Tujifunze kupitia Zelenskyy na vita ya Ukraine

Itakuwa na wewe ni Mtz na ni miongoni mwa hao wengi ambao umesema ni wajinga.
Kipindi US anaenda kusimika mitambo yake pale Georgia intelligence ya RUSSIA unadhani haikumpekua Ukraine?
 
Hizi porojo zote zinahuisianaje na porojo za kwamba nchi za Magharibi zimekuwa zinataka kuingamiza Urusi? Kwani Urusi ndio nchi pekee kupigana vita na nchi nyingine duniani? Kuna nchi au empire yoyote ya zamani dunia hii ambazo haijawahi kupigana vita?? Genghis Khan aliyeivamia Russia alikuwa mtu wa West? Russia haijawahi kuvamia nchi majirani kabla hata ya uwepo wa NATO?
 
Hitler aliamka tu kama kichaa akaanza kuzivamia nchi nyingine na kuua Wayahudi??
Majambazi huwa wanakurupuka tu kama kichaa kwenda kuibia na kuua watu?
 
Ilisemwa" America has no permanent friend or enemy but permanent interests"
 
 
Marekani ikiamua "kukutumia" huwezi kukataa acha kuongea vitu vya ajabu
 
Sasa MTU kama Lucas Mwashambwa naye utamuita ni msomi?
 
Medvedev ni mnyama kuliko Putin mkuu.
 
Mkuu kuwa mwelewa mgogoro wa Ukraine na urusi haujaanza Jana Wala juzi? Wakati urusi anaivamia Ukraine na kujimegea rasi ya crimea kwa kutumia wahuni wachache wa urusi Zelensk alikuwa Rais? Mbona unakuwa kama boya
 
Wapuuzi kama nyie ndio mmesababisha zele na NATO kupokea majonzi pale ukraine
 
Wapuuzi kama nyie ndio mmesababisha zele na NATO kupokea majonzi pale ukraine
Mkumbushe amkumbushe zelensky ampe trump madini anayotaka kufidia ushujaa wa zele,Shujaa kaipeleka nchi utumwani.
 
Mimi sio mtanzania ila kama watanzania wajinga na wewe ndio mwenye akili wao basi kweli nchi yenu imejaa wajinga mana hata wewe unaejiona una akili ni jinga la wajinga

Zelesk amepoteza Kila kitu Ili tu ajiunge na NATO Zelesk nae pia ni mjinga kama nyinyi watanzania

Kwani Zelesk alipungukiwa Nini kuishi bila ya kuwa mwanachama wa NATO
 
Trump ni kichaa lkn Yuko sawa kwa upande Mwingine.

Mosi, Hawawezi kuendelea kuisupport Ukraine Milele.

Sasa Kilichobaki ni kuchagua aendelee kupoteza Watu, Au apoteze Ardhi na Madini
 
Wewe huelewi chochote na unaposema Zelensk kapoteza Kila kitu una maana Gani? Unajua maana ya Sovereignity ama unabwabwaja tu? Unahisi Ukraine ni wajinga kama nyie waafrika kuzuiliwa kutumia maji ya ziwa Victoria na Misri na mkanywea
 
Kwenye hili swala anayepoteza zaidi ni Elon na Marekani, mwisho wa utawala wa Trump kampuni za Elon zitapata shida
 
Uthibitisho wa haya madai ni upi?

Nitakutafutia video ambayo m'beberu mmoja akiongea na kusema Russia hawezi kukubali military base ya US mpakani mwake kwa kupitia Ukraine 🇺🇦 awe mwanachama wa NATO. Hilo ndiyo hangaiko kubwa la russ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…