Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Mkuu jumapili saa 4 asubuhi mpaka saa 10 jion kazi kwakoKipo lini na sangapi
Vema sanandio tunaenda kwa mabara
tulianza ulaya nchi za uholanzi,Belgium,Spain, France tutaendelea,now ni Asia tutaanza Philippines nchi yenye wakatoliki wengi Asia,then Australia, newzelAnd
baadae mwakan tutatembea Latin america karibu nchi zote
Si.cheusi ila ukipitia uzi utajua kwanini kiliitwa black boxMbona sio cheusi?!!
sawa mkuu, ngojq nitaangalia vizuriZipo mbili hizo chanel, hiyo ya misamaki[emoji1] , na wanyama wengini ni NAT GEO WILD. Na kuna NAT GEO ya kawaida.
Hapa mwemyewe sasa hivi nakiangalia ila wanaboa kwa kurudia the same investigations mara kwa mara.
Hahaha umenichekesha sana mkuu, Sio ile NGwld hii imebase "Men and Animals". Ipo yenyewe imeandikwa NGinv kama sijakosea, pia inategemea na package uliyonunua kwa upande wa dstv. Kwa azamu hata package ya elf 10 unazipata zotechannel yenyewe kila nikichungulia nakutana na masamaki samaki kila siku
Mkuu utakuwa umeizunguka dunia nzima. Hiyo ni zaidi ya kutembelea vivutio vya utalii haha.ndio tunaenda kwa mabara
tulianza ulaya nchi za uholanzi,Belgium,Spain, France tutaendelea,now ni Asia tutaanza Philippines nchi yenye wakatoliki wengi Asia,then Australia, newzelAnd
baadae mwakan tutatembea Latin america karibu nchi zote
yaap ni kwa Neema za munguMkuu utakuwa umeizunguka dunia nzima. Hiyo ni zaidi ya kutembelea vivutio vya utalii haha.
ahaaa sawa mkuu nitaangalia tena, maana ile ya masamaki ilifikia hatua nikaichukiaHahaha umenichekesha sana mkuu, Sio ile NGwld hii imebase "Men and Animals". Ipo yenyewe imeandikwa NGinv kama sijakosea, pia inategemea na package uliyonunua kwa upande wa dstv. Kwa azamu hata package ya elf 10 unazipata zote
Pitia ukpahaaa sawa mkuu nitaangalia tena, maana ile ya masamaki ilifikia hatua nikaichukia
Poa manDu ! Thanks a lot for the lesson mkuu !
Mkuu unaweza elezea tukio la ndege za Ethiopia na Kenya kupishana vile angani?Poa man