Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uonevu SASA!? BASI...!! SASA BASI...!! SASA BASI...!!!Tukitaka maendeleo ya haraka lazima tujifunze siasa za kistarabu na siyo kuviziana au kukomoana...
Hahahahaaaa, tatizo la mgombea wenu kalewa sana madaraka kiasi anaamini Urais ni kila kitu, hajisumbui hata kuzielewa kanuni rahisi tu za Uchaguzi..Tukitaka maendeleo ya haraka lazima tujifunze siasa za kistarabu na siyo kuviziana au kukomoana..
Iangalie hiyo picha vizur..Hivi anaposema Jpm hajaweka passport hii hapa Nini, [emoji116][emoji116]
View attachment 1549063
Pingamizi ambalo limewekwa na lisu ni kwamba picha iliyowekwa siyo passport size ni picha ya kawaida,masikio yote mawili hayaonekani,hiyo picha imepigwa kiupanda kwa hiyo siyo passport size iliyo tajwa na sheria za tumeHivi anaposema Jpm hajaweka passport hii hapa Nini, [emoji116][emoji116]
View attachment 1549063
Jana Kuna misichana ilikua imevaa migauni ya kitenge hiki somewhr ..ikanisimamisha kuomba lift ...sikusimama...https://jamii.app/JFUserGuideHivi anaposema Jpm hajaweka passport hii hapa Nini, [emoji116][emoji116]
View attachment 1549063