Mkuu una shida ya kufikiri!Jasiri wa kuwa tayari watu wake wafe na nchi iharibiwe kwa maslahi ya Marekani. Imagine Marekani aliamua kuachana na vita na Vietnam, Somalia nk baada ya kuona watu wake wanakufa...
Kwa dhana yako hata ungekuwepo kipindi hicho ungeshauri Vietnam na Somalia wajisalimishe kwa Marekani ili nchi zao zisiharibiwe(mawazo ya kitumwa)Jasiri wa kuwa tayari watu wake wafe na nchi iharibiwe kwa maslahi ya Marekani. Imagine Marekani aliamua kuachana na vita na Vietnam, Somalia nk baada ya kuona watu wake wanakufa, lakini huyohuyo ndiye anataka Zeleinsky akomae hata watu wake wote waishe. Hivi lipi bora kukubali nchi isijiunge nato au uiharibu nchi yako na watu wako wateketee kisa tu unatetea uhuru wako wa kujiunga na Nato.
Zeleinsky inawezekana sio mtu wa Ukraine bali pandikizi tu ndio maana halina uchungu na maisha ya watu wake.
Hio ndo point yangu watu wanataka ukraine a-surrende sababu wanamshabikia putin yaani wanataka ukraine awafurahishe wao ambao wako nyuma ya keyboard tunasafari ndefu sana kwa hii za mentalityKwa dhana yako hata ungekuwepo kipindi hicho ungeshauri Vietnam na Somalia wajisalimishe kwa Marekani ili nchi zao zisiharibiwe(mawazo ya kitumwa)
Ila umecomment kwenye ujinga sasa mim na wewe nani mjingaUmeniharibia siku yangu. Naanza kusoma mara sisi waafrika hatu-aapreciate. Too generalization. Ujinga mtupu. Hivyo, nimeacha kusoma huu ujinga.
Zelensky anapigania nchi yake huko vietnam aliyequit ni mvamiz mmarekan na vietnam waliipigania nchi yao mpaka dakika ya mwisho na wakashindaJasiri wa kuwa tayari watu wake wafe na nchi iharibiwe kwa maslahi ya Marekani. Imagine Marekani aliamua kuachana na vita na Vietnam, Somalia nk baada ya kuona watu wake wanakufa, lakini huyohuyo ndiye anataka Zeleinsky akomae hata watu wake wote waishe. Hivi lipi bora kukubali nchi isijiunge nato au uiharibu nchi yako na watu wako wateketee kisa tu unatetea uhuru wako wa kujiunga na Nato.
Zeleinsky inawezekana sio mtu wa Ukraine bali pandikizi tu ndio maana halina uchungu na maisha ya watu wake.
Nchi yetu ina mtaji mkubwa sana wa wajingaMkuu una shida ya kufikiri!
Marekani (mvamizi)alikimbia vietnam kwa kuokoa maisha ya watu wake na si Vietnam,sasa huoni hapa Urusi(mvamizi) ndio alitakiwa kuondoka Ukraine kuokoa watu wake(askari) na si Ukraine.
Kwan Putin hapew silaha ?Zelensky sio jasiri, ni oua tu ana backup ya West, vita ingeisha muda sana mana kama si vifaa na intelligence wanayopewa
Heri mie mjinga kuliko wewe mkumbaff anayehukumu waafrika wote utadhani uliongea nao wakakupa huo msimamo wako mjumuishoIla umecomment kwenye ujinga sasa mim na wewe nani mjinga
Super man big up to him
Ni aheri ibaki magofu kuliko itekwe yote.Nchi imebaki magofu tupu ujasiri gani huo [emoji3][emoji3]
Hakika, Wa Ukraine wameionyesha dunia jinsi ya kusimama imara dhidi ya uvamiziBinafsi naona tuwape hongera kwa ujasiri raia wa Ukrain wanaopigana vita.
Huyo Zelensky haendi mstari wa mbele, ila bila yeye kukataa kuondoka Ukrain, Warusi wangeishaiteka kipindi kile cha msururu wa vifaru kuelekea Kiev.
Hakika vita hiyo inatisha hasa kwa upande wa raia wa Ukrain na wanajeshi wao. Angalia Urus anavyorusha makombora lakini wanajeshi wa Ukrain hawakati tamaa wanaendelea kupigana.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wewe kikatuni, Jambazi likitaka kumla mke wako hutapambana hata kama utatolewa meno ubaki mapengo tu??Nchi imebaki magofu tupu ujasiri gani huo [emoji3][emoji3]
DhibitishaWananchi na raia wa Ukraine hawataki mapambano yanayoendelea kwa sasa. Hata wakiwa chini ya Russia kwao ni sawa tu .. Tatizo lipo kwa rais wao anayepambania maslahi ya USA..
