Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Moshi ni miongoni mwa miji maarufu sana wa kitalii Tanzania na Duniani kote uliopo Mkoani Kilimanjaro, Kaskazini mwa Tanzania. Umaarufu wa Mji huu unatokana na kuingia kwa wageni kutokana na Mlima Kilimanjaro. Mji huu una kabila maarufu sana liitwalo Wachaga. Kuna Wamachame, Wakibosho na Wamarangu. Warombo nao hawajambo!

Pamoja na kwamba mm natoka Mkoa wa Bara, yafuatayo ni mambo muhimu ya kujifunza toka kwa Wachaga:-

1. Wana uzalendo mkubwa sana na Mkoa wao.

2. Wanapenda kusaidiana sana wao kwa wao. Ukioa kwao umeula.

3. Wanawake wanafanya biashara sana kuliko wanaume. Wanawake wanatembeza vitu mtaani (Machinga) kuliko wanaume.

4. Wachaga wana wivu sana wa kimaendeleo. Muda wote wao huwaza kuwa zaidi na zaidi.

5. Wachaga si wepesi wa kukata tamaa. Hata apate hasara vipi,atang'ang'ana kama kupe mpaka atatoboa.

6. Wachaga wana nidhamu sana na pesa.Siyo wepesi wa kufuja hela. Wazuri wa kutunza na kulundika hela.

7. Mchaga hakatai pesa,hata kama kidogo anachukua.Nyingine utamalizia baadae

8. Wachaga wanapenda sana kilimo cha umwagiliaji,hasa ndizi kahawa migomba na mbogamboga za majani. Na wanapenda sana kufuga nguruwe.

9. Wachaga si wepesi wa kudhulumu mtu,mpk mtofautiane sana. Ni watu ambao mkishakubaliana terms mmeshamaliza,na hata akila,hali chote.

10. Ukioa mchaga umewin. Mwanamke kila dakika anawaza pesa na ni wazuri wa kusimamia miradi.

11. Wachaga wanakula sana pombe ila kwa malengo na ni weekend

12. Wachaga wanapenda majidai sana na wana fujofujo za kujisikia (hawawafikii Wahaya)

13. Kwa mchaga hela itapatikana tu,kwa namna yoyote ile



Aikambe

Aikasa

Aikama
Aisee mi nitabadili kabila langu la kisukuma!
 
Umeongelea na kuangalia upande mmoja bdo haujasema THEIR DARK SIDE
mfano. Kisirani, kiburi, kutokupenda ndugu, many are not good in caring n.k naombeni muongezee
 
Sichangiii kitu Maana nilishapata Bann kutokana na uongo wa..............,.......
 
Namba mbili hapo,inategemea,umempata wapi huyo sweet mangi uliyeoa,wa mjini hawa ambao hawajuhi hata Lugha yao,hamna kitu,
Namba 3 hapo,hiyo hata wanawake wa kikinga,pale njombe,wanachakarika sana,sawa sawa na wamakua wa Lindi/masasi
hatujakataa ila wanawake wa kichaga watakuwa wanaongoza uchakarikaj
 
Sichangiii kitu Maana nilishapata Bann kutokana na uongo wa..............,.......
hahaha mkuu nakukunbka katka uz wa bkb vs msh niliwagaragaza sana ww na instanbul
hadi sasa ukiona jina moshi unatetemeka maini polee
 
Umeongelea na kuangalia upande mmoja bdo haujasema THEIR DARK SIDE
mfano. Kisirani, kiburi, kutokupenda ndugu, many are not good in caring n.k naombeni muongezee
naona hujui chochote
wachaga wanapendana sana ktk familia mmoja akifanikiwa anainua wengine
hii n elementary wala haihitaji ubishi
hata Mikoan wakikutana wanaji organize wanasaidiana
 
hahaha mkuu nakukunbka katka uz wa bkb vs msh niliwagaragaza sana ww na instanbul
hadi sasa ukiona jina moshi unatetemeka maini polee
Asante, Juzi nimepata BANN.
Haha haha haha ngoja tuendelee kula wali Nazi apa Msimbazi uzaramoni, mikoani tuwaache kama walivyo wakija Dar es salaam apa ni kutafuta Pesa tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Utakuwa hujaenda Moshi au unaisikia kwenye radio,kwani hapo namba 4 umeongopa,kwa kuwa Moshi kuna machangudoa kibao,hasa Malindi Bar jirani na round about ya KNCU au nyuma ya Voda House na jirani pale chriss burger machangu wamejaa kibao mpaka barabarani wamejipanga.
 
Mkuu baba yake Mbowe ndiye aliteam na Nyerere kuwaingiza Wachaga kwenye huko kudai uhuru. Baba yake Mbowe alikuwa na ushawishi mkubwa kwa wamachame.

Kilichotokea ni kwamba baada ya Mangi Shangali wa Machame kuukosa u Paramount Chief, yaani Mangi Mkuu wa Uchagga na Mangi Marealle wa Marangu ndiye aliyeshinda, elites clan za Machame hazikukubaliana na kutawaliwa na wamarangu hasahasa Marealle ambaye pia walikuwa wakatoliki na wamachame ni walutheri. Hapo ndipo elites clan za Machame zikaamua kuungana na Mwl Nyerere wakati tayari chief Marealle alishaenda nae kudai uhuru kwa Malkia.
mkuu naomba uanzishe uzi ili watu wachanhie ili tuweke history vizuri ili watakao kuwa wanachangia watupe na sisi maarifa
 
Kilimanjaro nyumba za kisasa tangu zaman MBNA
tangu 1986 hakuna nyumba ya nyasi KLM
n mkoa wa pili kwa naisha bora kwa mujibu wa takwimu za wizara ya feedha
na ndo miongoni mwa mikoa inayochukiwa na system lakini wananchi wanaishi maisha mazuri kuzidi yale ya wale wanaopendwa
 
Back
Top Bottom