Tujifunze kupitia Zelenskyy na vita ya Ukraine

Tujifunze kupitia Zelenskyy na vita ya Ukraine

Trump yupo sahihi kwa asilimia zote na anaipenda Ukrein zaidi ya hao mnaowaita EU na NATO bila US, sasa ni mwaka wa tatu wanatoa misaada haisaidii, ardhi inachuliwa watu wananchi wanakufa na sasa siyo wanajeshi maana wanachukuluwa kinguvu mitaani,
Hivi kwa akili zao wanakitu gani kinangojwa kifanywe ili kufanya Urusi aache kuibomoa Ukraine?, Trum yupo sahihi kutumia njia hiyo kusimamishwa mauaji
 
Watanzania ni wajinga sana na uthibitisho ni wewe mleta mada na wachangiaji baadhi wa hili mada. Hivi kwa akili Yako ulitaka Russia alipoingiza jeshi lake Ukraine wasichukue hatua? Hivi wakati crimea inachukuliwa kihuni mlikuwa mmelala? Zelensk Bado ni shujaa na uzuri Bado anapambana kutetea nchi yake. Acheni kuzusha mambo yasiyowahusu, Trump na Musk siyo wasemaji wa mwisho wa Ukraine na hawana mamlaka ya kuiamulia Ukraine Cha kufanya kama hakina masilahi kwa Ukraine. Mleta mada go back to school
Hawana cha kumwamulia ukraini nini cha kufanya... una akili za kiccm sana. Ataamuliwa lila kitu kutoka Washington. Mpaka sasa mafia wa Russia na Marekani wameshakaa kwa majadiliano pale Riyadh Saudia.
Kwanza mwezi October uchaguzi utafanyia huku ukraine. Zele hawezi kuchaguliwa tena. Asubiri kuikimbia nchi.
 
Marekani ni snitch na taifa la hovyo sana yaani yeye na wenzake wa NATO wameipa Ukraine silaha zenye thamani ya mabilioni ya dollars kuisaidia ila kwenye madini ya Ukraine anakula peke yake 🤣🤣🤣

Safari hii Pro-West mtamwelewa Kissinger

"It may be dangerous to be America's enemy, but to be America's friend is fatal."
–Henry Kissinger (Former U.S Secretary of State)​
 
Hizi porojo zote zinahuisianaje na porojo za kwamba nchi za Magharibi zimekuwa zinataka kuingamiza Urusi? Kwani Urusi ndio nchi pekee kupigana vita na nchi nyingine duniani? Kuna nchi au empire yoyote ya zamani dunia hii ambazo haijawahi kupigana vita?? Genghis Khan aliyeivamia Russia alikuwa mtu wa West? Russia haijawahi kuvamia nchi majirani kabla hata ya uwepo wa NATO?
Kwani huo moja wao wa NATO wanajilinda na nani? Somalia? Kwa taarifa yako tu, wanajilinda na Russia.
 
Hawana cha kumwamulia ukraini nini cha kufanya... una akili za kiccm sana. Ataamuliwa lila kitu kutoka Washington. Mpaka sasa mafia wa Russia na Marekani wameshakaa kwa majadiliano pale Riyadh Saudia.
Kwanza mwezi October uchaguzi utafanyia huku ukraine. Zele hawezi kuchaguliwa tena. Asubiri kuikimbia nchi.
Nchi Bado IPO kwenye martial law huo uchaguzi atafanya baba yako.
 
Marekani ni snitch na taifa la hovyo sana yaani yeye na wenzake wa NATO wameipa Ukraine silaha zenye thamani ya mabilioni ya dollars kuisaidia ila kwenye madini ya Ukraine anakula peke yake 🤣🤣🤣

Safari hii Pro-West mtamwelewa Kissinger

"It may be dangerous to be America's enemy, but to be America's friend is fatal."
–Henry Kissinger (Former U.S Secretary of State)​
Yaani ni kwamba Marekani na Urusi wamegawana

Urusi yeye atakula madini ya majimbo yaliyo chini yake na kule Marekani anabwia ya upande wake

Hapo Mrusi atamwita Mchina mkali wa kuprocess hayo madini duniani waanze kupiga hela

Dunia ya wakubwa hii U.S, Russia, China
 
Trump ni mwehu anamwambia Zelensky usitumie kichaka cha vita kukaa madarakani muda mrefu ruhusu uchaguzi ufanyike usilete mambo ya udikteta.
 
