Tujihoji: Kwanini sakata la Loliondo huwa linaibuka tunapokuwa na marais wanaokuwa wanatokea Zanzibar? Je, ni sababu ya vinasaba vya Oman?

Tujihoji: Kwanini sakata la Loliondo huwa linaibuka tunapokuwa na marais wanaokuwa wanatokea Zanzibar? Je, ni sababu ya vinasaba vya Oman?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Tupe mawazo Yako ilituwezekuanzia mjadala hapo🤔
 
Usually Hernia Occurs when an internal organ or soft tissue pushes through a WEAK SPOT in your muscle or tissue .
EeeenHeeeee Heeee!

"Muscle" being pushed around by weaklings like "organ or soft tissue"?

Anyways, the simile conveys the message perfectly to the discerning reader.
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Mbona kikwete hujamtaja wewe kenge?
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Uzoefu umeonyesha Waislamu wakiongoza nchi kunakuwa na uponyaji wa kitaifa, upendo, neema ya mtu mmoja mmoja. Hawana chuki wala kisasi na wanapenda kutafuta hela/ riziki wao wenyewe na hawana hiana na wengine wakipata

Mimi ni Mkristu Mkatoliki
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Kwanini mauaji ya watu kutokea kila nchi unapokuwa chini ya rais mkiristo?????
Kuhoji hili kwanza
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Mi nafikiri ni coincidence,hili Swala lilikwepo wakati wa Maghu,mwekezaji aliongezewa miaka mpaka 15!!lakini wakati wa Maghu tunajua kwanini taarifa nyingi zilikuwa hazitoki,sasa hv hawamuongezei miaka,wanaamisha kabisa watu,na huu unyama haukuanza leo,hii amisha amishq ya wamasai ilikuwepo tangu mwaka 1951!hakuna Cha u Oman,uzenj,Wala uislam hapa,ni uarifu tu,sate sponsored land grabbing,
Kipindi Cha mkapa,wananchi waliokuwa wanaishi jirani migodi,walipigwa sana risasi,nyemongi,buzwagi,vyanzo vya maji vilichafuliwa,na juzi hapa mto mara umechadyliwa na maji ya mgodi
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Ngoja tusubiri tuwaone hawa Wazanzibar wanataka kufanya kitu gani Loliondo
 
Usually Hernia Occurs when an internal organ or soft tissue pushes through a WEAK SPOT in your muscle or tissue .

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Loliondogate. Hili sakakata liliibuka miaka ya 1992 na wakati huo alikuwa rais wa JMT ni mzee Ali Mwinyi.

Tukaambiwa Waarabu wameshamnunua na kununua haki za wamasasai. Songombingo kibao zikatokea na baadhi ya watanzania wakapoteza maisha.

Leo hii Rais wa Tanzania anatokea Zanzibar. Sakata la Loliondo limeibuka na kuna watu wamekufa.

Haikutokea wakati Rais ni Mkapa, Nyerere au Magufuli.

Watu wa Oman wana mkono?
Shida ni udini,,,, kipindi cha jpm hapo loliondo, masai walikua evicted na vibanda vikachomeka, ng'ombe zikataifishwa,,, hakuna mtu alihoji
 
Back
Top Bottom