Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Kwani Ali Hasan Mwinyi anatokea Zanzibar? Huyo ni wa huku bara na kwao ni mkuranga mkoa wa Pwani ndipo kazaliwa sema tu elimu ya dini ndo kasomea Zenji lakini ni Mtanganyika kwa asili na sio mzenji kule alipelekwa na wakubwa kwa ajili ya kutulinza hali iliyokuwa imetokea na ndo Mana hakudumu akaludishwa huku kuendelea na kazi.