Tujifunze ya ndege: Hiki ndicho Kisanduku cheusi (black box) cha mawasiliano kila ndege ipatapo hitilafu au kuanguka huwa kinakitafuta

Mkuu nshomile big up kwa darasa hili,nakumbuka tukio moja nikiwa ndani ya KLM royal Deutsche nilikuwa natoka Antwerp Belgium kwenda Hannover ujerumani (mwezi uliopita) kuna wakati ndege iliyumba yumba mno hadi tukataaruki tulielezwa kuwa kuna mawingu mazito eneo hilo ambalo ilikuwa ni km kadhaa kabla ya kutua jijini Hanover
ndege inaogopesha mno
 
Inategemea turbulence zinaitwa, inaenda juu kabisa ili mawingu yabaki chini, maana mawingu pia yana ukomo wake kwenda juu, mara nyingi ndege ulazimika kupanda juu sana kuepuka mtetemo hutokanao na kukatiza katika fogs(mawingu yanayokaribia kuwa mvua)
 
Inategemea turbulence zinaitwa, inaenda juu kabisa ili mawingu yabaki chini, maana mawingu pia yana ukomo wake kwenda juu, mara nyingi ndege ulazimika kupanda juu sana kuepuka mtetemo hutokanao na kukatiza katika fogs(mawingu yanayokaribia kuwa mvua)

Ni kweli kadri hali ya hewa inavyozidi kuchafuka, ndivyo ndege inazidi kwenda juu kutafuta utulivu. Lakini kwa hii kesi ya hawa jamaa, walikua wapo eneo au usawa ambao lazima washuke kwa vile wamekaribia wanapotua.

Kwa ufupi safari ya ndege livha ya kuwa salama lakini aniria wengi wanakua na hofu wakati wote wa safari.
 

Nakubaliana na wewe kwamba mawasiliano yanakuwepo kati ya ndege na watu wa ardhini wakati wote wa safari.

Lakini nnachokiongelea mimi ni data kutumwa ardhini kwenye chombo kama hicho black box. Hapo namaanisha kuwe na backup ya hicho kinachofanyika kwenye black box iliyopo kwenye ndege, kifanyike pia kwenye chombo kilichopo ardhini.

Kwa upande mwingine naanza kuona ugumu hasa kutokana na miundombinu ilivyo. Kama mawasiliano yenyewe yanakua yanabadilika badilika kutokana na ndege ipo anga la sehem ipi, inaweza kuwa changamoto kuamua hicho kifaa kikae wapi kwa sababu uwezekano wa kuwa na uhakika wa mawasiliano na kituo kimoja tu kwa safari ndefu ni ngumu.
 
@La Vista14, Mkuu Kifaa hicho kinakuwa active kwa Siku 30 Baada ya apo kinazima ila kuzima huko haina maana data zilizohifadhiwa zitapotea lahasha hapo kinachokata mawasiliano ni Transponder au Transmitter Ambazo huwarahishia kazi watafutaji wa icho kifaa
 
Inategemea turbulence zinaitwa, inaenda juu kabisa ili mawingu yabaki chini, maana mawingu pia yana ukomo wake kwenda juu, mara nyingi ndege ulazimika kupanda juu sana kuepuka mtetemo hutokanao na kukatiza katika fogs(mawingu yanayokaribia kuwa mvua)
Aisee tulitetemeshwa hatari,now najiandaa na safari ndefu sana, Hannover to Melbourne via Manila
 
Aisee tulitetemeshwa hatari,now najiandaa na safari ndefu sana, Hannover to Melbourne via Manila
Ufilipino, safari njema mkuu , mi ntapata safari ya sehem fulani lakin siyo now mpaka mwezi wa pili itakuwa ndefu kidogo,
 
Ufilipino, safari njema mkuu , mi ntapata safari ya sehem fulani lakin siyo now mpaka mwezi wa pili itakuwa ndefu kidogo,
yaa Niko na shirika la kikatoliki LA ujerumani huwa tuna project kutembelea nchi zenye wakatoliki wengi, makao yetu ni pale cologne ujerumani

Niko na fr Mosha
pia pale yupo fr mmoja anaitwa Rutta.
 
yaa Niko na shirika la kikatoliki LA ujerumani huwa tuna project kutembelea nchi zenye wakatoliki wengi,makao yetu ni pale cologne ujerumani
Niko na fr Mosha
pia pale yupo fr mmoja anaitwa rutta.
Nadhani nchi kama Peru, Brazil, Italy mwende sana ndo wakatoliki wamejaa
 
channel yenyewe kila nikichungulia nakutana na masamaki samaki kila siku
Zipo mbili hizo chanel, hiyo ya misamaki[emoji1] , na wanyama wengini ni NAT GEO WILD. Na kuna NAT GEO ya kawaida.
 
apa ndipo napochoka kabisa kuhusu ndege roho yako unakua umeiweka rehani kwa huruma za hali ya hewa,mifumo ya ndege angani,rubani wote nk nk
 
Nadhani nchi kama Peru, Brazil, Italy mwende sana ndo wakatoliki wamejaa
ndio tunaenda kwa mabara
tulianza ulaya nchi za uholanzi,Belgium,Spain, France tutaendelea,now ni Asia tutaanza Philippines nchi yenye wakatoliki wengi Asia,then Australia, newzelAnd
baadae mwakan tutatembea Latin america karibu nchi zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…