Maisha ya waafrika yanaonyesha jinsi walivyo haitaji phd kulijua hiloHeri mie mjinga kuliko wewe mkumbaff anayehukumu waafrika wote utadhani uliongea nao wakakupa huo msimamo wako mjumuisho
Sasa kama mke ulitongozewa kwanini upigane? Wale waliomtongozea ndiyo wanamuuza.....wakiongozwa na Kiranja USA na NATOWewe kikatuni, Jambazi likitaka kumla mke wako hutapambana hata kama utatolewa meno ubaki mapengo tu??
Safii [emoji122]Kidini waukrane wako sawa mtu anayekuja kutwaa ardhi ya nchi yako hapo hakuna kukubali mpaka kitukuu cha mwisho kichinjwe haina kurudi nyuma...enyi watanzania yeyite atakae tuvamia kwaajili ya ardhi yetu hakuna kumwachia Wala hata Kama ni taifa kubwa kama USA hizo ndio principle tumepewa na Mwenyezi Mungu na ukifa malipo yake Ni Bora zaidi kuliko kukaa na kumuachia adui akutawale.
Sipendi Vita naumia Sana kinachoendela lakini waukraine wako sawa na wanajeshi wake wengi wataingia peponi na raia wote waliobaki katka ardhi kutetea kilichopo.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Uwaonee huruma wenzako wanakufa kwa sababu ya Huo ujasiri wa Zelensky unaousifia, Usipende kujifunza kutoka kwa watu waharibifu, watoto wanakufa wasio na hatia wanakufa sababu yake, Hapa unasahau wanajeshi waliouwawa kwa ajili ya Zelensky huyu mtu atakufundisha kuuwa watu ili uwe jasiri , tena Zelensky yeye mwenyewe amesaidia sana wanajeshi wake kufa...amewapiga wanajeshi wake waliokuwa mateka wa VITA ameharibu future ya Ukrainians , huyu mtu Ametumwa na NATO kuiotoa Ukraine kama Sadaka ya Kuiharibu URUSI .... Usijifunze chochote kutoka kwa Zelensky,,,,,,AMEHARIBU Ukraine .....HEBU LIA kwa AJILI YA WENZAKO waliomwaga damu kwa SABABU yake.....usijisifu kwa sababu ya UJASIRI wa kusababisha MAUAJI na UHARIBIFU pray for PEACE jifunze mafanikio kutoka kwa watu wanaopenda amani , watu wenye upendo watu wasiopenda uharibifu. Watu wanaochukia vita...watu wanaopenda mazungumzo ya amani.."wana heri walio wapatanishi"..never appreciate any one, who is responsible for accomplishment of the WORKS OF the DEVIL (MURDERS , BATTLES , WARS , KILLINGS, DESTRUCTION)Wakati Musa amefariki na wana- Waisrael hawajui cha kufanya.
Mungu alimtokea na alimwambia joshua mara tatu kuwa jasiri na usiogope.
Hii mistari haina uhusiano na uzi ila ni kama motivation
Usipokua mtu wa kuappreciate mambo mazuri wanayoyafanya wenzako ni ngumu sana kujifunza na kufanikiwa
Sisi waafrika hatu-appreciate mambo mazuri ya watu wengine ndo maana tuko vilevile, ni rahis sana kwa mwafrika kumuona mwezake amefanikiwa balaa ya ku-appreciate ataanza kumtuhumu ni freemasons, mara mwizi ni mwendo wa majungu mwanzo mwisho
Hata kama adui yako humpendi jifunze ku-appreciate zile progress anazofanya kwenye maisha yake na ziwe motivation kwako
Zelensky ni jasiri vibaya mno sawa anaweza shindwa vita na russia hayo ni matokeo ambayo hakuna anayejua precisely what will happen because no one know tommorow tunajifunza kwa zelensky mambo yafuatayo
Usikate tamaa kwenye maisha even when all odds are against you
Wakati vuguvugu la vita linaanza marekani walimuahid assylum zelensky yeye na familia yake aende marekani wakijua ni ngumu kumzuia putin na russia, lakin alikataa na sio tu alikataa bali ni kipind ambacho all odds are against him, kwenye maisha kuna point unafikia all odds are against you usiogope endelea kupambana sababu kwenye ugumu ndo sehemu pakukutoa kirahisi
Kwenye maisha usipgope kufa
