Tujifunze kwa Uganda, reli yao kilometa 227 wataijenga kwa miaka minne, sisi Tanzania kilometa karibu 2000 tunalazimisha ziishe ndani ya miaka mitano

Tujifunze kwa Uganda, reli yao kilometa 227 wataijenga kwa miaka minne, sisi Tanzania kilometa karibu 2000 tunalazimisha ziishe ndani ya miaka mitano

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wa Tanzania, tujivunie hata hapa tulipofikia, reli yetu ni moja kati ya reli ndefu sana. Uganda wana kilometa 227 ambazo watajenga kwa miaka minne. Kwa wastani wa reli yetu, Uganda wangejenga kwa miaka karibu 20. Tena anayejenga ni jenerali wa vita Kaguta Museveni.

Tuwe na uvumilivu na tuipende nchi yetu. Samia, jenga pole pole hiyo reli, wasikukimbize kana kwamba wana mgonjwa wa tumbo la kuhara yuko hoi anasubiri reli iishe aende hospitali. Pole pole lakini kwa viwango.

Screenshot_20241030-121654.jpg
 
Waganda wanakuja kasi sana kimaendeleo na Kwa ufanisi mkubwa katika utumiaji wa rasilimali zake.Siku si nyingi wanatuacha mbali kimaendeleo sababu ya huyu mama kuvuruga Kila kitu na kushadadia petty issue kama safari za Dubai na marekani Kila siku zisizo na tija yeyote zaidi ya kutumbua hovyo Kodi zetu tu
 
Waganda wanakuja kasi sana kimaendeleo na Kwa ufanisi mkubwa katika utumiaji wa rasilimali zake.Siku si nyingi wanatuacha mbali kimaendeleo sababu ya huyu mama kuvuruga Kila kitu na kushadadia petty issue kama safari za Dubai na marekani Kila siku zisizo na tija yeyote zaidi ya kutumbua hovyo Kodi zetu tu
Mbowe na yeye anashinda Dubai, hajui kama kuna uchaguzi wa serikali za mitaa uko jirani. Lissu na yeye anashinda kwa mabwana wa ubeleji
 
Watu wenye akili kama zako ndio walioifikisha nchi mahali hapa.
Wakati Dunia inakimbia wewe umerudi miaka 80 iliyopita!
Tanzania haiwezi kupangwa mbio moja na Japan
 
Mzee wangu Museveni hanaga haraka, nyie majirani fanyeni ye anaanza kazi mwishoni.
 
Unafahamu miaka 60 iliyopita Japan walikuwa na uchumi gani?
Kama wangekuwa na mawazo kama yako leo wangefika hapo walipo?

Wamekimbia hadi wewe unawatolea mfano.
Development factors za Japan haziwezi kuwiana na Tanzania
 
Wa Tanzania, tujivunie hata hapa tulipofikia, reli yetu ni moja kati ya reli ndefu sana. Uganda wana kilometa 227 ambazo watajenga kwa miaka minne. Kwa wastani wa reli yetu, Uganda wangejenga kwa miaka karibu 20.

Tuwe na uvumilivu na tuipende nchi yetu. Samia, jenga pole pole hiyo reli, wasikukimbize kana kwamba wana mgonjwa wa tumbo la kuhara yuko hoi anasubiri reli iishe aende hospitali. Pole pole lakini kwa viwango.

View attachment 3138954
Kwa utaratibu huu unadhani Wakandarasi wa Barabara wataacha kulia kutolipwa?
 
Wa Tanzania, tujivunie hata hapa tulipofikia, reli yetu ni moja kati ya reli ndefu sana. Uganda wana kilometa 227 ambazo watajenga kwa miaka minne. Kwa wastani wa reli yetu, Uganda wangejenga kwa miaka karibu 20.

Tuwe na uvumilivu na tuipende nchi yetu. Samia, jenga pole pole hiyo reli, wasikukimbize kana kwamba wana mgonjwa wa tumbo la kuhara yuko hoi anasubiri reli iishe aende hospitali. Pole pole lakini kwa viwango.

View attachment 3138954

Kwa utaratibu huu unadhani Wakandarasi wa Barabara wataacha kulia kutolipwa?
U
Wa Tanzania, tujivunie hata hapa tulipofikia, reli yetu ni moja kati ya reli ndefu sana. Uganda wana kilometa 227 ambazo watajenga kwa miaka minne. Kwa wastani wa reli yetu, Uganda wangejenga kwa miaka karibu 20. Tena anayejenga ni jenerali wa vita Kaguta Museveni.

Tuwe na uvumilivu na tuipende nchi yetu. Samia, jenga pole pole hiyo reli, wasikukimbize kana kwamba wana mgonjwa wa tumbo la kuhara yuko hoi anasubiri reli iishe aende hospitali. Pole pole lakini kwa viwango.

View attachment 3138954
Ndugu hivi hapo unailaumu serikali Yako katika kuwahi kukamilisha miradi?? Unastahili kunyongwa Kwa kuishi na mawazo ya miaka 56 huko.

Mradi unapoisha kwa wakati hata value for money inaonekana kuliko mradi kuchukua miaka kibao hauishi hadi serikali kugombana na wananchi wenye pesa zao
 
Tuwe na uvumilivu na tuipende nchi yetu. Samia, jenga pole pole hiyo reli, wasikukimbize kana kwamba wana mgonjwa wa tumbo la kuhara yuko hoi anasubiri reli iishe aende hospitali. Pole pole lakini kwa viwango.

Mhandisi wa mwandamizi TRC na pia mchumi rais Jakaya Kikwete walisema kumaliza mtandao wote wa ujenzi wa reli mpya SGR Tanzania ni zigo zito watambue watanzania....... :
 
Wa Tanzania, tujivunie hata hapa tulipofikia, reli yetu ni moja kati ya reli ndefu sana. Uganda wana kilometa 227 ambazo watajenga kwa miaka minne. Kwa wastani wa reli yetu, Uganda wangejenga kwa miaka karibu 20. Tena anayejenga ni jenerali wa vita Kaguta Museveni.

Tuwe na uvumilivu na tuipende nchi yetu. Samia, jenga pole pole hiyo reli, wasikukimbize kana kwamba wana mgonjwa wa tumbo la kuhara yuko hoi anasubiri reli iishe aende hospitali. Pole pole lakini kwa viwango.

View attachment 3138954
Nani huyo anayeilazimisha serikali?
 
Mhandisi wa mwandamizi TRC na pia mchumi rais Jakaya Kikwete walisema kumaliza mtandao wote wa ujenzi wa reli mpya SGR Tanzania ni zigo zito watambue watanzania....... :
Nani asiyejua biashara za Malori yao.
Unafikiri wangesema lililojema kwa Watanzania.
 
Waganda wamejifunza Kenya na pia Tanzania kuhusu ukubwa wa kazi kujenga reli mpya ya kiwango cha SGR, ndiyo maana wamejaribu kufanya mahesabu ya uhakika waanze wapi, vipi na kwa sababu zipi
 
Back
Top Bottom