Uwaonee huruma wenzako wanakufa kwa sababu ya Huo ujasiri wa Zelensky unaousifia, Usipende kujifunza kutoka kwa watu waharibifu, watoto wanakufa wasio na hatia wanakufa sababu yake, Hapa unasahau wanajeshi waliouwawa kwa ajili ya Zelensky huyu mtu atakufundisha kuuwa watu ili uwe jasiri , tena Zelensky yeye mwenyewe amesaidia sana wanajeshi wake kufa...amewapiga wanajeshi wake waliokuwa mateka wa VITA ameharibu future ya Ukrainians , huyu mtu Ametumwa na NATO kuiotoa Ukraine kama Sadaka ya Kuiharibu URUSI .... Usijifunze chochote kutoka kwa Zelensky,,,,,,AMEHARIBU Ukraine .....HEBU LIA kwa AJILI YA WENZAKO waliomwaga damu kwa SABABU yake.....usijisifu kwa sababu ya UJASIRI wa kusababisha MAUAJI na UHARIBIFU pray for PEACE jifunze mafanikio kutoka kwa watu wanaopenda amani , watu wenye upendo watu wasiopenda uharibifu. Watu wanaochukia vita...watu wanaopenda mazungumzo ya amani.."wana heri walio wapatanishi"..never appreciate any one, who is responsible for accomplishment of the WORKS OF the DEVIL (MURDERS , BATTLES , WARS , KILLINGS, DESTRUCTION)
Learn from people who have GREAT LOVE for all PEOPLE, Our God is LOVE , you are taught to LOVE, not to fight wars
MOSES amepigania haki ya Israel waliokuwa wanateswa utumwani, Moses Hajawa kibaraka wa mtu yeyote, JOSHUA ameendeleza kazi ya MOSES,
JOSHUA hakuwahi fanya kama Zelensky, Zelensky anafanya kazi ya kuwaleta NATO ambao ni maadui wa Urusi, kwa ajili ya kuiharibu Urusi, Ukraine na Urusi wamepigana kwa SABABU ya NATO na ina uma zaidi sababu Ukraine siku zote amekuwa rafiki mzuri wa URUSI
Ujasiri wa Joshua haufanani na Ujasiri wa Zelensky
Learning from Joshua is deferent from Learning from Zelensky