Trump na Elon Musk wanamuita Zelensky dikteta,asiye na huruma,asiyependa watu wake, tapeli n.k. Mazungumzo ya kumaliza vita yanafanyika Saudi Arabia bila uwepo wa Ukraine, Zelensky anaambiwa atoe sehemu ya madini yake muhimu kwa Marekani Ili kufidia gharama za vita, Urusi kachukua maeneo muhimu ya Ukraine yénye madini na hayo maeneo hayatarudishwa, mamilioni ya wanaume wa Ukraine wamekufa vitani bure tu. Je sisi tunajifunza nini?

1. Usije kubali kutumiwa na Marekani kugombana na jirani yako. Kamwe usikubali. Ukraine walidanganywa na Marekani na washirika wake tangu mwaka 2014 baada ya mapinduzi yaliyomtoa madarakani Rais aliyekuwa na maelewano na Urusi. Wakati wa mapinduzi, maafisa wa CIA walikuwepo nchini Ukraine vilevile Victoria Nuland mama mpenda vita alikuwepo Ukraine na alikuwa anagawa bites kwa waandamanaji waliokuwa wanamshinikiza Rais atoke. Mwisho wa siku, Victoria Nuland hajafa waliokufa ni mamilioni ya askari wa Ukraine. Taiwan sijui wanajifunza au na wenyewe watakubali kutumiwa na Marekani kupigana na China.

2. Usimsikilize Marekani pale anapokuhubiria demokrasia, haki za binadamu n.k. Marekani haijali na wala haijawahi kujali demokrasia. Hizo ni propaganda tu na kupiga midomo. Marekani anajijali yeye hamjali yoyote.

3. Hakuna kitu cha bure. Hata upewe msaada wa kondomu na Marekani, utalipia tu. Msaada ni njia ya kukufanya uwe mtumwa.

4. Kibaraka yoyote wa Marekani hana thamani. Hutupwa kama kinyesi baada ya matumizi. Alitupwa Mobutu na Zelensky atatupwa kwani muda wake wa matumizi umekwisha.

5. Usisikilize propaganda za vyombo vya magharibi. Wakati wa vita ya Urusi na Ukraine, vyombo vya habari vya magharibi vilikuwa vinaipamba Ukraine na kuhubiri kwamba Putin ni mvamizi, muuaji ambaye kavamia nchi ya watu na Ukraine inapaswa kusaidiwa. Kiuhalisia, Putin alikuwa anajilinda. Urusi ni superpower hawezi kukubali Ukraine ajiunge na NATO hata iweje. Huo ndo uhalisia..Ukraine haina haki ya kujiunga na NATO. Lakini vyombo vya magharibi vilikuwa havisemi chanzo cha Urusi kuvamia Ukraine. Kama hadi leo wewe unapenda kusikiliza na kuviamini vyombo hivi vya habari( BBC, DW,VOA,CNN,RFI etc) nakushauri utoke huko utumwani.

6. Tupende kujifunza historia na matukio ya ulimwengu. Tufahamu uhalisia, tufahamu mambo yanakwendaje. Kwa sasa hakuna jipya yote ni marudio. Kama Zelensky angejifunza historia na uhalisia wa Ulimwengu, asingekubali kutumiwa na nchi za Magharibi kupigana na Urusi. Zelensky kasababisha vifo vya Raia wake kwa vita iliyokuwa inaepukika. Ahadi zote za uongo alizojazwa na viongozi wa Magharibi hazijatimizwa hata moja isipokuwa ahadi ya kukopeshwa silaha. Hizi silaha walizokopeshwa zitalipwa hadi senti ya mwisho. Kwenye hii vita aliyepoteza ni Ukraine.

Kapoteza watu, kapoteza maeneo, alichokuwa anapigania hajakipata na ana madeni ya mabilioni ya dóllar lazima alipe. Ukosefu wa hekima ndo umeifikisha hapa Ukraine.Biden na Boris Johnson waliomjaza upepo aingie vitani wamemtelekeza.

