begi nyumbani ili mke ajue mumewe kafika
Kusudi mke aandae mazingira vizuli
Yani Kama mchepuko alisahau car wash, soks,viatu,au suluwali ndani mke aitoe mapemaa isije Leta ugomvi mzito
Ikaleta chuki, ikaleta aibu ya kupigiwa,
na kingine mzee asije akamkosa mkewe kipenzi kisa mpuuzi mmoja aliye lala nae Jana wazee wetu walikuwa na busara bwana
Nakama mzee akigundua kapakaziwa Mtoto na mkewe
alikuwa hampigi mkewe Wala hamfukuzi kwa heshima ya jina lake nandoa na heshima aliyo jijengea mda mlefu
Atakacho kifanya nikumchunguza huyo mtu aliye mpa mimba mkewe
Akisha mjua atamchunguza mkewe nahuyo bwana akiji lidhisha
Kisha kitakacho fuata nikumpenda huyo Mtoto wa nje ya ndoa kuliko watoto wake woote
Lengo.
1)Nikumpa wakati mgumu mkewe kuujua mwisho wa kosa lake utakuaje na kumfanya ajutie na asiludie kufanya vile tena
2)kumfanya baba wa mtoto ahisi wivu wivu ambao utamfanya siku moja aje alopoke
ndipo adeal nae kwanjia ambayo inaweza kuwa fimbo kwa bwana huyo ikiwemo kubadilishana wake Kama ata vutiwa na mkewe pia
kitu ambacho hakiwezekani/nikigumu
Wazee wa zamani ukimchapia mkewe akijua Hana mda wa kumpiga mkewe au kuku winda wewe atakacho fanya atakuchapia mkeo pia
akiona Ina shindikana anakuloga kupitia huyo huyo mkewe au kuku uuwa kupitia mkewe na ndiyo maana walikuwa hawapendi Wana wake wajue wanaijua michezo yao
Mwisho nimalizie kwa kukupa hadithi hii ndogo ya ukweli
Kuna kijana mmoja alikuwa anaitwa medi aliowa mke mzuuli lakini baada ya siku si nyingi akagundua mkewe ana mcheat
Kijana Yule medi baada ya kuvumilia kwa mda mlefu akaamua kumtimua mkewe nyumbani akimaanisha mkewe aludi kwao hamtaki tena kwani nimalaya.
Mkewe kwa kufuata taratibu za kitamaduni akaamua kukimbilia kwa baba mkwe/baba wa kijana au mwowaji au medi mwenyewe
Baba huyo/baba medi alikuwa na wanawake watano na mke wakwanza alikuwa ni mama wa kijana aliye mfukuza mkewe/medi
Baada ya baba kumpokea mkwewe na kumhoji kwa mda mlefu mzee akajilidhisha kwamba chanzo Cha ugomvi ni usaliti
Lakini akaona nivizuli amwite na medi nayeye aje ili amsikilize nayeye ili ajue kile anacho kiamini kipo
Medi akaitwa kwa wazazi baada ya kufika mzee akawa kalisha chini lakini medi alionekana kuwa mkali Sana
nakumwambia baba yake kwamba mzee ukitaka tuvunje mpaka ubaba na mtoto endelea kumtetea huyu mwanamke wangu
Baada ya baba kuona medi mwanaye wa kiume amekuwa mkali saana akamwangalia Kisha akasema
Mwanangu leo nataka nikuonyeshe Nini maana ya ndoa
Mzee/baba medi akawaita wakezake woote watano Kisha akawa hadithia habari za medi na mkewe Kama zilivyo
Kisha akaludia tena kwa sauti ya ukali na yenye hasira akamtazama medi akamwambia
mwanangu leo nataka nikuonyeshe kitu ambacho haujawai kukiona kwenye maisha yako
kitu ambacho nilikificha mda wote Leo nakiweka hadharani huku akimwangalia medi kwa jicho la ukali pamoja na wake zake watano akiwemo na mkewe medi
mzee akasema kwa sauti yenye mamlaka/sauti ya baba natoka hapa nakuja Sasa hivi na asiinuke mtu hata mmoja mkae huyo hivyo mpaka Nije
Mzee akatoka kwa mwendo wa hasira nakuenda upenuni huku akiwa acha wakeze na mwanaye wanashangaa na kujiuliza mbona Leo mzee kachaluka hivi?
