Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
Katika programu nzuri na tamu katika ukokotoaji, uchambuzi, uwasilishaji wa data zilizopo katika namba na kupanga mambo mbalimbali ya kihesabu tunajua Excel Ina fanya yote hayo, Excel imekua ikitumika karibia Kila professional ikiwemo Engineering, Accounting, Medical professions na nyingine nyingi.
Hivyo basi sababu tunajua Excel ni pana sana na haiwezekani mtu kujua Kila kitu naomba tupia ukijuacho kuhusu Excel ili tupate elimu ya programu hii tamu ambayo inatumiwa na kila wataalamu katika kufanya kazi zao "kivyao" kama unaijua formula usiache kutujuza Kwa mfano mi naanza na hizi chache Hapo chini
Hivyo basi sababu tunajua Excel ni pana sana na haiwezekani mtu kujua Kila kitu naomba tupia ukijuacho kuhusu Excel ili tupate elimu ya programu hii tamu ambayo inatumiwa na kila wataalamu katika kufanya kazi zao "kivyao" kama unaijua formula usiache kutujuza Kwa mfano mi naanza na hizi chache Hapo chini