Umoja wa Ulaya ulioahidi kumsapoti na wenyewe una haha huko na mambo yao. Raia wa nchi zinazounda Umoja wa Ulaya wamechoka hii vita na viongozi waliokuwa wanaisapoti hii vita kama vile Kansela Olaf Scholz watakosa kura kwenye chaguzi zijazo. Wanasiasa wa mlengo wa kulia wanaoahidi kushirikiana na Urusi na kuleta amani wanapata umaarufu na uungwaji mkono.
Zelensky mwanakulitafuta mwanakulipata.

Asanteni.
Pye pye pye nyingi sana bila kutueleza kosa lake halisi ni lipi lililosababisha vita hivyo!

Hatuwezi kuambiwa dikteta na sisi tukaimba kiitikio cha wimbo huo bila ya kutafakari maelezo ya kina yatakayotolewa oande zote za mgogoro.
 
Watanzania ni wajinga sana na uthibitisho ni wewe mleta mada na wachangiaji baadhi wa hili mada. Hivi kwa akili Yako ulitaka Russia alipoingiza jeshi lake Ukraine wasichukue hatua? Hivi wakati crimea inachukuliwa kihuni mlikuwa mmelala? Zelensk Bado ni shujaa na uzuri Bado anapambana kutetea nchi yake. Acheni kuzusha mambo yasiyowahusu, Trump na Musk siyo wasemaji wa mwisho wa Ukraine na hawana mamlaka ya kuiamulia Ukraine Cha kufanya kama hakina masilahi kwa Ukraine. Mleta mada go back to school
We ni kilaza futa huu upupu wajukuu zetu wasije kuona mwaka 2097 itakua ni aibu
 
Trump na Elon Musk wanamuita Zelensky dikteta,asiye na huruma,asiyependa watu wake, tapeli n.k. Mazungumzo ya kumaliza vita yanafanyika Saudi Arabia bila uwepo wa Ukraine, Zelensky anaambiwa atoe sehemu ya madini yake muhimu kwa Marekani Ili kufidia gharama za vita, Urusi kachukua maeneo muhimu ya Ukraine yénye madini na hayo maeneo hayatarudishwa, mamilioni ya wanaume wa Ukraine wamekufa vitani bure tu. Je sisi tunajifunza nini?

1. Usije kubali kutumiwa na Marekani kugombana na jirani yako. Kamwe usikubali. Ukraine walidanganywa na Marekani na washirika wake tangu mwaka 2014 baada ya mapinduzi yaliyomtoa madarakani Rais aliyekuwa na maelewano na Urusi. Wakati wa mapinduzi, maafisa wa CIA walikuwepo nchini Ukraine vilevile Victoria Nuland mama mpenda vita alikuwepo Ukraine na alikuwa anagawa bites kwa waandamanaji waliokuwa wanamshinikiza Rais atoke. Mwisho wa siku, Victoria Nuland hajafa waliokufa ni mamilioni ya askari wa Ukraine. Taiwan sijui wanajifunza au na wenyewe watakubali kutumiwa na Marekani kupigana na China.

2. Usimsikilize Marekani pale anapokuhubiria demokrasia, haki za binadamu n.k. Marekani haijali na wala haijawahi kujali demokrasia. Hizo ni propaganda tu na kupiga midomo. Marekani anajijali yeye hamjali yoyote.

3. Hakuna kitu cha bure. Hata upewe msaada wa kondomu na Marekani, utalipia tu. Msaada ni njia ya kukufanya uwe mtumwa.

4. Kibaraka yoyote wa Marekani hana thamani. Hutupwa kama kinyesi baada ya matumizi. Alitupwa Mobutu na Zelensky atatupwa kwani muda wake wa matumizi umekwisha.