Nikipi hicho ambacho anataka kukionyesa?
Baada ya dakika tano mzee akalejea na kuwakuta wake zake wamekaa vilevile
Akamwambia medi nimekwambia leo nataka nikuonyeshe kitu ambacho haujawai kukiona
Sasa Mshike mkono mkeo ludi nyuma hatua tatu kutoka hapo waache hao akina mama hapo hapo
Kinyonge medi akamshika mkono mkewe na kufuata mashariti ya mzee
Baada ya mda mzee akachukua mchanga aliokuwa ameuweka katika kifunga shio Kisha akawa zungushia wake zake
Mduala Yani wao walikuwa ndani ya mduala wa mchanga huo ambao haueleweki ulichanganywa nanini
Kisha aka sema kwa sauti ya ukali huku akimuuliza medi. Je! medi Hawa ni akina Nani kwako?
Medi akajibu nimama zangu baba
Mzee akasema sawa.
Sasa nataka nikuonyeshe Jambo amblo hatamimi nimelichoka
Kisha mzee akachukua fimbo mbichi aliyo kuwa ameiweka kwa Pani akawa hesabu wake zake watano kwa sauti huku akiwa taja mpaka majina yao na ubini wao
Akageuka akawapa mgongo Kisha akasema maneno yasiyo eleweka kwa sauti ya kuno ng'ona
Kisha aka geuka akaichapa aridhi Mala tano sawa na idadi ya wa wake zake/mama zake na medi
Akailaza fimbo chini akaizungushia na mchanga huku akinena maneno ya ajabu ajabu
Kisha akasema kwa ukali nyinyi wake zangu yeyote anaye jua haja wai kuchepuka tangia nimewa owa na ailuke fimbo hii
Na utaanza wewe mkubwa huku akimnyoshea kidole mama medi
Mama medi kwa unyonge na upole Sana akainuka nakumpigia magoti baba medi huku akisema mume wangu nisamehe siwezi kuiluka fimbo hiyo
Wapili watatu mpaka watano walikataa katakata kuiluka fimbo Ile
Kwa maana hiyo wote walikuwa wamewai kumsaliti mzee
Mzee akasema medi umeona?
Medi akasema ndiyo mzee wangu
Akasema mpaka mama yako alichepuka Mimi najua Hilo lakini nimevumilia mpaka umekuwa
Sasa je nimfukuze mama yako hapa nyumbani?
Medi akajibu hapana baba msamehe
Mzee akasema nitamsamehe Kama utaniambia umemsamehe mkeo
Baada ya kufikilia kwa mda kidogo medi akamshika mkono mkewe nakumwambia nimekusamehe mke wangu twende nyumbani
Mzee akasema mwanangu usiondoke nataka niongee nawewe ndani
Baada ya medi kumfuata ndani mzee aka mwambia umeona Mambo haya yalivyo?
