proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No one know tommorow unauhakika gani anayepigana anapigana for nothingUnaweza ukapambana lkn ukabulia ujinga TU.
"Busy for nothing."
Maandamano utayaonea wapi ilhali uhuru wa habari umetoweka ndani ya UKRAINE? Ipo wazi bwana Zelensky na washirika wake wanaamua ni habari gani zitoke na kwa wakati gani.hawataki kivip mbona hakuna maandamano ya kumpinga zelensky na mbona wanajeshi wa-ukraine wako mstari wa mbele kupigania nchi yao
media zote dunia wanareport 24/7 kinachotokea ukraine mbona hawasemi kwamba zelensky wananchi hawamtakiMaandamano utayaonea wapi ilhali uhuru wa habari umetoweka ndani ya UKRAINE? Ipo wazi bwana Zelensky na washirika wake wanaamua ni habari gani zitoke na kwa wakati gani.
kwanini ? msomi waUnaweza ukapambana lkn ukabulia ujinga TU.
"Busy for nothing."
Kila mtu ana uhuru wa kuwa na role model wake kama kwako sio role model ni vizuri sababu una uhuru huoHuyu ndo role model wenu?
Mnayo safari ndefu aisee
Sheria mpya ya habari ndani ya Ukraine ilizima uhuru wa habari.. Zelensky alivyo muoga amefuta vyama karibia vyote vya upinzani.. Kuhusu vyombo vya magharibi hivyo navyo vina ajenda zao na huu mgogoro kwani habari zao ni za upande mmoja.media zote dunia wanareport 24/7 kinachotokea ukraine mbona hawasemi kwamba zelensky wananchi hawamtaki
Usipende kujifariji kwa habari za uongo hazitakusaidia chochote jifunze kuface reality hatakama huupendi
Sawa, endelea na iman yakoKila mtu ana uhuru wa kuwa na role model wake kama kwako sio role model ni vizuri sababu una uhuru huo
Russia hawezi kuishinda UkraineHata kama una ujasiri haiwezekani kikundi cha wahuni wakudanganye upambane na jitu la miraba minne kwa kukuaminisha kuwa pambana nalo tutakusaidia! Harafu likishakubonda washabiki wa Manzese wanakufariji kuwa wewe ni jasiri....
Kama Wewe siyo jasiri huwezi hata kufuata kile washirika wanataka kwa Hali Kama hii ya Ukraine na Russia kwa Sasa.Umeandika vyema sana ila stori ni tofauti kwa Zelensky hana ujasiri wa aina yoyote ile, na anachokifanya ni kufuata na kufanya kile nchi washirika wanachokitaka.
Jasiri wa kuwa tayari watu wake wafe na nchi iharibiwe kwa maslahi ya Marekani. Imagine Marekani aliamua kuachana na vita na Vietnam, Somalia nk baada ya kuona watu wake wanakufa, lakini huyohuyo ndiye anataka Zeleinsky akomae hata watu wake wote waishe. Hivi lipi bora kukubali nchi isijiunge nato au uiharibu nchi yako na watu wako wateketee kisa tu unatetea uhuru wako wa kujiunga na Nato.Ni jasiri hilo liko wazi hata kama hupendi huo ndo ukweli
Hawataki alafu wanapambana, si wangeenda Russia ambayo imewataka?Wananchi na raia wa Ukraine hawataki mapambano yanayoendelea kwa sasa. Hata wakiwa chini ya Russia kwao ni sawa tu .. Tatizo lipo kwa rais wao anayepambania maslahi ya USA..
Sawa analyst wa Pentagon.Russia hawezi kuishinda Ukraine
Kwa kazi nzuri hii unayoifanya nakutabiria ndani ya mwezi huu utakuwa Expert
Haina noma mwandamizi wa KremlinSawa analyst wa Pentagon.
Kwa kazi nzuri hii unayoifanya nakutabiria ndani ya mwezi huu utakuwa Expert