Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Hakuna asiyefahamu kuwa kuna Kabila Moja Nchini Tanzania ambalo linajulikana sana kwa mihangaiko ya maisha maana karibu kila sehemu unapokwenda hata vijijini lazima utasikia kwa MANGI kama si kwa jina hilo basi utakuta wanatumia jina jingine kama yanavyojulikana majina ya Kichaga, Mushi,Kessy,Assey,Marando,Tarimo nk.

Lakini hili Kabila inipofika mwezi wa 12 kama sasa huanza mihangaiko ya kwenda kwao kwaajili ya kusherekea sikukuu ya X-Mass. Je tujifunze nini kutoka kwa kwa Kabila hili? Maana kuna baadhi ya watu husema kuwa wengi wa Wachaga huenda kwaajili ya kufanya matambiko Mbalimbali je ni kweli?


Mimi ni mtu wa kusini na hakika sina cha kujifunza toka kwa wachagga, kama ni matambiko hata mimi na familia yangu tunafanya kila mwaka japo si kila X-mas ila ni kila mwaka na hatuendi kuhesabiwa, ni kusoma tu misa za wafu, kufagia makaburi, na kufanya sadaka.
 
Hakuna asiyefahamu kuwa kuna Kabila Moja Nchini Tanzania ambalo linajulikana sana kwa mihangaiko ya maisha maana karibu kila sehemu unapokwenda hata vijijini lazima utasikia kwa MANGI kama si kwa jina hilo basi utakuta wanatumia jina jingine kama yanavyojulikana majina ya Kichaga, Mushi,Kessy,Assey,Marando,Tarimo nk.

Lakini hili Kabila inipofika mwezi wa 12 kama sasa huanza mihangaiko ya kwenda kwao kwaajili ya kusherekea sikukuu ya X-Mass. Je tujifunze nini kutoka kwa kwa Kabila hili? Maana kuna baadhi ya watu husema kuwa wengi wa Wachaga huenda kwaajili ya kufanya matambiko Mbalimbali je ni kweli?
Tujifunze wizi na kwenda kanisani sana bila kusahau ukabila!
 
Mimi ni mtu wa kusini na hakika sina cha kujifunza toka kwa wachagga, kama ni matambiko hata mimi na familia yangu tunafanya kila mwaka japo si kila X-mas ila ni kila mwaka na hatuendi kuhesabiwa, ni kusoma tu misa za wafu, kufagia makaburi, na kufanya sadaka.
Another wasted sperm!
 
Mimi ni mtu wa kusini na hakika sina cha kujifunza toka kwa wachagga, kama ni matambiko hata mimi na familia yangu tunafanya kila mwaka japo si kila X-mas ila ni kila mwaka na hatuendi kuhesabiwa, ni kusoma tu misa za wafu, kufagia makaburi, na kufanya sadaka.
povuu
 
Naona unajiachia tu .....
Uwizi haujawahi kuwa mbinu ya kimaendeleo
ni laana tupu
waambie nduguzo wajibidiishe kutafuta vya halali
hivi we mcheza sindimba kichwan zimo?
mtu akiwa na Mali n mwizi? usidhan kuwa watu wote wana akili finyu ka we watu wanapambna we unasema wez
walikuibia pumbu zko au
 
wavivu na wajinga utawajua t u
Kwani hukuona juzi tu walipoambiwa walete bajeti ya mazishi ya Akwilina wakaona furusa 80m mmmmh!! Halafu nenda jpili kanisani wamejazana ila wakikuona unapesa wanakusukia dili. Mkuu nawajua nimeoa dada yenu!!
 
hivi we mcheza sindimba kichwan zimo?
mtu akiwa na Mali n mwizi? usidhan kuwa watu wote wana akili finyu ka we watu wanapambna we unasema wez
walikuibia pumbu zko au
P...zang ..ziliibwa na mamio
ukimwona mwambie arudishe maana nataka
nitumie sehemu nyingine huko nishachoka.
 
Eheeeee, ukweli umekuwa povu siku hizi? Kuna nini mimi nijifunze toka kwa mchagga, there's nothing to learn from them kama kujitambua ninajitambua fika.
endelea kucheza sindimba hapo mtwara baada ya kuuza korosho
unaongeza mke wa pili huku unalala nyumba ya nyasi hongera kwa kujitambua
 
Kwani hukuona juzi tu walipoambiwa walete bajeti ya mazishi ya Akwilina wakaona furusa 80m mmmmh!! Halafu nenda jpili kanisani wamejazana ila wakikuona unapesa wanakusukia dili. Mkuu nawajua nimeoa dada yenu!!
na watazd kupaa kimaendeleo tu wivu umewajaa pole
 
Back
Top Bottom