Zelensky ni moja ya marais wamekosa kosa kuuliwa mara nyingi sana kabla na baada hata ya vita lakin hakuogopa kusimamia kile anachoamin, kwenye maisha wako watakaotaka kukatisha uhai wako either direct au indirect jambo ambalo unalotakiwa uwe elewa hakuna atakayeishi milele huku duniani hata hao wanataka kukua nao pia watakufa
Zelensky anapigania ile ambayo ni haki yao, kamwe usiombe ruhusa kwa mtu yeyote kupigania haki yako
ilianza putin kuchukua crimea wakakaa kimya, putin akapandikiza mamluki kule ukraine ya mashariki, baadae akataka kuchukua nchi yote waukraine wakamwambia enough is enough safari hii haiwezekan tutapigania haki yetu mpaka dakika ya mwisho, kwenye maisha mtu asijifanye ana nguvu akataka kuharibu maisha yako hapana kukubali kirahis rahis
Kwenye maisha haijalish adui yako au changamoto ni kubwa kiasi gani kamwe usiogope kukumbana nayo
Wakati chokochoko ya vita inaanza dunia nzima ilijua ni swala la mda russia anapindua serekali na wanaweka mtu wao lakin ni mwaka wa pili bado vita vinaendelea, kwenye maisha ya upambanaji
Kwenye maisha tumia mbinu yeyote ile ili uweze kufanikisha jambo lako
Zelensky mara anawaomba marekani silaha, mda mwingine utamkuta anawaomba nchi za ulaya silaha watu wanamkosoa lakin zelensky kwenye maisha anatufundisha tumia mbinu yeyeote ile ufanikisha pasipo kutishiwa na mtu yaan usikubali kufa na tai shingoni tumia all option ili ufanikishe jambo lako
Usiquite ili uwafurahishe wale wanakuponda au kukuchukia stay focus
Zelensky ni mtu ambaye anapondwa sana na watu lakin nyuma ya wanaomponda wanataka zelensky aquit ili awafurahishe, kwenye maisha usikubali ku-quit ili umfurahishe yule ambaye hakutakii mema ni kosa kubwa sana.
Usiogope kufail kwenye jambo lolote lile ambalo unalifanya
Watu wanamtuhumu zelensky kwamba ata afail yaan ni kama wanamuogopesha lakin zelensky still yuko focus haogopi kufail, kwenye maisha ya upambanaji usikubali kwa sababu hutakuwa wakwanza kufail
Kwa hiyo ulitaka ukraine waiachie nchi yao urusi aichukue kirahis rahis mbona ni point ya kijinga sanaUwaonee huruma wenzako wanakufa kwa sababu ya Huo ujasiri wa Zelensky unaousifia, Usipende kujifunza kutoka kwa watu waharibifu, watoto wanakufa wasio na hatia wanakufa sababu yake, Hapa unasahau wanajeshi waliouwawa kwa ajili ya Zelensky huyu mtu atakufundisha kuuwa watu ili uwe jasiri , tena Zelensky yeye mwenyewe amesaidia sana wanajeshi wake kufa...amewapiga wanajeshi wake waliokuwa mateka wa VITA ameharibu future ya Ukrainians , huyu mtu Ametumwa na NATO kuiotoa Ukraine kama Sadaka ya Kuiharibu URUSI .... Usijifunze chochote kutoka kwa Zelensky,,,,,,AMEHARIBU Ukraine .....HEBU LIA kwa AJILI YA WENZAKO waliomwaga damu kwa SABABU yake.....usijisifu kwa sababu ya UJASIRI wa kusababisha MAUAJI na UHARIBIFU pray for PEACE jifunze mafanikio kutoka kwa watu wanaopenda amani , watu wenye upendo watu wasiopenda uharibifu. Watu wanaochukia vita...watu wanaopenda mazungumzo ya amani.."wana heri walio wapatanishi"..never appreciate any one, who is responsible for accomplishment of the WORKS OF the DEVIL (MURDERS , BATTLES , WARS , KILLINGS, DESTRUCTION)
Learn from people who have GREAT LOVE for all PEOPLE, Our God is LOVE , you are taught to LOVE, not to fight wars
MOSES amepigania haki ya Israel waliokuwa wanateswa utumwani, Moses Hajawa kibaraka wa mtu yeyote, JOSHUA ameendeleza kazi ya MOSES,
JOSHUA hakuwahi fanya kama Zelensky, Zelensky anafanya kazi ya kuwaleta NATO ambao ni maadui wa Urusi, kwa ajili ya kuiharibu Urusi, Ukraine na Urusi wamepigana kwa SABABU ya NATO na ina uma zaidi sababu Ukraine siku zote amekuwa rafiki mzuri wa URUSI
Ujasiri wa Joshua haufanani na Ujasiri wa Zelensky
Learning from Joshua is deferent from Learning from Zelensky