Medi akajibu ndiyo
Kisha akamwambia ilefimbo ni ni fimbo ya mbaazi iliyo tolewa maganda yake
Naule mchanga nimchanganyiko wa udogo na kinyesi Cha kuku kwahiyo pale hakuna dawa niuongo nimewa tishia mama zako
Namimi hapa ndiyo nimejionea kwamba kumbe wake zangu sio waaminifu sikulijua mwanzo
Lakini nimama zako siwezi kuwa acha kwani najua hawata ludia tena
Mchukue mkeo ludi Naye nyumbani mwambie baba amesema yale maneno aliyo kuwa ana yanena amesha kutega tayali ukija kufanya hivyo utanasa
Nenda na mkeo nyumbani
Mwisho
Usitumie nguvu kuishi na mwanamke
Kisha Wana mtuma Mtoto apeleke begi nyumbani ili mke ajue mumewe kafika
Kusudi mke aandae mazingira vizuli
Yani Kama mchepuko alisahau car wash, soks,viatu,au suluwali ndani mke aitoe mapemaa isije Leta ugomvi mzito
Ikaleta chuki, ikaleta aibu ya kupigiwa,
na kingine mzee asije akamkosa mkewe kipenzi kisa mpuuzi mmoja aliye lala nae Jana wazee wetu walikuwa na busara bwana
Nakama mzee akigundua kapakaziwa Mtoto na mkewe
alikuwa hampigi mkewe Wala hamfukuzi kwa heshima ya jina lake nandoa na heshima aliyo jijengea mda mlefu
Atakacho kifanya nikumchunguza huyo mtu aliye mpa mimba mkewe
Akisha mjua atamchunguza mkewe nahuyo bwana akiji lidhisha
Kisha kitakacho fuata nikumpenda huyo Mtoto wa nje ya ndoa kuliko watoto wake woote
Lengo.
1)Nikumpa wakati mgumu mkewe kuujua mwisho wa kosa lake utakuaje na kumfanya ajutie na asiludie kufanya vile tena
2)kumfanya baba wa mtoto ahisi wivu wivu ambao utamfanya siku moja aje alopoke
ndipo adeal nae kwanjia ambayo inaweza kuwa fimbo kwa bwana huyo ikiwemo kubadilishana wake Kama ata vutiwa na mkewe pia
kitu ambacho hakiwezekani/nikigumu
Wazee wa zamani ukimchapia mkewe akijua Hana mda wa kumpiga mkewe au kuku winda wewe atakacho fanya atakuchapia mkeo pia
akiona Ina shindikana anakuloga kupitia huyo huyo mkewe au kuku uuwa kupitia mkewe na ndiyo maana walikuwa hawapendi Wana wake wajue wanaijua michezo yao
Mwisho nimalizie kwa kukupa hadithi hii ndogo ya ukweli
Kuna kijana mmoja alikuwa anaitwa medi aliowa mke mzuuli lakini baada ya siku si nyingi akagundua mkewe ana mcheat
Kijana Yule medi baada ya kuvumilia kwa mda mlefu akaamua kumtimua mkewe nyumbani akimaanisha mkewe aludi kwao hamtaki tena kwani nimalaya.
Mkewe kwa kufuata taratibu za kitamaduni akaamua kukimbilia kwa baba mkwe/baba wa kijana au mwowaji au medi mwenyewe
Baba huyo/baba medi alikuwa na wanawake watano na mke wakwanza alikuwa ni mama wa kijana aliye mfukuza mkewe/medi
Baada ya baba kumpokea mkwewe na kumhoji kwa mda mlefu mzee akajilidhisha kwamba chanzo Cha ugomvi ni usaliti
Lakini akaona nivizuli amwite na medi nayeye aje ili amsikilize nayeye ili ajue kile anacho kiamini kipo
Medi akaitwa kwa wazazi baada ya kufika mzee akawa kalisha chini lakini medi alionekana kuwa mkali Sana
nakumwambia baba yake kwamba mzee ukitaka tuvunje mpaka ubaba na mtoto endelea kumtetea huyu mwanamke wangu
Baada ya baba kuona medi mwanaye wa kiume amekuwa mkali saana akamwangalia Kisha akasema
Mwanangu leo nataka nikuonyeshe Nini maana ya ndoa
Mzee/baba medi akawaita wakezake woote watano Kisha akawa hadithia habari za medi na mkewe Kama zilivyo
Kisha akaludia tena kwa sauti ya ukali na yenye hasira akamtazama medi akamwambia
mwanangu leo nataka nikuonyeshe kitu ambacho haujawai kukiona kwenye maisha yako
kitu ambacho nilikificha mda wote Leo nakiweka hadharani huku akimwangalia medi kwa jicho la ukali pamoja na wake zake watano akiwemo na mkewe medi
mzee akasema kwa sauti yenye mamlaka/sauti ya baba natoka hapa nakuja Sasa hivi na asiinuke mtu hata mmoja mkae huyo hivyo mpaka Nije
Mzee akatoka kwa mwendo wa hasira nakuenda upenuni huku akiwa acha wakeze na mwanaye wanashangaa na kujiuliza mbona Leo mzee kachaluka hivi?
