Kwann uwe na uchungu sana wakati kifo kipo kwa kila mtu? Unakuwa na uchungu wa kawaida tu.Kwaiyo baba akishatengeza future akifa uchungu unapungua?
Sio kweli upendo ndo unaosababisha uchungu hayo Mambo mengine na Kwa watu wanao thamini materials kuliko utuKwann uwe na uchungu sana wakati kifo kipo kwa kila mtu? Unakuwa na uchungu wa kawaida tu.
Lkn kama baba kafariki akiwa kaondoka na Kodi ya nyumba, Kodi ya meza (msosi), ada za shule, hela ya mavazi na malazi, kilio chake siyo cha nchi hii.
Tunazaa wengi halafu wanabaki kichunga kama mifugo ya Kisukuma! Sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana. Kuna ki bwana mdogo kikawa kinajisifia mimi nina watoto 15 eti kinanicheka mimi niliyeishia watoto wasiomaliza kiganja kimoja. Nikakauliza wamesoma mpaka la ngapi? Aliyejitahidi kaishia form ya D ya Kiswahili! Kazi kweli kweli!Nipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Kifo kinapaswa kuambatana na sherehe za kumtakia marehemu apokelewe vema huko mbinguni, na siyo vilio.Sio kweli upendo ndo unaosababisha uchungu hayo Mambo mengine na Kwa watu wanao thamini materials kuliko utu
Msiba huo sio wa leo, Huwezi jua walikua na hali gani siku mbili za kwanza.Malezi ya kisasa hayo na ni ya hovyo kupata kutokea.
Hao angekuwa amekufa house girl wao aliyewalea mpaka wakafika aged 12 hakuna angekaa normal kama walivyo hapo but kwa sababu hawajawahi kuwa karibu na baba yao kwa kiasi hicho ndiyo maana wanaona kila kitu sawa tu.
Wasomi wamepitia Quantitative Analysis na Qualitative Analysis wamekuja na jibu.Nipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
kwa hiyo kama kuzaa wawili inapaswa uwe na uwezo kama wa Ndugulile as SI unit unamaanisha sisi wa 1m per month tusizae kabisa au sio?Kwahyo unawashauri maskini ambao hata Kula Yao NI ya shida waoe wake wanne na wazae kama jafo?? Au hujaelewa hata nimeandika nini, nmesema tuzae kulingana na uwezo wetu, kwahyo jafo nae wake alio nao na watoto NI kulingana na kipato chake
Ainisha uwezo huo kaka usizunguke. Kusomesha watoto abroad kisiwe kigezo cha kupima uzae watoto wangapi.Hata kama ana mmoja, hata kama ana Mia, kikubwa NI WATOTO WAWE NDANI YA UWEZO WAKE, KAMA ANAWEZA KUWATUNZA WOTE KIKAMILIFU NI SAWA
Malezi ya boarding hayo so bond ya mzazi na mtoto haipo since kindergarten mtoto yup boarding unategemea upendo utoke wapiWatoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Usizae watoto kwa mtazamo wa "Watanisaidia hapo baadaye"
Zaa watoto kwa mtazamo wa "Nitaweza kuwasaidia hapo baadaye?"
Duu! Ngoja kwanza nikimbie πββοΈπββοΈπββοΈWao kunizaa haukua mpango wangu mkuu...π
Kunizaa ni matokea ya starehe zao mazee...π€¨
Usizae watoto kwa mtazamo wa "Watanisaidia hapo baadaye"
Zaa watoto kwa mtazamo wa "Nitaweza kuwasaidia hapo baadaye?"
Mimi napenda watoto wangu wanililie na kufanya waombolezaji wajione wapo kwenye msiba siyo kwenye tamasha. Kwani hawataniona tena na heshima iliyokuwepo nyumbani itatoweka tu. Na pesa zitaisha mdogo mdogo.Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Kaa na wazee wanajua sana hizi siri za ndani mkuu..π€£Duu! Ngoja kwanza nikimbie πββοΈπββοΈπββοΈ