Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Usipokua mtu wa kuappreciate mambo mazuri wanayoyafanya wenzako ni ngumu sana kujifunza na kufanikiwa
Sisi waafrika hatu-appreciate mambo mazuri ya watu wengine ndo maana tuko vilevile, ni rahis sana kwa mwafrika kumuona mwezake amefanikiwa balaa ya ku-appreciate ataanza kumtuhumu ni freemasons, mara mwizi ni mwendo wa majungu mwanzo mwisho
Hata kama adui yako humpendi jifunze ku-appreciate zile progress anazofanya kwenye maisha yake na ziwe motivation kwako
Zelensky ni jasiri vibaya mno sawa anaweza shindwa vita na russia hayo ni matokeo ambayo hakuna anayejua precisely what will happen because no one know tommorow tunajifunza kwa zelensky mambo yafuatayo
Usikate tamaa kwenye maisha even when all odds are against you
Wakati vuguvugu la vita linaanza marekani walimuahid assylum zelensky yeye na familia yake aende marekani wakijua ni ngumu kumzuia putin na russia, lakin alikataa na sio tu alikataa bali ni kipind ambacho all odds are against him, kwenye maisha kuna point unafikia all odds are against you usiogope endelea kupambana sababu kwenye ugumu ndo sehemu pakukutoa kirahisi
Kwenye maisha usipgope kufa
Zelensky ni moja ya marais wamekosa kosa kuuliwa mara nyingi sana kabla na baada hata ya vita lakin hakuogopa kusimamia kile anachoamin, kwenye maisha wako watakaotaka kukatisha uhai wako either direct au indirect jambo ambalo unalotakiwa uwe elewa hakuna atakayeishi milele huku duniani hata hao wanataka kukua nao pia watakufa
Zelensky anapigania ile ambayo ni haki yao, kamwe usiombe ruhusa kwa mtu yeyote kupigania haki yako
ilianza putin kuchukua crimea wakakaa kimya, putin akapandikiza mamluki kule ukraine ya mashariki, baadae akataka kuchukua nchi yote waukraine wakamwambia enough is enough safari hii haiwezekan tutapigania haki yetu mpaka dakika ya mwisho, kwenye maisha mtu asijifanye ana nguvu akataka kuharibu maisha yako hapana kukubali kirahis rahis
Kwenye maisha haijalish adui yako au changamoto ni kubwa kiasi gani kamwe usiogope kukumbana nayo
Wakati chokochoko ya vita inaanza dunia nzima ilijua ni swala la mda russia anapindua serekali na wanaweka mtu wao lakin ni mwaka wa pili bado vita vinaendelea, kwenye maisha ya upambanaji
Kwenye maisha tumia mbinu yeyote ile ili uweze kufanikisha jambo lako
Zelensky mara anawaomba marekani silaha, mda mwingine utamkuta anawaomba nchi za ulaya silaha watu wanamkosoa lakin zelensky kwenye maisha anatufundisha tumia mbinu yeyeote ile ufanikisha pasipo kutishiwa na mtu yaan usikubali kufa na tai shingoni tumia all option ili ufanikishe jambo lako
Usiquite ili uwafurahishe wale wanakuponda au kukuchukia stay focus
Zelensky ni mtu ambaye anapondwa sana na watu lakin nyuma ya wanaomponda wanataka zelensky aquit ili awafurahishe, kwenye maisha usikubali ku-quit ili umfurahishe yule ambaye hakutakii mema ni kosa kubwa sana.
Usiogope kufail kwenye jambo lolote lile ambalo unalifanya
Watu wanamtuhumu zelensky kwamba ata afail yaan ni kama wanamuogopesha lakin zelensky still yuko focus haogopi kufail, kwenye maisha ya upambanaji usikubali kwa sababu hutakuwa wakwanza kufail
Sisi waafrika hatu-appreciate mambo mazuri ya watu wengine ndo maana tuko vilevile, ni rahis sana kwa mwafrika kumuona mwezake amefanikiwa balaa ya ku-appreciate ataanza kumtuhumu ni freemasons, mara mwizi ni mwendo wa majungu mwanzo mwisho
Hata kama adui yako humpendi jifunze ku-appreciate zile progress anazofanya kwenye maisha yake na ziwe motivation kwako
Zelensky ni jasiri vibaya mno sawa anaweza shindwa vita na russia hayo ni matokeo ambayo hakuna anayejua precisely what will happen because no one know tommorow tunajifunza kwa zelensky mambo yafuatayo
Usikate tamaa kwenye maisha even when all odds are against you
Wakati vuguvugu la vita linaanza marekani walimuahid assylum zelensky yeye na familia yake aende marekani wakijua ni ngumu kumzuia putin na russia, lakin alikataa na sio tu alikataa bali ni kipind ambacho all odds are against him, kwenye maisha kuna point unafikia all odds are against you usiogope endelea kupambana sababu kwenye ugumu ndo sehemu pakukutoa kirahisi
Kwenye maisha usipgope kufa
Zelensky ni moja ya marais wamekosa kosa kuuliwa mara nyingi sana kabla na baada hata ya vita lakin hakuogopa kusimamia kile anachoamin, kwenye maisha wako watakaotaka kukatisha uhai wako either direct au indirect jambo ambalo unalotakiwa uwe elewa hakuna atakayeishi milele huku duniani hata hao wanataka kukua nao pia watakufa
Zelensky anapigania ile ambayo ni haki yao, kamwe usiombe ruhusa kwa mtu yeyote kupigania haki yako
ilianza putin kuchukua crimea wakakaa kimya, putin akapandikiza mamluki kule ukraine ya mashariki, baadae akataka kuchukua nchi yote waukraine wakamwambia enough is enough safari hii haiwezekan tutapigania haki yetu mpaka dakika ya mwisho, kwenye maisha mtu asijifanye ana nguvu akataka kuharibu maisha yako hapana kukubali kirahis rahis
Kwenye maisha haijalish adui yako au changamoto ni kubwa kiasi gani kamwe usiogope kukumbana nayo
Wakati chokochoko ya vita inaanza dunia nzima ilijua ni swala la mda russia anapindua serekali na wanaweka mtu wao lakin ni mwaka wa pili bado vita vinaendelea, kwenye maisha ya upambanaji
Kwenye maisha tumia mbinu yeyote ile ili uweze kufanikisha jambo lako
Zelensky mara anawaomba marekani silaha, mda mwingine utamkuta anawaomba nchi za ulaya silaha watu wanamkosoa lakin zelensky kwenye maisha anatufundisha tumia mbinu yeyeote ile ufanikisha pasipo kutishiwa na mtu yaan usikubali kufa na tai shingoni tumia all option ili ufanikishe jambo lako
Usiquite ili uwafurahishe wale wanakuponda au kukuchukia stay focus
Zelensky ni mtu ambaye anapondwa sana na watu lakin nyuma ya wanaomponda wanataka zelensky aquit ili awafurahishe, kwenye maisha usikubali ku-quit ili umfurahishe yule ambaye hakutakii mema ni kosa kubwa sana.
Usiogope kufail kwenye jambo lolote lile ambalo unalifanya
Watu wanamtuhumu zelensky kwamba ata afail yaan ni kama wanamuogopesha lakin zelensky still yuko focus haogopi kufail, kwenye maisha ya upambanaji usikubali kwa sababu hutakuwa wakwanza kufail