britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #21
Kweli, lakin nahisi bado box ni muhim mfano unajua kuna maeneo ambapo ndege ikipata matatizo siyo rahisi kuwasiliana na wanao control, mfano radi, yaweza piga ikaharibu mitambo ya mawasiliano moja kwa moja, kikachobaki kinarekodi ni hichoIfanyike hata replication tu. Kama ikiwezekana hata watu tu wawe wanasikiliza kadri ndege inavyokata mawimbi. Kukatika au kupotea kwa mawasiliano kati ya ndege na control tower ndio tayari iwe ni dalili kwamba hali si shwari.
Swali kidogo hapo mkuu, kole cha ndege ya Malaysia iliyopotea kilipatikana?