Nikipi hicho ambacho anataka kukionyesa?
Baada ya dakika tano mzee akalejea na kuwakuta wake zake wamekaa vilevile
Akamwambia medi nimekwambia leo nataka nikuonyeshe kitu ambacho haujawai kukiona
Sasa Mshike mkono mkeo ludi nyuma hatua tatu kutoka hapo waache hao akina mama hapo hapo
Kinyonge medi akamshika mkono mkewe na kufuata mashariti ya mzee
Baada ya mda mzee akachukua mchanga aliokuwa ameuweka katika kifunga shio Kisha akawa zungushia wake zake
Mduala Yani wao walikuwa ndani ya mduala wa mchanga huo ambao haueleweki ulichanganywa nanini
Kisha aka sema kwa sauti ya ukali huku akimuuliza medi. Je! medi Hawa ni akina Nani kwako?
Medi akajibu nimama zangu baba
Mzee akasema sawa.
Sasa nataka nikuonyeshe Jambo amblo hatamimi nimelichoka
Kisha mzee akachukua fimbo mbichi aliyo kuwa ameiweka kwa Pani akawa hesabu wake zake watano kwa sauti huku akiwa taja mpaka majina yao na ubini wao
Akageuka akawapa mgongo Kisha akasema maneno yasiyo eleweka kwa sauti ya kuno ng'ona
Kisha aka geuka akaichapa aridhi Mala tano sawa na idadi ya wa wake zake/mama zake na medi
Akailaza fimbo chini akaizungushia na mchanga huku akinena maneno ya ajabu ajabu
Kisha akasema kwa ukali nyinyi wake zangu yeyote anaye jua haja wai kuchepuka tangia nimewa owa na ailuke fimbo hii
Na utaanza wewe mkubwa huku akimnyoshea kidole mama medi
Mama medi kwa unyonge na upole Sana akainuka nakumpigia magoti baba medi huku akisema mume wangu nisamehe siwezi kuiluka fimbo hiyo
Wapili watatu mpaka watano walikataa katakata kuiluka fimbo Ile
Kwa maana hiyo wote walikuwa wamewai kumsaliti mzee
Mzee akasema medi umeona?
Medi akasema ndiyo mzee wangu
Akasema mpaka mama yako alichepuka Mimi najua Hilo lakini nimevumilia mpaka umekuwa
Sasa je nimfukuze mama yako hapa nyumbani?
Medi akajibu hapana baba msamehe
Mzee akasema nitamsamehe Kama utaniambia umemsamehe mkeo
Baada ya kufikilia kwa mda kidogo medi akamshika mkono mkewe nakumwambia nimekusamehe mke wangu twende nyumbani
Mzee akasema mwanangu usiondoke nataka niongee nawewe ndani
Baada ya medi kumfuata ndani mzee aka mwambia umeona Mambo haya yalivyo?
Medi akajibu ndiyo
Kisha akamwambia ilefimbo ni ni fimbo ya mbaazi iliyo tolewa maganda yake
Naule mchanga nimchanganyiko wa udogo na kinyesi Cha kuku kwahiyo pale hakuna dawa niuongo nimewa tishia mama zako
Namimi hapa ndiyo nimejionea kwamba kumbe wake zangu sio waaminifu sikulijua mwanzo
Lakini nimama zako siwezi kuwa acha kwani najua hawata ludia tena
Mchukue mkeo ludi Naye nyumbani mwambie baba amesema yale maneno aliyo kuwa ana yanena amesha kutega tayali ukija kufanya hivyo utanasa
Nenda na mkeo nyumbani
Mwisho
Usitumie nguvu kuishi na mwanamke