britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #21
Kweli, lakin nahisi bado box ni muhim mfano unajua kuna maeneo ambapo ndege ikipata matatizo siyo rahisi kuwasiliana na wanao control, mfano radi, yaweza piga ikaharibu mitambo ya mawasiliano moja kwa moja, kikachobaki kinarekodi ni hichoIfanyike hata replication tu. Kama ikiwezekana hata watu tu wawe wanasikiliza kadri ndege inavyokata mawimbi. Kukatika au kupotea kwa mawasiliano kati ya ndege na control tower ndio tayari iwe ni dalili kwamba hali si shwari.
Swali kidogo hapo mkuu, kole cha ndege ya Malaysia iliyopotea kilipatikana?
Kweli, lakin nahisi bado box ni muhim mfano unajua kuna maeneo ambapo ndege ikipata matatizo siyo rahisi kuwasiliana na wanao control, mfano radi, yaweza piga ikaharibu mitambo ya mawasiliano moja kwa moja, kikachobaki kinarekodi ni hicho
Asante
Hicho kipindi sijawahi kukikosa nakipenda sanaMtoa mada kajitahidi ila watz tusiwe wavivu kuna channel inaitwa national GEOGRAPHIC AU NAT-GEO hapa utapata full data kwanini ndege zinaanguka fdr na cvr ni vitu gani kipindi kinaitwa aircraft crush investigation
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege zote duniani zinazo. Ni sheria so ndege zote zinatoka viwandani vikiwa na hiki kifaa.
Kwa magari so lazima maana usafiri wa ndege ndio una hali ya kutisha kuliko usafiri wowote ule kwa usalama wa binadamu itpkeapo ajali
Fine