5. Usisikilize propaganda za vyombo vya magharibi. Wakati wa vita ya Urusi na Ukraine, vyombo vya habari vya magharibi vilikuwa vinaipamba Ukraine na kuhubiri kwamba Putin ni mvamizi, muuaji ambaye kavamia nchi ya watu na Ukraine inapaswa kusaidiwa. Kiuhalisia, Putin alikuwa anajilinda. Urusi ni superpower hawezi kukubali Ukraine ajiunge na NATO hata iweje. Huo ndo uhalisia..Ukraine haina haki ya kujiunga na NATO. Lakini vyombo vya magharibi vilikuwa havisemi chanzo cha Urusi kuvamia Ukraine. Kama hadi leo wewe unapenda kusikiliza na kuviamini vyombo hivi vya habari( BBC, DW,VOA,CNN,RFI etc) nakushauri utoke huko utumwani.

6. Tupende kujifunza historia na matukio ya ulimwengu. Tufahamu uhalisia, tufahamu mambo yanakwendaje. Kwa sasa hakuna jipya yote ni marudio. Kama Zelensky angejifunza historia na uhalisia wa Ulimwengu, asingekubali kutumiwa na nchi za Magharibi kupigana na Urusi. Zelensky kasababisha vifo vya Raia wake kwa vita iliyokuwa inaepukika. Ahadi zote za uongo alizojazwa na viongozi wa Magharibi hazijatimizwa hata moja isipokuwa ahadi ya kukopeshwa silaha. Hizi silaha walizokopeshwa zitalipwa hadi senti ya mwisho. Kwenye hii vita aliyepoteza ni Ukraine.

Kapoteza watu, kapoteza maeneo, alichokuwa anapigania hajakipata na ana madeni ya mabilioni ya dóllar lazima alipe. Ukosefu wa hekima ndo umeifikisha hapa Ukraine.Biden na Boris Johnson waliomjaza upepo aingie vitani wamemtelekeza.

Umoja wa Ulaya ulioahidi kumsapoti na wenyewe una haha huko na mambo yao. Raia wa nchi zinazounda Umoja wa Ulaya wamechoka hii vita na viongozi waliokuwa wanaisapoti hii vita kama vile Kansela Olaf Scholz watakosa kura kwenye chaguzi zijazo. Wanasiasa wa mlengo wa kulia wanaoahidi kushirikiana na Urusi na kuleta amani wanapata umaarufu na uungwaji mkono.
Zelensky mwanakulitafuta mwanakulipata.

Asanteni.
Umesahau Iraq
 
Watu wengi hawajui historia na chanzo cha hii vita, pia nimeamini vyuo vyetu vinazalisha takataka badala ya wasomi.
Huu mgogoro usingefika hapa Kama Kila mtu angeheshimu makubaliano yaliyofikiwa, wakati USSR inasambaratika au mkataba wa Minsk.
Marekani hataki urusi aweke nyukilia Cuba lakini yeye anataka kumzunguka urusi kwa kuweka majeshi yake, washukuru Urusi ilikuwa Ina kiongozi mwenye busara Ila Kama rais angekuwa Medved Sasa hivi tungekuwa tunapokea wazungu wakimbizi.
Medvedev kichaa kabisa angewadhaliisha.
 
Amejifunza Kagame
Kuwahi maeneo Congo kama Putin alivyofanya Ukraine
Kwahiyo Trump akimwachia Putin achukue asilimia 25 ya Ukraine hata Kagame ataachiwa Goma, Kivu, Bukavu na maeneo mengine akijitwalia.......
 
Kwahiyo Putin aliamka tu akapeleka jeshi Ukraine kama kichaa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hakupeleka jeshi Georgia. Na kwa taarifa yako, Zelensky kaambiwa asipotoa madini Musk atachukua vifaa vyake vya Star Link. Sasa tuone atapigana vipi bila hivyo vifaa vya Star Link. Angekuwa shujaa asingeingia kwenye vita visivyo na faida. Kapoteza watu, kapoteza ardhi yénye mádini, ana mádeni ambayo yatalipwa hadi na vitukuu vyake, ardhi yénye rutuba aliwakabidhi Black Rocks kitambo. Angekuwa shujaa angekubali sharti la kutojiunga na NATO maisha yaendelee. Kama wewe ni mdogo jua nafasi yako,usikubali kutumiwa kwa maslahi ya wakubwa.
Kwa hiyo Iddi Amini alikurupuka kama kichaa akapeleka majeshi kagera na kuivamia Tanzania ?
 
Back
Top Bottom