jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 623
akili za wavivu na wajingaHuhuhuuu hili nalo neno[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee mi nitabadili kabila langu la kisukuma!Moshi ni miongoni mwa miji maarufu sana wa kitalii Tanzania na Duniani kote uliopo Mkoani Kilimanjaro, Kaskazini mwa Tanzania. Umaarufu wa Mji huu unatokana na kuingia kwa wageni kutokana na Mlima Kilimanjaro. Mji huu una kabila maarufu sana liitwalo Wachaga. Kuna Wamachame, Wakibosho na Wamarangu. Warombo nao hawajambo!
Pamoja na kwamba mm natoka Mkoa wa Bara, yafuatayo ni mambo muhimu ya kujifunza toka kwa Wachaga:-
1. Wana uzalendo mkubwa sana na Mkoa wao.
2. Wanapenda kusaidiana sana wao kwa wao. Ukioa kwao umeula.
3. Wanawake wanafanya biashara sana kuliko wanaume. Wanawake wanatembeza vitu mtaani (Machinga) kuliko wanaume.
4. Wachaga wana wivu sana wa kimaendeleo. Muda wote wao huwaza kuwa zaidi na zaidi.
5. Wachaga si wepesi wa kukata tamaa. Hata apate hasara vipi,atang'ang'ana kama kupe mpaka atatoboa.
6. Wachaga wana nidhamu sana na pesa.Siyo wepesi wa kufuja hela. Wazuri wa kutunza na kulundika hela.
7. Mchaga hakatai pesa,hata kama kidogo anachukua.Nyingine utamalizia baadae
8. Wachaga wanapenda sana kilimo cha umwagiliaji,hasa ndizi kahawa migomba na mbogamboga za majani. Na wanapenda sana kufuga nguruwe.
9. Wachaga si wepesi wa kudhulumu mtu,mpk mtofautiane sana. Ni watu ambao mkishakubaliana terms mmeshamaliza,na hata akila,hali chote.
10. Ukioa mchaga umewin. Mwanamke kila dakika anawaza pesa na ni wazuri wa kusimamia miradi.
11. Wachaga wanakula sana pombe ila kwa malengo na ni weekend
12. Wachaga wanapenda majidai sana na wana fujofujo za kujisikia (hawawafikii Wahaya)
13. Kwa mchaga hela itapatikana tu,kwa namna yoyote ile
Aikambe
Aikasa
Aikama
n hadithi za walioshindwaEti wanaogopa kuuliwa watakapo pata mali
karibu mkuuAisee mi nitabadili kabila langu la kisukuma!
exactlyAsante mkuu na karibu tena Moshi! It's a big blessing to host people who appreciate others! They call the place Kilimanjaro, I call it home! big up!
ndio wataalam wenyeweKisusio na mbusi.
ohoo ulifumuliwa na wengi dah poleNIMEFUMUA WENGI
hatujakataa ila wanawake wa kichaga watakuwa wanaongoza uchakarikajNamba mbili hapo,inategemea,umempata wapi huyo sweet mangi uliyeoa,wa mjini hawa ambao hawajuhi hata Lugha yao,hamna kitu,
Namba 3 hapo,hiyo hata wanawake wa kikinga,pale njombe,wanachakarika sana,sawa sawa na wamakua wa Lindi/masasi
hahaha mkuu nakukunbka katka uz wa bkb vs msh niliwagaragaza sana ww na instanbulSichangiii kitu Maana nilishapata Bann kutokana na uongo wa..............,.......
naona hujui chochoteUmeongelea na kuangalia upande mmoja bdo haujasema THEIR DARK SIDE
mfano. Kisirani, kiburi, kutokupenda ndugu, many are not good in caring n.k naombeni muongezee
hiyo inafahamika haina haj ya kurudia rudia kilimanja stand upUmesahau sifa kubwa moja
Ni mji msafi sana
Asante, Juzi nimepata BANN.hahaha mkuu nakukunbka katka uz wa bkb vs msh niliwagaragaza sana ww na instanbul
hadi sasa ukiona jina moshi unatetemeka maini polee
mkuu naomba uanzishe uzi ili watu wachanhie ili tuweke history vizuri ili watakao kuwa wanachangia watupe na sisi maarifaMkuu baba yake Mbowe ndiye aliteam na Nyerere kuwaingiza Wachaga kwenye huko kudai uhuru. Baba yake Mbowe alikuwa na ushawishi mkubwa kwa wamachame.
Kilichotokea ni kwamba baada ya Mangi Shangali wa Machame kuukosa u Paramount Chief, yaani Mangi Mkuu wa Uchagga na Mangi Marealle wa Marangu ndiye aliyeshinda, elites clan za Machame hazikukubaliana na kutawaliwa na wamarangu hasahasa Marealle ambaye pia walikuwa wakatoliki na wamachame ni walutheri. Hapo ndipo elites clan za Machame zikaamua kuungana na Mwl Nyerere wakati tayari chief Marealle alishaenda nae kudai uhuru kwa Malkia.
na ndo miongoni mwa mikoa inayochukiwa na system lakini wananchi wanaishi maisha mazuri kuzidi yale ya wale wanaopendwaKilimanjaro nyumba za kisasa tangu zaman MBNA
tangu 1986 hakuna nyumba ya nyasi KLM
n mkoa wa pili kwa naisha bora kwa mujibu wa takwimu za wizara ya feedha
akili n nywelena ndo miongoni mwa mikoa inayochukiwa na system lakini wananchi wanaishi maisha mazuri kuzidi yale ya wale wanaopendwa